tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Hadi legend huyu kafanyiwa! HatariTayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi legend huyu kafanyiwa! HatariTayari
Hayana fomula mkuu🤣🤣Hadi legend huyu kafanyiwa! Hatari
Hujafunga detection system mzeee 😅😅.. kabla hujapigwa tukio unapata alarmSioni haja ya salamu
Sisi wengine tulikuwa wabishi kama wewe, tukaone watu wa Jamiiforums wamekuwa negative sana kwa single mother.
Lakini ukweli ndio huo. Nisamehewe kwa kupuuza mafundisho yenu kuhusu single maza. Hiki ni kiumbe hatari sana,kiko kimaslahi zaidi.
Pili usionee huruma single maza anapokuja na hadithi zake za kutendwa na aliyekuwa jamaa yake. Hata kama alitendwa kweli, usionee huruma. Unaweza kuonea huruma ukamfariji na bado akakupiga tukio.
Kwa hiyo ni kukazia tu, yote yaliyosemwa humu kuhusu single maza ni kweli tupu.
Utasikia...mimi sipendagi ahadi za uongo....ukisikia hii juua mbele kuna kona kali na mteremko mkali, kushoto kuna mto😂😂😂😂Hujafunga detection system mzeee 😅😅.. kabla hujapigwa tukio unapata alarm
Nimeharibiwa Simba Day mkuu. Nimepigwa usiku kwa usiku
Single mothers ni kama pazia au mlango ulioegeshwa ambao unajifungukia tu hata kwa upepo.Sioni haja ya salamu
Sisi wengine tulikuwa wabishi kama wewe, tukaone watu wa Jamiiforums wamekuwa negative sana kwa single mother.
Lakini ukweli ndio huo. Nisamehewe kwa kupuuza mafundisho yenu kuhusu single maza. Hiki ni kiumbe hatari sana,kiko kimaslahi zaidi.
Pili usionee huruma single maza anapokuja na hadithi zake za kutendwa na aliyekuwa jamaa yake. Hata kama alitendwa kweli, usionee huruma. Unaweza kuonea huruma ukamfariji na bado akakupiga tukio.
Kwa hiyo ni kukazia tu, yote yaliyosemwa humu kuhusu single maza ni kweli tupu.
Hii ni dalili mbaya kuwa simba itafanya vibaya msimu huuPole Mwanasimba ....hao watu walishashindikana.
Pangusa mikono,fanya kama umesahau tukaone kikosi chetu leo
Jiwe la fatuma🤣Itakuwa katumia silaha nzito sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Acha kutuombea mabaya mkuu.😂😂Hii ni dalili mbaya kuwa simba itafanya vibaya msimu huu
OKW BOBAN SUNZU 😂😂😂
OKW BOBAN SUNZU anawaletea mkosi mksnyeni mapema😂Acha kutuombea mabaya mkuu.😂😂
Hakuna haja ya kumkanya. Mwanasimba OKW BOBAN SUNZU. Ameshajifunza.OKW BOBAN SUNZU anawaletea mkosi mksnyeni mapema😂