Nakubaliana na ww kwa swaala la kumuomba Mungu ila msimbe!!!, Daaaah! Akili ina stuck kabisa Mkuu!!Umeona sasa Mkuu. Tukiwaza kwa undani sana ni kuomba Mungu tu akuonyeshe mwanamke aliye bora iwe ni Single mother ama la.
Sababu mwisho wa siku ukiingia pabaya unaweza juta Mkuu.
Unaongea as if hizo mimba wanakua wameokota sperms mtaani wanajitumbukizia kwenye papuchi zao na mtoto anakuja.
Sikila single mather Alitaka kuwa single mather noway, wewe nimpumbavu kama umesoma elimu haijakusaidia kabisa.Nonsense kabisa
Unayeoa hana mtoto jua:
1. Alishatoa mimba;
2. Na hivyo ashaua watoto kibao kupitia abortion. Hivyo unaoa criminal(mhalifu)
3. Haimaanishi kuwa ambaye hana mtoto yupo sealed. No! Ashakwanyuliwa.
Afadhari aliyezaa utajua anawatoto wangapi.
Ambaye hana lakini unakuta matiti yashakuwa madaso, mahala penyewe napo mpaka pashakuwa na masikio fulani ( nyama zinazoning'inia), yaani afadhari nioe mwenye mtoto.
Kweli they are careless, yaan mi nakwambia. Halaf lawama zinarudishwa kwa wanaume.Kuna msemo unasemaga wanapenda Bad boyz
Hahahaa. Wacha hizo bwana Mkuu sababu waweza kuja kufa ukaoza kwa huyo single mother halafu mwishowe ukajishangaa kulikoni.Nakubaliana na ww kwa swaala la kumuomba Mungu ila msimbe!!!, Daaaah! Akili ina stuck kabisa Mkuu!!
Hili la mabinti kuzalishwa inaongezeka kwa kasi, wengi wao ni wale ambao hawajajitambua zaidi ya kujua kuvua chupi.
Kwa hawa wanawake, siamini kama kuna mwanamke anapenda kuwa single mom, ila hutokea tuu labda mwanaume anakuja kukubadilikia baada ya ujauzito au baada ya mtoto kuzaliwa.
Hapa pande zote mbili zilaumiwe, mwanamke na mwanaume pia! Na utambue kama hujamuoa mwanamke bikra huna sababu ya kukashifu maana kama hajatoa mimba basi ni mtaalamu zaidi ndo maana hajanasa!
Daaaah!! Niombee yasinikute mkuu maana duuuh!Hahahaa. Wacha hizo bwana Mkuu sababu waweza kuja kufa ukaoza kwa huyo single mother halafu mwishowe ukajishangaa kulikoni.
Pia Kila la kheri Mkuu.
Pia mi nafikiri wengi wanakosa self determinationKweli they are careless, yaan mi nakwambia. Halaf lawama zinarudishwa kwa wanaume.
"But gurl you are the one that let nigga slide in carelessly its up to you nit him"
Mawazo ya vivulana na kamwe mwanaume hawezi toa idea kama hizi
It always begins with you.Making the world a better place is the hardest thing to do since the beginning
Japo mawazo chanya mara nyingi nafikiriaga hivyo sisi wapole tutaonewa tu bure
Kweli kabisa yaani.Daaaah!! Niombee yasinikute mkuu maana duuuh!
Eeeh! Braza umepiga pointPia mi nafikiri wengi wanakosa self determination
Na maono binafsi ya aina gani ya familia wanaitaka
Ukiondoa hayo pia mazoea yanaturudisha sana yaani mtu anakuwa na mtoto na watoto kimazoea tu
Matokeo yake tunakuwa Kama tunajiroga wenyewe tu
Pia mi nafikiri wengi wanakosa self determination
Na maono binafsi ya aina gani ya familia wanaitaka
Ukiondoa hayo pia mazoea yanaturudisha sana yaani mtu anakuwa na mtoto na watoto kimazoea tu
Matokeo yake tunakuwa Kama tunajiroga wenyewe tu
Mengine yako kineema zaidi za mwenyezi Mungu japo na sie tuna nafasi yetu piaKweli kabisa yaani.
haya mambo ndio mm yananichangayaga sanaHili la mabinti kuzalishwa inaongezeka kwa kasi, wengi wao ni wale ambao hawajajitambua zaidi ya kujua kuvua chupi.
Kwa hawa wanawake, siamini kama kuna mwanamke anapenda kuwa single mom, ila hutokea tuu labda mwanaume anakuja kukubadilikia baada ya ujauzito au baada ya mtoto kuzaliwa.
Hapa pande zote mbili zilaumiwe, mwanamke na mwanaume pia! Na utambue kama hujamuoa mwanamke bikra huna sababu ya kukashifu maana kama hajatoa mimba basi ni mtaalamu zaidi ndo maana hajanasa!