Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Haya makosa yanakuwa kwa mwanamke kwa nn huyo jamaa asije kujitambulisha kwenu? Kwa nn umvulie chupi wakati kwenu hajaleta hata mia ya mahari?
Ni Kweli uhalali wa mapenz ni hadi ndoa lakini Kuna mengi kwenye jamii tunazoishi tunashindwa kutekeleza Hilo hata wanaume pia ni hivo hakuna mwenye uhalali wa kuzini kabla ya ndoa
 
Nina dada.
Nina Binti pia.
Lakini yeyote akitenda upumbavu hata iwe ni Mimi Acha nilipwe sawasawa na upumbavu wangu, dhihaka na kejeli ni sehemu ya malipo Kwa Matendo ya kukiuka maadili.

Mbona single mother waliofiwa na Waume zao hawajisikii vibaya, isipokuwa hawa waliokutana kihuni na wanaume(ikiwemo Mimi).
Shetani hapendi Ukweli.

Shetani akifanya uovu anataka asifiwe ilhali sio Haki yake
Umenena vema mkuu

Hakika sijajuta kuku follow,ukiona nimemfollow member hapa JF basi huyo anaakili na mitizamo sawa na yangu
 
Ni Kweli uhalali wa mapenz ni hadi ndoa lakini Kuna mengi kwenye jamii tunazoishi tunashindwa kutekeleza Hilo hata wanaume pia ni hivo hakuna mwenye uhalali wa kuzini kabla ya ndoa
Tatizo ni moja kwa sasa hatuendi na asili mambo ni mengi mwanamke kipind akiwa kweny baleghe unakuta bado anasoma na hawezi kuolewa.

Hapo nyege ni mbaya ni rahisi kushawishika ,mbona zamani hizi mambo hazikuwepo kwa sasa mtoto hata awe na dini unashangaa huko chuo anarudi na mtoto na wengine ndio hao wanatoa mimba.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,kwa kifupi tusichoshane!.


Hii kauli inapaswa iendane na matendo yenu,siyo matendo yenu muyaache Km zaidi ya 50 halafu kauli zenu zikiwa zimetangulia mbele.

Msipobadirika niwahakikishie hili suala la kuitwa Singo Maza halitokaa liishe na tutaendelea kulipigia kelele na kuwacharua hadi mvute midomo kama sukununu!.

Haiwezekani ukawa mwanamke wa kuwavulia chupi kila wanaume halafu mwisho wa siku uitwe Singo Maza Uchukie!,Sidhani kama utakuwa na akili timamu sawasawa!.

Mengine yakishapewa vihela vya bia kidogo yanadhani huyo ndiye mwanaume kumbe naye ametega ndoano zake anase samaki akafanye kitoweo,bila kujiuliza na wewe unanasa mzima mzima halafu leo unakuja kutia huruma hapa.

Hatuwezi kuwa na jamii ya mijianamke ambayo imezoea kuvua vua chupi ovyo kwa kila mwanaume halafu tusiyaseme!

MWANAMKE KUITWA SINGO MAZA SI KWASABABU YA UJANJA WA WANAUME BALI NI UJINGA WA MWANAMKE MWENYEWE!.

NIPO HAPA MBEZI INN MTAA WA KISIGA HOUSE NO_ 68,NJOONI MNIUE WAPUUZI NYIE!
Wahuni tunashona tu na tunawakamia wenyewe wanaona mbegu tamu acha zirutubishe tu
 
Umenena vema mkuu

Hakika sijajuta kuku follow,ukiona nimemfollow member hapa JF basi huyo anaakili na mitizamo sawa na yangu

Yaani kuna mijitu mijinga kweli, yaani ATI kisa mamaako au dada zako ni Single mother basi hiyo ndio iwe kufuli la kukuziba mdomo.

Mashetani majinga Sana.

Unajua kama MTU ni Mwema, haoni shida kusema Makosa hata kama yeye aliwahi kuyatenda, ni sehemu ya kuungama na kutubu ili wengine wasiwe kama yeye.
Sasa shetani hapendi uovu ukemewe na kudhihakiwa, na lengo ni kuzidisha idadi kubwa ya wahanga
 
Kuwa single Maza sio mwisho wa maisha nakwambia wewe singo madha uliyesoma thread hii na ukaumia nasfi,
JF Kila mtu mjuaji Kila mtu anajua kutype
Ukiwafatilia nyuma ya keyboard Wana dada zao singo Maza,shangazi zao mama zao wadogo hata watoto wao pia

Na huenda nao pia wametokea kwenye mizizi hiyo ya usingo Maza na wanekula/kusomeshwa na singo Maza

Jeuri tu zinawatoka humu jamvini but deep down kwenye mioyo yao they do appreciate uwepo wa single mother


KAMA UNA POVU RUKSA MAANA NTADEKIA
Dj walete
 
Yaani kuna mijitu mijinga kweli, yaani ATI kisa mamaako au dada zako ni Single mother basi hiyo ndio iwe kufuli la kukuziba mdomo.

Mashetani majinga Sana.

Unajua kama MTU ni Mwema, haoni shida kusema Makosa hata kama yeye aliwahi kuyatenda, ni sehemu ya kuungama na kutubu ili wengine wasiwe kama yeye.
Sasa shetani hapendi uovu ukemewe na kudhihakiwa, na lengo ni kuzidisha idadi kubwa ya wahanga
Mama yangu alishaniambia usithubutu kuoa singo maza
 
Back
Top Bottom