Huu ujinga wanao single mothers wengi, issue ni kukata mawasiliano na huduma kwa muda apambane mwenyewe akili zimsogee,sana ataishia kugawa K kwa elfu 3
 
Ndiyo maana nikasema busara ndiyo hutumika katika kuamua kwamba mtoto wa umri chini ya miaka saba kuwa chini ya baba badala ya mama.

Na
 
Ndiyo maana nikasema busara ndiyo hutumika katika kuamua kwamba mtoto wa umri chini ya miaka saba kuwa chini ya baba badala ya mama.

Na
Mkuu, wewe umesema busara then mimi nimekuletea fact na vifungu vya sheria.
On top of that, mimi niliwachukua wanangu watano (5) wote kutoka kwa wamama tofauti na nikaishinao kipindi kile nilikua sijaoa.
Kwahiyo ninakueleza mifano ambayo mimi binafsi nimeipitia na sijasimuliwa.
 
Wanawake wa ckuiz Ni miyeyusho Sana, atakung'ang'ania umzalishe ili akugeuze kiteka uchumi chake kila siku haishi kukupiga mizinga.

Huyo jamaa yako Ana akili Sana aachane na huyo mchunaji aendelee na maisha Yake.
mpaka sasa hana mpango nae watalea tu mtoto
 
Sawa
 
Na ole wako unisagie kunguni 🀣

halafu jirani mkeo kanichekesha sana kuna uzi fulani katupia picha yake, bonge la shangazi. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kawaje sijui siku hizi!
Nimesha mnawa yule, mwanamke kakosa heshma na utii tangu apate mgao wa pesa ya bandari...☹️
Jirani, saivi nina kitu kipya yaani new babe in town...πŸ˜‹
 
Nimesha mnawa yule, mwanamke kakosa heshma na utii tangu apate mgao wa pesa ya bandari...☹️
Jirani, saivi nina kitu kipya yaani new babe in town...πŸ˜‹
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nasubiri kukutana nae kwenye comments ntamjua tu usitambulishe!
 
aise too bad hivi wanapata wapi huo ujasiri wa kumtukana mwanaume? Tena mbaya zaidi mwanaume anaetekeleza wajibu wake
Acha mkuu ilinibidi nisitishe huduma zote isipokua school fees tuu ili awe na sababu ya kutukana na hata suala la ada nina mpango wa kusitisha nikiona anaendelea na matusi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…