Inakuwagawa hivi huwa🤔
 

Attachments

  • 20230729_185945.jpg
    19.1 KB · Views: 1
Tatizo binadamu wabishi
Sio ubishi, ni kuacha ulegelege, dawa ya mwanamke ni mimba. Hata huyo single mother alipewa mimba ndo maana anasumbua wengine wanaomtaka na mimba hawampi. Wapeni wapenzi wenu watoto, tunza watoto. Huwezi basi achana na serious relationship
 
Yote yaliosemwa humu kuhusu single mother ni kweli tupu
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Yanin yote hayo Dunia imejaa wanawake mamilion.
 
Unadhani kuna mwanamke hataki atatulia bila mimba zako? Labda awe malaya.
Na unadhani utamtuliza mwanamke Kwa kumpa mimba? Acha kujidanganya wewe. Kutulia ni mtu kuamua tu.


Point yangu tafuta wanawake wabichi piga mimba. Akizingua piga chini.


Maisha ni mafupi enjoy kuwa na amani ya moyo.


Yoyote anaekuvurugia amani ya moyo piga chini.


Never ever take women Serious
 
Kwa hiyo shida siyo mtoto shida ni umalaya wa mama.
 
Unaweza kuonea huruma ukamfariji na bado akakupiga tukio.

Kwa hiyo ni kukazia tu, yote yaliyosemwa humu kuhusu single maza ni kweli tupu.
Tayari ameshakunyoosha sasa umeshika adabu tena umemkuta ana injini zake 2 katulia anajiliza ukaleta huruma akakupiga tukio,

Sorry to say this but most of them kuna namna fulani hua wanafadhaika ndani kwa ndani na huwaambii kitu kuhusu watoto wao na baba za watoto wao

Hata akimkandio sio ruhusa wewe kumkandia baba wa mtoto wake yaan ukimkandia maana yake unamkandia mwanae namaanisha single mother mapenzi kwa baba wa mtoto wake hua hayafi hata baba wa mtoto akifa bado ataenda kufagia kaburi
 
Kwa hiyo shida siyo mtoto shida ni umalaya wa mama.
Shida yangu kwanini uzae ni single Maza na uleee watoto wake wakati kuna wasichana kibao wamejaa Tena hawana watoto.


Mwanaume tafuta pesa wanawake wapo wengi sio kwenda kujibana Kwa singo mama
 
Kabla ya kuchukua "single mother" jiulizie mara 100, huyo aliyemzalisha alishindwa nini?

Na upate majibu, ukiingia kichwa kichwa na wewe baada ya mimba tu unaweza kuwa X.

Single mothers wengi wana akili ya kuwa mwanamme atatmtuza mtoto akitaka asitake na yeye atakuwa huru kufanya mengine. Ni ugonjwa wa kukosa maadili uliopo kwenye bongo zao.
 
Mkongwe yameshakusibu 🤣🤣

Mimi siamini na sintakuja kuamini eti binadamu Ni sawa, mienapinga hii Tabia ya mjumuisho. Haiwezekani single mazas wote wawe sawa, wapo wema wenye kujielewa, yapo mandunduke.
Hata wasiokuwa single mazas, wapi wema, yapo madunduke.
Sisi wanaume wapo wema halafu na sisi madunduke tupo🤣🤣
 
Wanaume wamekuwa wachache sana na Bado wengine wameingia ushoga...

Kifupi wanaume wamepungua
Uongo,ukweli ni kwamba wasichana wengi wanaishi kwa maigizo na kufuata mikumbo kwa wenzio Lao na mitandao ya kijamii,
Wanahama kutoka mwanaume mmoja kwenda mwingine ili wapate vitu vya kuoneshea mitandaoni na kwa wajanja wenzao.
Wanaishia kuwadharau wanaume waliopangiwa na Mungu kisa tu Hana kitu,WANAISHIA KUPEWA MIMBA NA KUACHA
Wanawake wakiacha maisha ya video masingle mother watatoka wapi
Umalaya tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…