Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,506
- 2,518
Acha utakuta kwao dada zake wote wapo nyumbani wanatoboa tu tumidomo tuhapo baba zao hakuna
Umri unamsumbuaMmh. Sasa Mkuu hapo makombo mtoto au mwanamke?
Wambie hao [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hata kuolewa na mwanaume mwenye mtoto kwao ni ulemavu wa akili[emoji57]
Vipi binti kuolewa na ss wanaume tulio na watoto
Usinidanganye wewe wakati watu wameolewa na watu wa huko na ada za watoto wa dada zao wanalipa acha hizo, kuna rafiki yangu mmoja kila siku wanamsukumia watoto wa wifi zake akae nao acha hizohaha @ulewo sio wa ukoo wetu wakurya halisi akipata mimba kabla haijajulikana anasepa kwa aliyempa fasta sio kuleai ujinga
Wala usijali uyo anawez kukujali baadae kuliko wanao uliowazaaHaa haaa haaa ulitegwa ukategeka
Wewe bwana ushungi sio lazima njoo[emoji23][emoji23]Kama ni huko mie siwezi kuweka shungi huo ubwabwa basi
Kuamin hii labda nivute Bangi mbichWala usijali uyo anawez kukujali baadae kuliko wanao uliowazaa
Mnazidi kutufumbua macho kua kukubali kuishi na mtoto sio wako ni ujinga,wanawake nasi tutaanza kuwakataa waume wenye watotoVipi binti kuolewa na ss wanaume tulio na watoto
Draw drawHata kuolewa na mwanaume mwenye mtoto kwao ni ulemavu wa akili[emoji57]
Na ndo Hawa Hawa tuna kwepaAcha utakuta kwao dada zake wote wapo nyumbani wanatoboa tu tumidomo tuhapo baba zao hakuna
Huyo kachemka kijinga sana,nadhani ni kitoto kilichomaliza chuo juzi sasa kinawaza mambo kichuochuo,Mnazidi kutufumbua macho kua kukubali kuishi na mtoto sio wako ni ujinga,wanawake nasi tutaanza kuwakataa waume wenye watoto
Mama wa marehemuUko sahihi kabisa mkuu,
Ni bora kuoa asiye na mtoto ila kazitoa za kutosha.
Sijavuta, ndo kwanza nasokota
KeMmh. Sasa Mkuu hapo makombo mtoto au mwanamke?
Yaani ni kama haya mambo yameanza leo,wakati ni tangu enzi hizoooo watu walioa na kuolewa na wenza wenye watoto(waliitwa watoto wa kambo,wazazi wa kambo)kidogo siku hizi hili jina linapoteaHuyo kachemka kijinga sana,nadhani ni kitoto kilichomaliza chuo juzi sasa kinawaza mambo kichuochuo,
Maisha ya ndoa ni zaidi ya anavyofikiri,
Ndo maana akeMama wa marehemu
Haya sawa nitakuja [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] kukupigie kigelegeleWewe bwana ushungi sio lazima njoo[emoji23][emoji23]