"2. Unamtukana na kumfokea baba mtoto wako, huku ni kukosa heshima. Hili ndio lililonifanya nilete ili bandiko, hivi mwanamke mwenye heshima na unaitaka ndoa unaanzaje kumtukana mwanaume? Unamwambia mwanaume acha Useng3 we ms3nge tuma hela mtoto anaumwa na ni mzima kabisa kisa tu umelala huna bundle alafu unategemea huyo baby dady ndio aje akufanye mke? Kuna wanaume wanataabika sana kisa hawa watoto."
Hio no mbili ndio ilisababisha nikaachana na mzazi mwenzangu na bado anaendelea na hio tabia so solution nimeamua kukaa kimya na kukata huduma nilizokua natoa ili awe na haki kabisa ya kunitukana