Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Natumia App huyo emoj anaonekana kama anacheka [emoji23][emoji23][emoji23]

Niko poa rafiki yangu wavivu wa kwenda kusali [emoji23][emoji23][emoji23]
okay mama.

kina nani hao wavivu? Tupo kumfariji jamaa yetu hapa baada ya kupigwa na single mother hadi mda wa ibada umepita 😂
 
Pili usionee huruma single maza anapokuja na hadithi zake za kutendwa na aliyekuwa jamaa yake. Hata kama alitendwa kweli, usionee huruma. Unaweza kuonea huruma ukamfariji na bado akakupiga tukio[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20230703-092006_Google.jpg
    Screenshot_20230703-092006_Google.jpg
    25.4 KB · Views: 2
kukumisi kunanimaliza [emoji6]

nasali sana mbona au nikipiga ishara ya msalaba niwe napost?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unajua wee ni chizi nimecheka.

Uwe unapost kila ukitoka kanisani ili niamini kama unasali kweli [emoji2][emoji2]

Nakumiss pia rafiki yangu [emoji8] hunaga baya mwenyewe.
 
kinacho waponza single mother wengi ni ile khali ya kutokujiamini kama anapendwa kweli, ukimfanyia kosa dogo atalikuza na kukuona ni wale wale na wanajiona kuwa wanamjua sana mwanaume!
siyo wote ila kuishi na single mother unahitaji kutumia akili sana na busara!
Sasa mtu mwenye fikra na mtazamo huo unahitaji busara au kumkwepa?
Mtu anayekulia timing huyo ni nyoka, nyoka unadeal nae kwa kumuua au kufungua mlango atoke.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unajua wee ni chizi nimecheka.

Uwe unapost kila ukitoka kanisani ili niamini kama unasali kweli [emoji2][emoji2]

Nakumiss pia rafiki yangu [emoji8] hunaga baya mwenyewe.
nafurahi kuwa sababu ya kicheko chako🥰

Nasali fanya namna nitakuwa nakupostia kule siwezi weka majukwaani.

😘 ahsante rafiki wa faida nna imani leo umeniombea.
 
Back
Top Bottom