Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Single maza tunawalaumu bureee,,,hivi ikiwa wewe uliyemzalisha bado unamfuatafuata na kumtamani unadhani atakataa? Wengi hufanya hivyo ili Watoto/Mototo azidi kupata mapenzi ya Baba,,,Me naamini ikiwa wewe uliyemsababishia huo usingle maza ukawa mbali naye na ukaweka mipaka siyo (minyau)baina yake na wewe sidhani kama kuna kitu kinaweza Haribika,,,ila wengi wa waluowazalisha wanakuaga na tamaa,,,kumbukeni kuna wanaume baadhi ni mara umbwa yaani tunawaita zoazoa.......
Kwan wewe kama mwanamke huwezi kuwa na adabu na mwili wako na kuchunga mwenendo wako?!

Huwezi kuwa mkali kwa huyo anayekusumbua na alishashindwana na wewe?! Mtajie kiasi cha pesa mfano laki tatu tu ya kila mwezi akutumie ili ikusaidie kwenye malezi ya mtoto. Kusiwe na story wala mambo mengi sana.

Ni mwisho wa mwezi muamala halafu kimya hakuna kulegezeana macho wala kuleta hisia. Kwann mnaendekeza michezo wakati MUNGU amewapa second chance ya kimahusiano?

Unajua upuuzi wenu single mothers ni kutojiuliza swali moja kuwa huko mtaani kuna mabinti wangapi ambao hawana watoto na ni wabichi ambao mwanaume anaweza wachukua aishi nae na kupanga maisha?!

Kwanza mwanaume kujihusisha na single mother jua amekupa heshima kubwa. Ni sawa na mzazi kutoa uji wa mtoto kumpa mgeni. Hawa mabinti waliopo mtaani wanaotafuta wanaume kwaajiri ya ndoa wanastahili First priority kuliko ninyi but wanaume wanajitoa wanawakana hawa wanakuchukueni ninyi ambao mlishaharibu fursa za kuwa na mahusiano bora mnaanza tena kuleta ujuaji na us*ng* kwenye mahusiano ambayo mnatakiwa kuwa wanyenyekevu na partners wazuri wanaojishimu.

Kiukweli wanaume kabla hamjawazia hawa single mothers hebu muwafikirie hawa mabinti ambao hawana watoto na wapo huko mtaani wanasubiri kuchukuliwa kuanza life mpya ya mahusiano. Hawa naona wanaviburi sana na hawarekebiki wala kujifunza.
 
Kwa mfano mwanamke ameolewa na akapata mtoto au watoto katika ndoa yake ikatokea bahati mbaya mumewe akafariki , je huyu anawekwa kwenye kundi lipi kati ya haya???

a) Single mother.

b) Mjane.

c) a na b yote sawa

Nb : Unapojibu jaribu kutafuta maana ya neno single!!!!!!!!!
Mjane
 
Ni rahisi KWA mtoto wa single mama kurithi usingle kuliko mtoto wa single baba, mmoja hapo anarithishwa sumu
Watoto wa kike wa masingle mother huwa wanaishia kuwa masingle mother kwa asilimia kubwa. Na hata wakiolewa basi hawatataka kuolewa na mwanaume Strong atataka mwanaume dhaifu, Beta male, Simpleton, submissive, YES honey type of a man.

Na watoto wa kiume wa masingle mother wakishakua wanajionea shida kuwa ni mama zao huwa wanaishia kuchukia wanawake na wao wanaendeleza ile culture ya kuzalisha na kuwakwepa wanawake wataokutana nao sababu kwanza hawajawahi kuwa karibu na baba zao so hawajui namna ya kuwa baba wala mume bora, pili hawataki kudeal na mwanamke the way wamedeal na mama zao sababu wanajua ni mzigo kwao mwanamke ni kwaajiri ya starehe na kumuomba mahitaji kama pesa etc, tatu, mwanamke hawezi jenga mtoto wa kiume kuwa mwanaume so hawa vijana ambao ni watoto wa masingle mother huwa hawaoni umuhimu wa kuwa wanaume sababu hawana misingi yake hivyo basi kuna uwezekano mkubwa wakawa homosexuals au bisexuals.
 
Watoto wa single parent sio mme au mke bora wanakuwa wamekosa balance ya malezi pili hawana Upendo, tatu hawawezi jua maana ya ndoa sababu hawajaishi kwenye misingi ya ndoa. Hata wakiolewa ni lazima wataishia kama wazazi wao
 
Kwan wewe kama mwanamke huwezi kuwa na adabu na mwili wako na kuchunga mwenendo wako?!

Huwezi kuwa mkali kwa huyo anayekusumbua na alishashindwana na wewe?! Mtajie kiasi cha pesa mfano laki tatu tu ya kila mwezi akutumie ili ikusaidie kwenye malezi ya mtoto. Kusiwe na story wala mambo mengi sana.

Ni mwisho wa mwezi muamala halafu kimya hakuna kulegezeana macho wala kuleta hisia. Kwann mnaendekeza michezo MUNGU anapowapa second chance ya kimahusiano?

Unajua upuuzi wenu single mothers ni kutojiuliza swali moja kuwa huko mtaani kuna mabinti wangapi ambao hawana watoto na ni wabichi ambao mwanaume anaweza wachukua aishi nae na kupanga maisha?!

Kwanza mwanaume kujihusisha na single mother jua amekupa heshima kubwa. Ni sawa na mzazi kutoa uji wa mtoto kumpa mgeni. Hawa mabinti waliopo mtaani wanaotafuta wanaume kwaajiri ya ndoa wanastahili First priority kuliko ninyi but wanaume wanajitoa wanawakana hawa wanakuchukueni ninyi ambao mlishaharibu fursa za kuwa na mahusiano bora mnaanza tena kuleta ujuaji na us*ng* kwenye mahusiano ambayo mnatakiwa kuwa wanyenyekevu na partners wazuri wanaojishimu.

Kiukweli wanaume kabla hamjawazia hawa single mothers hebu muwafikirie hawa mabinti ambao hawana watoto na wapo huko mtaani wanasubiri kuchukuliwa kuanza life mpya ya mahusiano. Hawa naona wanaviburi sana na hawarekebiki wala kujifunza.
Tatizo udhaifu mkuu,,,most of them wanashindwa kukataa wanadhani watasusiwa watoto
 
Ngoja nitoe story moja labda inaweza kumuinua somebody here. Kuna ndugu yangu flani tumpe jina Abshir. alikuaga na mdada tumpe jina Rosina. Abshir na Rosina were so in love, mahaba ya njiwa kama yote. Wakiwa mahali wanaonyesha mapenzi mpaka sisi watazamaji tunaona. Miaka miwili ikapita hapo Abshir hana pesa, mwenye kimango ni Rosina. So Rosina alikua kama bread winner kimtindo.

Baadae Abshir akampa mimba Rosina. Baada ya Rosina kubeba ujauzito, Abshir akawa kama anajiengua flani ivi. Rosina akanotice, akaja kusema nyumbani kwamba mimi siumuelewi ndugu yenu, mbona kanibadilikia. Basi Abshir akawa anasema "mimi sikupanga nimuoe huyu dada so kaamua kubeba ujauzito kwa lazima. So Abshir akaachana na Rosina. Mtu mzima mmoja tu upande wetu ndie aliekuwaga intouch na Rosina kuuliza maendeleo lakini Abshir yeye na ndugu wengne tukajikataaga completely. So basi bwana, Rosina akajifunguaga mtoto wa kiume akapambana mwenyewe mpaka mtoto akakua.

Huku nyuma Abshir alistruggle kivyake, akaja akaoa mwanamke mwingine. Wakaishi pamoja kama miaka miwili, Abshir akaanza kuugua then akaja kufariki. Kwenye msiba ndipo movie iliponoga. Abshir alikua na mtoto wa kiume mmoja tu ambae alimtelekeza kwa Rosina. Rosina alishapataga mwanaume akaolewaga. Kuna ndugu viherehere wakawa wanadai eti mtoto wa Abshir wa kiume apelekwe kwenye msiba wa baba ake. Mtu mzima yule aliekuwaga in contact nae akampigia simu Rosina na kumwambia bwana bwana. Huku wanasema A B na C. Rosina akamwambia naongea na wewe kwa sabbu weww ndo pekee ulienipa support all this time. Waambie nawaheshimu sana. Please sitaki kelele na mtu. Nina amani kwenye ndoa yangu, just leave me alone. Alishaniacha huyu mtoto ni wa huyu mume wangu. Akakata simu.

Basi mtu mzima huyu akafikisha ujumbe na akasema she is very correct. Miaka yote mmekaa kimya kama ndugu leo mnamuulizia wa nini. Mumuache mtoto wa watu kaolewa na ana amani kwenye ndoa yake. Basi bwana watu sura zikawashuka wakakituliza. Msiba ukaisha..and by the way Abshi hakuwahi kupata mtoto na huyu mwanamke mwingine and nae alikuaga single mother mwenye watoto wawili. It is what it is.

My point hasa ni kwamba, incase yameshatokea ya kutokea kila mtu ashinde mechi zake. Wewe ni mwanamke lea m/watoto wako mwenyewe. Do not try to force yourself kwenye maisha ya huyo mwanaume. Akifanya sawa asifofanya kufa na Yesu wako. Because ukizidi kujisumbua nae sanasana wewe ndo utawaste your life. Ukija kuzinduka miaka 10 imeshaisha na ulikua busy unacheza games za back and forth.

Na wewe mwanaume incase tayari yameshatokea, ni jukumu lako kulea mtoto wako. Kwanini ugongewe hodi lakini. Tuma fedha, kata bima ya mtoto wako ili kuepuka usumbufu. Kama amefika 7 years na unaona kuna drama sana kwa mama mtoto basi fata taratibu mchukue ishi nae au sort it out. Lakini msitumie hiyo nafasi ya kumlea mtoto kama chachu ya kumfanya mama mtoto sex machine. Na wewe unazidi kujipotezea muda na kukaribisha hasara na nuksi kwenye maisha yako. Maana unakuta umeshaoa mwanamke mwingine na huku mnatafunana na huyo mama mtoto sijui mnakua mnafikiria nini.

Lets all be emotionally mature and grow up. Back and forth sex games and drama ni hasara tu. Mistake zikishatokea zimetokea why tunazidi kuzipalia makaa na kuwa wapumbavu kiasi hiki? I really hope and pray kila mtu ajifunze kuwa responsible kwa choices anazozifanya kwenye maisha yake.
Imagine umechukua single mother unaishi nae halafu ndio unarudi home kimya kimya unamkuta anawapa makavu upande wa baba mtoto wake hivyo ili kukulindia heshima yako kama mwanaume ambaye kajitoa kuishi na changamoto zake.

Hapo lazima nguvu za kiume ziongezeke. Kwanza muda huo huo namuendea nikifika nachukua simu ile namwambia anaeongea nae "Sorry atakupigia kuna kazi ananisaidia hapa mara moja", halafu nakamatia huyo mwanamke kwenye kiuno juu ya hips kama vile nimekamatia kiroba namnyanyua na kumtuliza kifuani kwangu nambeba juu juu huku namnyonya ulimi tukienda chumbani.

Aisee ntamt*mba huyo mwanamke siku hiyo as if ndio namt*mba kwa mara ya kwanza. Namt*mba hadi tukishamaliza akose maneno ya kuongea abakie kunitazama tu huku anarembua.
 
Unafikiri kati ya hawa wenye lugha yao na wewe unahisi nani yuko sahihi zaidi?????

Single mother definition and meaning​


Collins Dictionary
https://www.collinsdictionary.com › dictionary › english




Single mother definition: a mother who has a dependent child or dependent children and who is widowed , divorced ,... | Meaning, pronunciation, translations ...

Nb 1: Jaribu kupunguza kiburi na mhemko, kwani huweka ukuta mgumu wakati wa kujifunza.

Nb 2: Nimejaribu kukupa picha pana kuhusu sababu za single mother na siyo kukariri sababu zako.

Nb 3: Single mother kwa nchi yetu inachukuliwa kama ni uhuni,umalaya,upotofu wa maadili,n.k wakati ukipata picha pana haya mawazo ni potofu!!!!!!!!!!!!!!
Sasa mtu kafiwa anakuwaje single?! Huyo ni technically widowed yaani ni mjane kwa maana jamaa yake akifufuka ndoa itaendelea.

Ila single mother ni yule ameamua kuzaa na mtu ambaye hana matarajio ya kuwa na maisha ya familia pamoja nae.
 
Hii mada ina ukweli 98% nilishadate na masingle mother 3 wote tabia zao ni Moja! Hamuachi aliyemzalisha, na pia anamfikiria nwanae / wanae kuliko chochote kipaumbele kikubwa ni mtoto wake! Yupi radhi hata akufilisi lakini nwanae apate anachokitaka!
Na hapa ndipo wanapoharibu. Nakumbuka kuna single mother tulikuwa tunapelekeana moto. Sasa unajua hawa viumbe shida yao moja, akisharuka na wewe anaanza kutengeneza mazingira uwe baba mlezi.

Kuna siku tukawa na mazungumzo mazito sana juu ya hatima yetu. Akawa anataka kujua nachukuliaje swala la yeye na watoto,akiwa na maana ya kunitega kujua nitarespond vipi juu ya swala la mimi kuanza kuwajibika na malezi ya watoto wake yaani jukumu la kuwa baba mlezi.

Me nikamchana wala sikumuweka kiporo. Nikamuuliza kuwa mfano huyu mtoto wako wa kiume umemsomesha kwa bidii akafanikiwa kufika mbali kielimu na kupata kazi nzuri sana ya kumlipa pesa. Then anamua kuanza maisha yake kama mwanaume. Siku anakujia na mwanamke ana watoto wawili au watatu halafu anakwambia, "mama huyu ni mwanamke nataka kuoa na hawa watoto nataka niwaasili wawe wanangu na nitawaandika katika mali zangu kama warithi halali" nikamuuliza vipi hapo utakubali.

Yule dada alijisahau akaruka kwa hamaki kuwa weeeee, labda nisiwe mama yake mzazi niliyemlea na kumfikisha hapo alipo akanionyeshe mama yake mzazi.

Kimoyomoyo nikasema "ona jinga hili" wewe hautaki yakukute haya unayotaka yamkute mama yangu mimi. Kwahiyo mimi unavyotaka kuleta mazoea ndio niende kukutambulisha kwa bi mkubwa na watoto wako naanzaje kwa mfano eti?!
 
Huwezi mtenga Mwanamke na mtoto wake. Ipo hivyo Kwa 99%
Ni ngumu sana na kitendo cha mwanamke kumuwaza mtoto wake tayari baba wa mtoto anamjia kichwani. Aisee kuna hasara kubwa sana kwa kijana ambaye hajawahi kuwa na mwanamke kwenye mahusiano na kupata nae mtoto au watoto kudate na single mother.
 
Imagine umechukua single mother unaishi nae halafu ndio unarudi home kimya kimya unamkuta anawapa makavu upande wa baba mtoto wake hivyo ili kukulindia heshima yako kama mwanaume ambaye kajitoa kuishi na changamoto zake.

Hapo lazima nguvu za kiume ziongezeke. Kwanza muda huo huo namuendea nikifika nachukua simu ile namwambia anaeongea nae "Sorry atakupigia kuna kazi ananisaidia hapa mara moja", halafu nakamatia huyo mwanamke kwenye kiuno kama vile nimekamatia kiroba namnyanyua na kumkabidhi kifuani kwangu nambeba huku namnyonya ulimi tukienda chumbani. Aisee ntamt*mba huyo mwanamke siku hiyo as if ndio namtomba kwa mara ya kwanza. Namt*mba hadi tukishamaliza akose maneno ya kuongea abakie kunitazama tu huku anarembua.
I know right. Nilifurahia sana kwa makavu aliyotupa. Ila braza umegoo deeper...🤗
 
Na hapa ndipo wanapoharibu. Nakumbuka kuna single mother tulikuwa tunapelekeana moto. Sasa unajua hawa viumbe shida yao moja, akisharuka na wewe anaanza kutengeneza mazingira uwe baba mlezi.

Kuna siku tukawa na mazungumzo mazito sana juu ya hatima yetu. Akawa anataka kujua nachukuliaje swala la yeye na watoto,akiwa na maana ya kunitega kujua nitarespond vipi juu ya swala la mimi kuanza kuwajibika na malezi ya watoto wake yaani jukumu la kuwa baba mlezi.

Me nikamchana wala sikumuweka kiporo. Nikamuuliza kuwa mfano huyu mtoto wako wa kiume umemsomesha kwa bidii akafanikiwa kufika mbali kielimu na kupata kazi nzuri sana ya kumlipa pesa. Then anamua kuanza maisha yake kama mwanaume. Siku anakujia na mwanamke ana watoto wawili au watatu halafu anakwambia, "mama huyu ni mwanamke nataka kuoa na hawa watoto nataka niwaasili wawe wanangu na nitawaandika katika mali zangu kama warithi halali" nikamuuliza vipi hapo utakubali.

Yule dada alijisahau akaruka kwa hamaki kuwa weeeee, labda nisiwe mama yake mzazi niliyemlea na kumfikisha hapo alipo akanionyeshe mama yake mzazi.

Kimoyomoyo nikasema "ona jinga hili" wewe hautaki yakukute haya unayotaka yamkute mama yangu mimi. Kwahiyo mimi unavyotaka kuleta mazoea ndio niende kukutambulisha kwa bi mkubwa na watoto wako naanzaje kwa mfano eti?!
Enhee ikawaje sasa mwishoni na uyo single mama

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo maana nimejaribu kukupa ushauri kuwa jaribu kupunguza kiburi na mhemko kwani hivi vitu huweka ukuta mgumu sana wakati wa kujifunza.

a) Hiyo elimu kuhusu msamiati wa 'single mother' unahisi inakutosha na umeiva kiweledi???????

b) Je, upo tayari kujifunza au upo tayari kubishana kuhusu msamiati wa 'single mother'??????????
Kwa mujibu wa definition yako hapo na wewe hautakuwa sahihi sababu hiyo definition imedadavua juu juu na kurelate neno single mother na ujane bila kutrace historical background ya origin ya hilo jina.

History ya neno single mother inaanzia marekani na ndipo jina hili lilipokuwa coined kwenye jamii ya wamarekani weusi ambao walizalisha utamaduni wa wanawake kuzaa na wanaume kama means ya kipato.

Yaani mwanamke anazaa hata na wanaume sita halafu wale wanaume wanamletea matunzo na yeye anatumia hayo matunzo kupata mahitaji yake inakuwa kama source of income.

Plus hawa wanawake walikuwa wanafanya hivi ili kucollect welfare money ambazo serikali ilianzisha special program ya kusaidia kaya za hawa wanawake waliokuja kupewa jina la utani "single mothers" baada ya wale social workers kubaini trend ya wanawake hawa kuzaa na kupata privileges sawa na zile za wanawake wajane au ambao wanaume zao wamefungwa jela.

Hawa single mother walipewa jina hili sababu ni wanawake ambao hata katika karatasi zile za welfare walipoulizwa status ya marital walisema wapo single yet wanawatoto na wanaume tofauti.

So social workers wakaona wasiwaweke kundi moja na wajane sababu wajane ndio walikuwa walengwa wa programs hizi za kijamii kuwasaidia matunzo yao na watoto kutoka serikalini. Ila hicho kizazi cha wanawake waliozaa tu hovyo ili wapate social benefits kutoka serikalini in form of Child support, food stamps, academic sponsorships, etc tena walitarget wanaume ambao anajua mwisho wa siku huyu hawezi kuwa baba wala kuwa na familia na mimi ili apate mazingira ya kuclaim benefits.

Widow (mjane) ni mwanamke ambaye amefiwa na mume wake wa Ndoa.

Single parent in this case, ni mwanamke ambaye alikuwa na mwenza wake kindoa kabisa ila wakatalikiana na kubakia kuwa wazazi kwa watoto. So tunasema ni single parent sababu hayupo kimahusiano na mwenzake tena ila wapo kimalezi kwaajiri ya watoto.

Single mother (wadangaji) hawa ndio kundi la wanawake ambao wanazaa ila hawakuwahi kuwa na mahusiano yale serious ya kutambulishwa, kulipiwa mahari au hadi kuolewa. Hawa ni wale wanapata mimba zisizo na utaratibu wala kufuata ustaarabu wa kuwa na malengo.
 
Yaani umeandika ukweli mtupu mm nina mahusiano na single maza kabla ya kuanzisha nae mahusiano nilimuuliza kuhusu yeye kuwasiliana na baba wa mtoto akanijibu kua hana mawasiliano nae kabisa na hahitaji kabisa kuwasiliana nae na hta ikitokea baba wa mtoto akakatisha mbele yake ataamuua nikacheka moyoni tu nikaona huyu bado anampenda na anaumia kuachwa na baba mtt wake sasa baadae nikaona nimfuatilie 'nijue ukweli ni upi nmeona kua yeye ndio hua anamtafuta baba wa mtoto kua kwnn huji kumuona mtoto au unataka mtoto akusahu kabisa baba mtoto anajibu nitakuja tu sku yoyote basi mwanamke anaanza kutukana ww mwanaume ni mbwa tu. Mm nafatilia mawasiliano yao tu nmekaa kimyaaaa akipata mimba yangu nalea akishajifungua tu na mm namuacha halafu namuonyesha mawasiliano yake na baba mtoto kua hii ndio sababu ya kukuacha sikuamini tena

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
Kwann mnakuwa na maamuzi ya kibinafsi. Wewe huyo mtoto wako unayemleta kwann unataka apitie mama wa hovyo kama huyo, why usitafute binti mzuri tu anayejiheshimu mbona wapo wengi tatizo vijana hamtembei mkaona maajabu na uumbaji wa mwenyezi.

Kuna mabinti wapo huko wanatanga tanga maisha yamewazingua wewe unahangaika na mizigo ya watu. Piga chini katafute mwanamke wako uanzishe uzao wako safi sio unakutana na mwanamke ana watoto baba tofauti na wewe unaenda kuweka wa kwako hapo hapo.

Mtoto wako atakuja kukulaumu sana baadae kuwa wewe kama baba ulifeli wapi kumchagulia mama mzuri.
 
Back
Top Bottom