Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio ubishi, ni kuacha ulegelege, dawa ya mwanamke ni mimba. Hata huyo single mother alipewa mimba ndo maana anasumbua wengine wanaomtaka na mimba hawampi. Wapeni wapenzi wenu watoto, tunza watoto. Huwezi basi achana na serious relationshipTatizo binadamu wabishi
Bahati nzuri sikuoa, nilikua napiga tu huku nikiwa na matumaini makubwa
Yanin yote hayo Dunia imejaa wanawake mamilion.Ukipenda single mother unatakiwa kuwa mwanaume haswa na uwe unajiweza otherwise atakupasua. Mimba mfululizo ndo dawa yao. Usiwe naye kama hutaki watoto au kama hataki.
1. Mzalishe chap chap watoto ikiwezekana si chini ya 3. Wa kwanza na wa pili wafuatane, wa tatu na 4 waje baadae kama utapenda.
2. Lea watoto wote kwa usawa.
As long as unamtunza yeye na watoto atakuabudu maana anajua hakuna wa kutunza watoto 3 wa baba mwingine, unless usimtunze ndo anaweza kuzingua au awe malaya tu.
Unadhani kuna mwanamke hataki atatulia bila mimba zako? Labda awe malaya.Yanin yote hayo Dunia imejaa wanawake mamilion.
Suala mtambuka.Mimi naona hii mada haina conclusion
Conclusion ni mwanamke mwenye mtoto muongezee wengine kama hao 3 chap chap.Mimi naona hii mada haina conclusion
Na unadhani utamtuliza mwanamke Kwa kumpa mimba? Acha kujidanganya wewe. Kutulia ni mtu kuamua tu.Unadhani kuna mwanamke hataki atatulia bila mimba zako? Labda awe malaya.
Kwa hiyo shida siyo mtoto shida ni umalaya wa mama.Na unadhani utamtuliza mwanamke Kwa kumpa mimba? Acha kujidanganya wewe. Kutulia ni mtu kuamua tu.
Point yangu tafuta wanawake wabichi piga mimba. Akizingua piga chini.
Maisha ni mafupi enjoy kuwa na amani ya moyo.
Yoyote anaekuvurugia amani ya moyo piga chini.
Never ever take women Serious
Tayari ameshakunyoosha sasa umeshika adabu tena umemkuta ana injini zake 2 katulia anajiliza ukaleta huruma akakupiga tukio,Unaweza kuonea huruma ukamfariji na bado akakupiga tukio.
Kwa hiyo ni kukazia tu, yote yaliyosemwa humu kuhusu single maza ni kweli tupu.
Shida yangu kwanini uzae ni single Maza na uleee watoto wake wakati kuna wasichana kibao wamejaa Tena hawana watoto.Kwa hiyo shida siyo mtoto shida ni umalaya wa mama.
hao wakiwa karibu na binti yako ni wabaya kuliko nyoka, yaan sasa hivi kibinti kikimaliza 4 kikiwa uswahilini hatoboi miaka2 bila kuwa na mtoto!Kuna hawa madogo wa bodaboda wanazalisha sana
Uongo,ukweli ni kwamba wasichana wengi wanaishi kwa maigizo na kufuata mikumbo kwa wenzio Lao na mitandao ya kijamii,Wanaume wamekuwa wachache sana na Bado wengine wameingia ushoga...
Kifupi wanaume wamepungua