Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Kabisa kiwango cha ubinafsi ni kikubwa kuliko ubinafsi wenyewe binafsi nipo muwaza sana ikija masuala haya ya msingi kabisaIt always begins with you.
Kila mtu akielewa hii mambo mengi yangekuwa hayaleti shida,
Wanaume tuache kuzalisha mtu ambae huna future nae....ila tatizo ubinafsi mwingi kizazi hiki.
Njoo kwangu mi sina restrictionsMie nataka nikwambie tu ukiona cha nini wenzio wanasema watavipata lini hivyo we waone ni ugonjwa huku wenzio kwao ni dawa.
Mie naona ni namna mtakavyoelewana tu na huyo single mother sababu kwani mtoto kitu gani mkuu wacha mawazo mgando hivyo wasipate wenza kisa wana watoto. Mmh.
Katafakari upya aiseee. Sababu ndio wapo tayari hivyo hapaswi kuwa na mahusiano mengine sababu wana watoto?
Kila shetani na mbuyu wake, unachopenda wewe mwingine hapendi Maisha ndivyo yalivyo
Kweli kabisa yaani na nafasi ni ile hali ya kupewa uwezo wa kuchagua mchele upi na kapi lipi halafu hayo mengine unamuachia aliye juu.Mengine yako kineema zaidi za mwenyezi Mungu japo na sie tuna nafasi yetu pia
Hahahaa. LolNjoo kwangu mi sina restrictions
Kabisa kabisa mkuu, OK nikutakie jioni njema asee, tutazidiKweli kabisa yaani na nafasi ni ile hali ya kupewa uwezo wa kuchagua mchele upi na kapi lipi halafu hayo mengine unamuachia aliye juu.
[emoji3][emoji3] braza braza ila pia kama ikitokea ni sehemu ya kutenda wemaEeeh! Braza umepiga point
Unafaa kuwa baba wa kambo [emoji23]
Seriously niachane na avatar yakoHahahaa. Lol
Mimi yana niumizaga.haya mambo ndio mm yananichangayaga sana
Ila asee ss jinsia Me ndio wa kulaumiwa sana,Hamna ndio maana nimelaumu pande zote lakini nasisitiza kina dada kwa sababu you let guys slide in and hanibg their nuts open carelesly. Kuna namna mbali mbali za kuzuia mimba. Wafanye hivo.
Hii kitu imekuwa kubwa sana sku hizi.
Eeeh[emoji3][emoji3] braza braza ila pia kama ikitokea ni sehemu ya kutenda wema
Usijali Mkuu na kwako pia.Kabisa kabisa mkuu, OK nikutakie jioni njema asee, tutazidi
Mkuu mimi binafsi naona watoto ni taasisi muhimu sana tusiwalete kimazoea zoea tu hapa duniaKweli mkuu yaani badhi ya mabinti wameona kuzaa ni fashion mfano mtu anazaa mtoto wa kwanza hajifunzi anazaa tena wa pili.
Pointless aiseeeMie nataka nikwambie tu ukiona cha nini wenzio wanasema watavipata lini hivyo we waone ni ugonjwa huku wenzio kwao ni dawa.
Mie naona ni namna mtakavyoelewana tu na huyo single mother sababu kwani mtoto kitu gani mkuu wacha mawazo mgando hivyo wasipate wenza kisa wana watoto. Mmh.
Katafakari upya aiseee. Sababu ndio wapo tayari hivyo hapaswi kuwa na mahusiano mengine sababu wana watoto?
SanaYaani mazingira tuliyo nayo sasa Tanzania na duniani kwa ujumla taasisi ya familia ni jambo la kuwanalo makini sana
Hahahaha!!, Usijali Mkuu, mrejesho utapewa tu ila sio msimbe!![emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji23] [emoji23]Usijali Mkuu na kwako pia.
Ila Hajar atafurahi siku akipata mrejesho. Hahahaaaa.
Sasa we mwenyewe mwisho ume maliza, uzembe wa sista utafanya wewe uki burst in ka zygot katokee. Akiwa careful hiyo wewe hata ufanyaje huji kumpa mimba.Ila asee ss jinsia Me ndio wa kulaumiwa sana,
Hawa wenzetu tunajua kabisa kwanza wako na true feelings kiasi hadi akakubali kukuruhusu umuingilie tena bila kinga,
Ni kwann unaacha mbegu wakati unajua kabisa mm huyu sitamuoa wala kuishi nae hivyo itabidi aolewe na mwanaume mwingine,
....its better to pull out asee, japo sio rahisi na tatizo kwa hawa jinsia Ke ni uzembe wa kutokujua mzunguko wa hedhi,
Mkuu ipo sana unakuta malezi ya home hayaeleweki binti anapata ujauzito akiwa katika umri mdogo, let say 15 huwezi kumlaumu kwann kawa single mazahaya mambo ndio mm yananichangayaga sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi yana niumizaga.
Unakuta dada mzurii unampenda halaf ana katoto kake kazuri, kanafanana na dingi yake kweli. Kila ukikaona unakumbuka jamaa alipenya aka kafyatua haka [emoji1].
Yataka moyo, nawapongeza wazazi wa kambo woote, Mungu awabariki sana kwa mioyo ya ujasiri