Ni Kweli uhalali wa mapenz ni hadi ndoa lakini Kuna mengi kwenye jamii tunazoishi tunashindwa kutekeleza Hilo hata wanaume pia ni hivo hakuna mwenye uhalali wa kuzini kabla ya ndoaHaya makosa yanakuwa kwa mwanamke kwa nn huyo jamaa asije kujitambulisha kwenu? Kwa nn umvulie chupi wakati kwenu hajaleta hata mia ya mahari?
Umenena vema mkuuNina dada.
Nina Binti pia.
Lakini yeyote akitenda upumbavu hata iwe ni Mimi Acha nilipwe sawasawa na upumbavu wangu, dhihaka na kejeli ni sehemu ya malipo Kwa Matendo ya kukiuka maadili.
Mbona single mother waliofiwa na Waume zao hawajisikii vibaya, isipokuwa hawa waliokutana kihuni na wanaume(ikiwemo Mimi).
Shetani hapendi Ukweli.
Shetani akifanya uovu anataka asifiwe ilhali sio Haki yake
Tatizo ni moja kwa sasa hatuendi na asili mambo ni mengi mwanamke kipind akiwa kweny baleghe unakuta bado anasoma na hawezi kuolewa.Ni Kweli uhalali wa mapenz ni hadi ndoa lakini Kuna mengi kwenye jamii tunazoishi tunashindwa kutekeleza Hilo hata wanaume pia ni hivo hakuna mwenye uhalali wa kuzini kabla ya ndoa
Hebu tuambie wewe kilichofanya ukazini kabla ya Ndoa ni kitu gani!Ni Kweli uhalali wa mapenz ni hadi ndoa lakini Kuna mengi kwenye jamii tunazoishi tunashindwa kutekeleza Hilo hata wanaume pia ni hivo hakuna mwenye uhalali wa kuzini kabla ya ndoa
Kwani single mother wote wamelala na waume ambao sio waume zao?Tatizo lako hujibu swali!
Unawezaje kumvulia chupi mwanaume ambaye si mumeo?,ina maana hiyo zina wewe ndiye mualalishaji mkuu na siyo mwanaume!
Wahuni tunashona tu na tunawakamia wenyewe wanaona mbegu tamu acha zirutubishe tuNsikuchoshe na Usinchoshe,kwa kifupi tusichoshane!.
Hii kauli inapaswa iendane na matendo yenu,siyo matendo yenu muyaache Km zaidi ya 50 halafu kauli zenu zikiwa zimetangulia mbele.
Msipobadirika niwahakikishie hili suala la kuitwa Singo Maza halitokaa liishe na tutaendelea kulipigia kelele na kuwacharua hadi mvute midomo kama sukununu!.
Haiwezekani ukawa mwanamke wa kuwavulia chupi kila wanaume halafu mwisho wa siku uitwe Singo Maza Uchukie!,Sidhani kama utakuwa na akili timamu sawasawa!.
Mengine yakishapewa vihela vya bia kidogo yanadhani huyo ndiye mwanaume kumbe naye ametega ndoano zake anase samaki akafanye kitoweo,bila kujiuliza na wewe unanasa mzima mzima halafu leo unakuja kutia huruma hapa.
Hatuwezi kuwa na jamii ya mijianamke ambayo imezoea kuvua vua chupi ovyo kwa kila mwanaume halafu tusiyaseme!
MWANAMKE KUITWA SINGO MAZA SI KWASABABU YA UJANJA WA WANAUME BALI NI UJINGA WA MWANAMKE MWENYEWE!.
NIPO HAPA MBEZI INN MTAA WA KISIGA HOUSE NO_ 68,NJOONI MNIUE WAPUUZI NYIE!
Jitafakari umeruka na wangapiKwani single mother wote wamelala na waume ambao sio waume zao?
Na kwako pia mkuuJitafakari umeruka na wangapi
Hakuna Singo Maza aliye kwenye ndoa,yote unayoyaona ni magume gume yaliyo shindikana.Kwani single mother wote wamelala na waume ambao sio waume zao?
Umenena vema mkuu
Hakika sijajuta kuku follow,ukiona nimemfollow member hapa JF basi huyo anaakili na mitizamo sawa na yangu
Dj waleteKuwa single Maza sio mwisho wa maisha nakwambia wewe singo madha uliyesoma thread hii na ukaumia nasfi,
JF Kila mtu mjuaji Kila mtu anajua kutype
Ukiwafatilia nyuma ya keyboard Wana dada zao singo Maza,shangazi zao mama zao wadogo hata watoto wao pia
Na huenda nao pia wametokea kwenye mizizi hiyo ya usingo Maza na wanekula/kusomeshwa na singo Maza
Jeuri tu zinawatoka humu jamvini but deep down kwenye mioyo yao they do appreciate uwepo wa single mother
KAMA UNA POVU RUKSA MAANA NTADEKIA
Mwenyew nimekoma kuoa wazazi huwa hawamalizi kupasha kiporo๐TUNAPASWA KUWEKA MABANGO MAKUBWA SANA PALE TEMEKE NJIA YA KUSINI,PALE KIBAHA NA BAGAMOYO
"KATAA KUOA SINGO MAZA" ILI VIJANA WAJITAMBUE NA WAJIFUNZE
Jibu swali kwanza,mwambie huyo Mr wako atulize pumbu kwenye kigoda!.Tena natamani mjue kuwa zinaa inamuathiri sana mwanaume kuliko mwanamke
Haya jifanyeni miaamba
Wakuu usiku mwema aysee Mr ndo kaingia ngoja niitumikie ndoa
๐๐๐Ulitaka kusema niniNa kwako pia mkuu
Mama yangu alishaniambia usithubutu kuoa singo mazaYaani kuna mijitu mijinga kweli, yaani ATI kisa mamaako au dada zako ni Single mother basi hiyo ndio iwe kufuli la kukuziba mdomo.
Mashetani majinga Sana.
Unajua kama MTU ni Mwema, haoni shida kusema Makosa hata kama yeye aliwahi kuyatenda, ni sehemu ya kuungama na kutubu ili wengine wasiwe kama yeye.
Sasa shetani hapendi uovu ukemewe na kudhihakiwa, na lengo ni kuzidisha idadi kubwa ya wahanga
๐๐TUNAPASWA KUWEKA MABANGO MAKUBWA SANA PALE TEMEKE NJIA YA KUSINI,PALE KIBAHA NA BAGAMOYO
"KATAA KUOA SINGO MAZA" ILI VIJANA WAJITAMBUE NA WAJIFUNZE
Bora tuwe wote bila bila maana hawaachanagi ujue...utasikia naenda kumuona mtoto kumbe anaenda kula mbususu
๐๐Hebu tuambie wewe kilichofanya ukazini kabla ya Ndoa ni kitu gani!