Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Nonsense kabisa

Unayeoa hana mtoto jua:

1. Alishatoa mimba;

2. Na hivyo ashaua watoto kibao kupitia abortion. Hivyo unaoa criminal(mhalifu)

3. Haimaanishi kuwa ambaye hana mtoto yupo sealed. No! Ashakwanyuliwa.

Afadhari aliyezaa utajua anawatoto wangapi.

Ambaye hana lakini unakuta matiti yashakuwa madaso, mahala penyewe napo mpaka pashakuwa na masikio fulani ( nyama zinazoning'inia), yaani afadhari nioe mwenye mtoto.
Sikila single mather Alitaka kuwa single mather noway, wewe nimpumbavu kama umesoma elimu haijakusaidia kabisa.

Unamaanisha wakosaji ni wanawake tu, mwanaume mmekamilika bumbavuuuuu kabisa mimi nimelele na mama pekeangu baba alimkimbia mama akaenda kutafuta maisha akatokomea uko kusikojulikana mbona nimekuwa kwa single mather na nina Elimu tosha kupitia huyo single mather kwa step father.


Kwadada wa sasa hivi ni bola uoe single mather. yame mfika mengi atatuli,Owa huyo sister du.uone atakavyo kutelekeza na watoto, nautatafuta wakukulele watoto na awatese mpaka basiiiii ""styped boy"".

Ongelea kingine na sihao single mather mfano mzur millard ayo, dai, wamelelewa na single mather watu kibao.

Si kila single mather, alitegemea kulea mtoto pekeake, nyie ndo mnao sababisha watoto wanatupwa akisoma upuuzi wako,kama anamimba na imetelekezwa anabapwa na roho ya shetani anamzuru mtoto akijifungua.

NB. Owa uyo unaemuona msichana kumbe katoa mimba saba nk. mbona wengi mno hao sina mtoto kumbe kazika kibao.Tafuta bikira ndo utakuwa hana mtoto.
 
Nakubaliana na ww kwa swaala la kumuomba Mungu ila msimbe!!!, Daaaah! Akili ina stuck kabisa Mkuu!!
Hahahaa. Wacha hizo bwana Mkuu sababu waweza kuja kufa ukaoza kwa huyo single mother halafu mwishowe ukajishangaa kulikoni.

Pia Kila la kheri Mkuu.
 
Hili la mabinti kuzalishwa inaongezeka kwa kasi, wengi wao ni wale ambao hawajajitambua zaidi ya kujua kuvua chupi.

Kwa hawa wanawake, siamini kama kuna mwanamke anapenda kuwa single mom, ila hutokea tuu labda mwanaume anakuja kukubadilikia baada ya ujauzito au baada ya mtoto kuzaliwa.

Hapa pande zote mbili zilaumiwe, mwanamke na mwanaume pia! Na utambue kama hujamuoa mwanamke bikra huna sababu ya kukashifu maana kama hajatoa mimba basi ni mtaalamu zaidi ndo maana hajanasa!

Kiasi Fulani nimekuelewa hasa hapo mwanaume anapogeuza gia angani.

Lakini hilo lazima kuwa na sababu za msingi hadi afanye hivyo
 
Kweli they are careless, yaan mi nakwambia. Halaf lawama zinarudishwa kwa wanaume.
"But gurl you are the one that let nigga slide in carelessly its up to you nit him"
Pia mi nafikiri wengi wanakosa self determination
Na maono binafsi ya aina gani ya familia wanaitaka
Ukiondoa hayo pia mazoea yanaturudisha sana yaani mtu anakuwa na mtoto na watoto kimazoea tu
Matokeo yake tunakuwa Kama tunajiroga wenyewe tu
 
Making the world a better place is the hardest thing to do since the beginning
Japo mawazo chanya mara nyingi nafikiriaga hivyo sisi wapole tutaonewa tu bure
It always begins with you.

Kila mtu akielewa hii mambo mengi yangekuwa hayaleti shida,

Wanaume tuache kuzalisha mtu ambae huna future nae....ila tatizo ubinafsi mwingi kizazi hiki.
 
Pia mi nafikiri wengi wanakosa self determination
Na maono binafsi ya aina gani ya familia wanaitaka
Ukiondoa hayo pia mazoea yanaturudisha sana yaani mtu anakuwa na mtoto na watoto kimazoea tu
Matokeo yake tunakuwa Kama tunajiroga wenyewe tu
Eeeh! Braza umepiga point
Unafaa kuwa baba wa kambo [emoji23]
 
Pia mi nafikiri wengi wanakosa self determination
Na maono binafsi ya aina gani ya familia wanaitaka
Ukiondoa hayo pia mazoea yanaturudisha sana yaani mtu anakuwa na mtoto na watoto kimazoea tu
Matokeo yake tunakuwa Kama tunajiroga wenyewe tu

Kweli mkuu yaani badhi ya mabinti wameona kuzaa ni fashion mfano mtu anazaa mtoto wa kwanza hajifunzi anazaa tena wa pili.
 
Hili la mabinti kuzalishwa inaongezeka kwa kasi, wengi wao ni wale ambao hawajajitambua zaidi ya kujua kuvua chupi.

Kwa hawa wanawake, siamini kama kuna mwanamke anapenda kuwa single mom, ila hutokea tuu labda mwanaume anakuja kukubadilikia baada ya ujauzito au baada ya mtoto kuzaliwa.

Hapa pande zote mbili zilaumiwe, mwanamke na mwanaume pia! Na utambue kama hujamuoa mwanamke bikra huna sababu ya kukashifu maana kama hajatoa mimba basi ni mtaalamu zaidi ndo maana hajanasa!
haya mambo ndio mm yananichangayaga sana
 
Back
Top Bottom