Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,506
- 2,518
Nawaza braza kwakuwa pamoja na kuwa yule mtoto ntamlea lakini kuna sku itabid wakutane wapange mipango ya mtoto wao. Wampeleke skull, watoke naye out waka barizi [emoji1]. Eeh maana mtoto anahitaji mapenzi ya wazaz wote wawili ikiwa tu wako hai.
Sasa usalama wa moyo wangu utakuwa wap hapo?
Hapa ndio pagumu ssNawaza braza kwakuwa pamoja na kuwa yule mtoto ntamlea lakini kuna sku itabid wakutane wapange mipango ya mtoto wao. Wampeleke skull, watoke naye out waka barizi [emoji1]. Eeh maana mtoto anahitaji mapenzi ya wazaz wote wawili ikiwa tu wako hai.
Sasa usalama wa moyo wangu utakuwa wap hapo?
Mimi rafiki yangu, nakumbuka karud sku hiyo amechanganyikiwa ana niambia braza nime moa mtu mimba, kumbe yule sista alimtegea. Jamaa hana mpango naye ni dada mzuriiii na wamezaa mtoto mzuriii ila ndio kawa single parent.Nimepata fursa ya kuwasikiliza vijana wenzangu kadhaa, jinsi walivyopata watoto wengi wao wanakwambia wao walikuwa wanawaza kwamba wana hang out tu na mabinti na sio wapate watoto.
Hahahaa. Lol.Hahahaha!, Daaaah!! Weee kiboko uko mule mule!![emoji120] [emoji120] [emoji120]
Pia mimi nadhani pigo kubwa kwa sisi wanaume ni kutoheshimiwa yaani ujue kuna mazingira ya wewe kuletewa dhereu lazima uwaze tu.Wanaenda hadi beach kabisa hotelini ,au swimming pool kabisa duh inahitaji Moyo wa chuma cha mjerumani
Tatizo elimu zao ni za ukalili zaidi kuliko uelewa hilo swala hata kidini yoyote ni NO
Hata wewe "uliezaa naye" una uhakika gani kuwa ni wako?Hahahaaa. Vibaya hivyo kwani wana shida gani au umesikia wanakuwaga na shida gani?
Au na wewe unafuata ya mleta uzi.
Like wise Hajar, Tisha sana sana be blessedHahahaa. Lol.
Uwe na usiku mwema.
Braza dunia hii siyo ya kumwamini mtuUnapiga moyo konde tu braza
Lakini hapo commitment ya mwanamke ndio inatakiwa yeye anatakiwa a dedicate maisha yake kwako sio baba mtoto kagusia tukumbushie zamani basi yeye kajaa tu.
Commitment usimlaumu jamaa yako, unaweza kuta jamaa kuna vitu anaona bado yaani kwake mtoto anakuwa kama setback. wakati sio kweliMimi rafiki yangu, nakumbuka karud sku hiyo amechanganyikiwa ana niambia braza nime moa mtu mimba, kumbe yule sista alimtegea. Jamaa hana mpango naye ni dada mzuriiii na wamezaa mtoto mzuriii ila ndio kawa single parent.
Japo hata jamaa yangu huwa namlaum sana kwa hilo
Pia mimi nadhani pigo kubwa kwa sisi wanaume ni kutoheshimiwa yaani ujue kuna mazingira ya wewe kuletewa dhereu lbazima uwaze tu.
HahahaWanaenda hadi beach kabisa hotelini ,au swimming pool kabisa duh inahitaji Moyo wa chuma cha mjerumani
Pia mimi nadhani pigo kubwa kwa sisi wanaume ni kutoheshimiwa yaani ujue kuna mazingira ya wewe kuletewa dhereu lbazima uwaze tu.
Hao unaodhani kuwa hawajazaa unajidanganya maana wengi n mama wa marehemuKwangu Mimi kuoa mwanamke au binti aliyezalishwa nyumbani ni ugonjwa .
Haiwezekani mwanaume huna tatizo lolote unaoa binti/mwanamke wa hivyo .
Wengine mtasema mimba bahati mbaya, !! Serious kabisa kivipi mtu anatongozwa anakubali Hadi anavua chupi bado anakubali jamaa anapiga kavu et! bahati mbaya acheni utani.
Kama ni kubakwa leteni hizo statistics zinazoenyesha kuwa waliobakwa lazima wapate mimba.
Binti ameendekeza CHIPS na Hela za wa kware Mimi nije kukuoa na mtoto wako eh .;!
Najua mtasema na wanaume wenye watoto je hao wamechukua watoto nyie mbna waliowazalisha hawajachukua watoto.?
Nyie wanawake/wasichana wenye watoto pambaneni na hali zenu..
NOTE: HAPA WAJANE HAWAHUSIKI.
...wengine wamezaa na waume za watu kabisa duh
... Poleni single mother.
Sijakuelewa hata. Unamaanisha nini Mkuu?Hata wewe "uliezaa naye" una uhakika gani kuwa ni wako?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijakuelewa hata. Unamaanisha nini Mkuu?
Mnajua kujidanganya wengi huwa wameshaangusha mimba nyingi kizazi kimelegea tayari,alafu kwako utamwona kigoli kumbe ni mama wa marehemuKwanza unaanza vipi kulea mtoto wa jamaa mwenzako. Yan haitakiwii kabisa makombo ya nini mimi!
HajielewMmh. Sasa Mkuu hapo makombo mtoto au mwanamke?
Amiin Insha Allah.Like wise Hajar, Tisha sana sana be blessed