Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Bahati nzuri sikuoa, nilikua napiga tu huku nikiwa na matumaini makubwa
Ukipenda single mother unatakiwa kuwa mwanaume haswa na uwe unajiweza otherwise atakupasua. Mimba mfululizo ndo dawa yao. Usiwe naye kama hutaki watoto au kama hataki.

1. Mzalishe chap chap watoto ikiwezekana si chini ya 3. Wa kwanza na wa pili wafuatane, wa tatu na 4 waje baadae kama utapenda.

2. Lea watoto wote kwa usawa.

As long as unamtunza yeye na watoto atakuabudu maana anajua hakuna wa kutunza watoto 3 wa baba mwingine, unless usimtunze ndo anaweza kuzingua au awe malaya tu.
 
Sioni haja ya salamu

Sisi wengine tulikuwa wabishi kama wewe, tukaone watu wa Jamiiforums wamekuwa negative sana kwa single mother.
Lakini ukweli ndio huo. Nisamehewe kwa kupuuza mafundisho yenu kuhusu single maza. Hiki ni kiumbe hatari sana,kiko kimaslahi zaidi.

Pili usionee huruma single maza anapokuja na hadithi zake za kutendwa na aliyekuwa jamaa yake. Hata kama alitendwa kweli, usionee huruma. Unaweza kuonea huruma ukamfariji na bado akakupiga tukio.

Kwa hiyo ni kukazia tu, yote yaliyosemwa humu kuhusu single maza ni kweli tupu.
Hii imendaa.
 
KATAA SINGLE MAZA

SINGLE MAZA NI KANSA

SINGLE MAZA NI KIRUSI

SINGLE MAZA NI SUMU INAYO UA

SINGLE MAZA NI LAANA.

KATAA KATAA [emoji2788][emoji2788]SINGLE MAZA KATAKATA.
Hapana msiwahukumu kwa asilimia kubwa matatizo huwa yanakua yametengenezwa na wanaume wenyewe! Unyanyasaji wa kijinsia, ulevi, umalaya, dharau..saa nyingine anaona asepe tu huko maana anakua amesha athirika kisaikolojia tu.
Alafu kwa ushauri tu vijana ingia kwenye uhusiano na mwanamke aliyezaa huku ukiwa tayari na wewe una mtoto au watoto.
Lakini unaenda kukaa na mwanamke tayari ana mtoto wewe huna hata mmoja hapo ndipo wanapokosea.
 
Single mothers ni kama pazia au mlango ulioegeshwa ambao unajifungukia tu hata kwa upepo.
Zaidi huanzisha mahusiano na wewe kama bega la kuegemea kipindi analia, ukishampa bega anaanza kumfikiria mtu wake, akiona mtu wake kaanza mahusiano atataka afanye juu chini kushindana na msichana mpya wa mtu wake, na hapo ndipo hujipeleka wenyewe kwa gharama nafuu kuliko fungu la bamia.

Ninavyopenda bamia😂😂😂
Liwe na dagaa WA rosti.

Ila hapo kwenye bei nafuu kama fungu la bamia nimecheka Mno.
Bamia za mia mbili unapewa kisado🏃🏃😂
 
Ninavyopenda bamia😂😂😂
Liwe na dagaa WA rosti.

Ila hapo kwenye bei nafuu kama fungu la bamia nimecheka Mno.
Bamia za mia mbili unapewa kisado🏃🏃😂
Hata mimi nilivyokua nazipenda halafu nikiangalia bei yake huwa naishia kusema kweli kwenye miti hapana wajenzi.
Naishia kuwakumbuka waliokua wanacheza bao kwa kutumia almasi halafu wenye kazi na almasi wakawaletea shanga wazivaee viunoni na wao kujibebea almasi😃
 
Hata mimi nilivyokua nazipenda halafu nikiangalia bei yake huwa naishia kusema kweli kwenye miti hapana wajenzi.
Naishia kuwakumbuka waliokua wanacheza bao kwa kutumia almasi halafu wenye kazi na almasi wakawaletea shanga wazivaee viunoni na wao kujibebea almasi😃

Sasa ilikuwaje uliposoma Uzi huu ukakumbuka bei ya bamia, au ndio mapenzi 😀
 
Sasa ilikuwaje uliposoma Uzi huu ukakumbuka bei ya bamia, au ndio mapenzi 😀
Kwa jinsi mapenzi yalivyo na thamani lakini yameishia kupoteza thamani sababu yanaangaliwa kupitia sisi washiriki wa hovyo tusiojua maana na thamani yake, ndipo nikaikumbuka mboga yangu pendwa ya bamia ambayo huwa nikiichanganya na nyanya, vitunguu, chumvi na pilipili basi huwa naweza kuila hata bila kuipika.
 
Mkuu ina kuuma nini [emoji15]
Acheni wa mama na watoto wao hii sii dunia ya mwaka 47
Mmomonyoko wa maadili ya kijamii na jamii kwaujumla. Unafikiri ni kuhusu uhuru, aisee. Watoto hawalelewi vizuri, mtu anazunguka kuombaomba pesa na kuuza mwili wake ili watoto wale. Aisee hiyo sio poa kama hiyo ndio 2023 basi bora nirudi 1947
 
Sioni haja ya salamu

Sisi wengine tulikuwa wabishi kama wewe, tukaone watu wa Jamiiforums wamekuwa negative sana kwa single mother.
Lakini ukweli ndio huo. Nisamehewe kwa kupuuza mafundisho yenu kuhusu single maza. Hiki ni kiumbe hatari sana,kiko kimaslahi zaidi.

Pili usionee huruma single maza anapokuja na hadithi zake za kutendwa na aliyekuwa jamaa yake. Hata kama alitendwa kweli, usionee huruma. Unaweza kuonea huruma ukamfariji na bado akakupiga tukio.

Kwa hiyo ni kukazia tu, yote yaliyosemwa humu kuhusu single maza ni kweli tupu.
Hata hao ambao hawajazaa wana matukio vile vile. Cha kukushaur chukua membership CHAPUTA kama hupend stress. nawasilisha
 
Back
Top Bottom