Habari za weekend wakuu?
Kwanza kabisa bandiko hili halihusiani na wale wanaume ambao sio wawajibikaji wanaokwepa majukumu yao wakishawazalisha wanawake na halihusiani na wanawake waliozalishwa na waume za watu(hii inaitwa single mother by choice).
baadhi kama za huyu dada naziorodhesha hapa chini kwanini usiwe single mother milele?
Inawezekana japo anaweza asifanye hvyo kwa sababu ya mtotoHata huyo Rafiki yako siku sio nyingi hatawajibika.
Hakuna mwanaume mwenye wajibu wa kumtunza Mwanamke mpumbavu, Hilo likae Akilini
jibu?Swali fikirishi. Kwa tabia alizonazo dada yako/zako ukiambiwa uoe mwanamke mwenye tabia zinazofanana na zake utaoa? Au ndio utajoin group la KATAA NDOA? [emoji40]
Inawezekana japo anaweza asifanye hvyo kwa sababu ya mtoto
atamchukua akikua ndio kwanza ana mwakaUtajionea mwenyewe.
Kama ishu ni mtoto amchukue mwanaye.
Kama Mwanamke hataki basi anaweza kumlea.
Kumbuka hata wanawake hawapendi hili. Nina ushuhuda kabisa, mademu niliokutana nao,ukiwagusia habari za condom hawataki.vaa condom😂
nadhani hili ndo litakua jibu lenye mashiko uzi mzima
Samahani mkuu....Mi nawahurumia kwa nini mnazaa hovyohovyo vijana wa siku hizi?hamna focus ani
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Sheria pia imemruhusu baba kumchukua mwanae amlee, kama patakua na ulazima sio lazima afikishe miaka 7atamchukua akikua ndio kwanza ana mwaka
Hili la kusema mwanaume anafanya hiki na kile kwaajili ya mtoto sio sawa kabisa. Na mimi skuzote nasema hapa ndipo kosa huanzia na mwisho baby mama anaanza kupata ulemavu wa akili na kujiona anayo haki juu ya baby baba wake.Inawezekana japo anaweza asifanye hvyo kwa sababu ya mtoto
Kweli mkuu ni shida wao wanaamini watoto ni silahaila tambua kuna tabia za wanawake zinakuja baada ya kupata mtoto ,hapa anakuwa na confidence za ajabu na kuona kwamba mtoto ndo kila kitu kwake na msaada wa baadae..
Mwanamke au mwanaume anaweza kudate na mtu akiwa na shauku ya kupata mtoto ila baada ya kupata ,anakuja kutambua kwamba tabia za mwenza wake ni mbaya na kama shida yake kamaliza ya mtoto.
bado hali ya kiuchumi kwake ni changamoto na hajaseto sehemu moja na mbaya zaidi wazazi hana alilelewa na bibi ambae nae kwa sasa hayupo duniani, wangekuwepo hao ingekuwa rahisi kwake kuchukua mtoto akalelewe hata na wazazi wake.Hili la kusema mwanaume anafanya hiki na kile kwaajili ya mtoto sio sawa kabisa. Na mimi skuzote nasema hapa ndipo kosa huanzia na mwisho baby mama anaanza kupata ulemavu wa akili na kujiona anayo haki juu ya baby baba wake.
Mwambie rafiki yako amchukue mwanae amlee mwenyewe, hata kama itamgharimu avumilie tu maana huyo mtoto ni matokeo ya starehe zake.
noted mkuu wengi huamini hata wafanye lolote baya hakuna wa kuwatenganisha kwa sababu ya kuwa na mtotoila tambua kuna tabia za wanawake zinakuja baada ya kupata mtoto ,hapa anakuwa na confidence za ajabu na kuona kwamba mtoto ndo kila kitu kwake na msaada wa baadae..
Mwanamke au mwanaume anaweza kudate na mtu akiwa na shauku ya kupata mtoto ila baada ya kupata ,anakuja kutambua kwamba tabia za mwenza wake ni mbaya na kama shida yake kamaliza ya mtoto.