makarihodari
JF-Expert Member
- Oct 30, 2017
- 227
- 186
Mimi nina mke wa nne sasa ila sijawahi kuchukua mwanamke mwenye mtoto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaa haaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na bangi mbichi siku hizi ni adimu sanaKuamin hii labda nivute Bangi mbich
Dawa ya moto ni moto[emoji23][emoji23][emoji23]Draw draw
Huyo kachemka kijinga sana,nadhani ni kitoto kilichomaliza chuo juzi sasa kinawaza mambo kichuochuo,
Maisha ya ndoa ni zaidi ya anavyofikiri,
Ngoma draw unakimbia huku nako huku madada wanakimbiwa na kuzalishwa hovyo kina uncle kibaoNa ndo Hawa Hawa tuna kwepa
Kuwaoa
Asante kwa kuwa mwelewaWapo ambao hawajazaa lakini ni mama wa wafu, washageuzwa nje ndani, uzuri upo machoni pa mtazamaji, nikimpenda hata kama anao 6 kila mmoja na baba ake mi naoa
Yawezekana hata chuo bado anakula hela ya baba na ugali wa shikamoo mamaHuyo kachemka kijinga sana,nadhani ni kitoto kilichomaliza chuo juzi sasa kinawaza mambo kichuochuo,
Maisha ya ndoa ni zaidi ya anavyofikiri,
Mimi nina mke wa nne sasa ila sijawahi kuchukua mwanamke mwenye mtoto.
Sawa lkn mara nyingi wanaume hawataki kutumia kinga. Wanaume wanaongoza kutokutumia kingaKwann mtu uombe game
Sku za hatar Kwa mwanamke na
Hutak kutumia kinga???
Kwa hili alaumiwe mwanaume
Na wadada Kwann wakubali
kutoa mchezo ilihal wanajua wako
Kwenye read na co green??
Mwanamke nae hapa analaumiwa
cz ule mchezo co wa lazma n maelewano
Yawezekana hata chuo bado anakula hela ya baba na ugali wa shikamoo mama
Mie ugali wa shikamoo siku nyingi sana bali nami napewa hiyo shikamooaisee haya kama unaamini hivyo hebu Soma michango ya walio wengi humu ndiyo utajua.
kama nakula kwa shikamoo.
pole maisha ni kuchagua KWANGU NO
Chukua soda kwa mange hapo nakuja kulipiaMie nataka nikwambie tu ukiona cha nini wenzio wanasema watavipata lini hivyo we waone ni ugonjwa huku wenzio kwao ni dawa.
Mie naona ni namna mtakavyoelewana tu na huyo single mother sababu kwani mtoto kitu gani mkuu wacha mawazo mgando hivyo wasipate wenza kisa wana watoto. Mmh.
Katafakari upya aiseee. Sababu ndio wapo tayari hivyo hapaswi kuwa na mahusiano mengine sababu wana watoto?
Mi nasemaga ni elimu ya kutojikinga ndo inasababisha,masingo maza wengi nnaowaona huku kitaani ni wale hawakua na uelewa wa kujikinga na mimba(acha hawa wanaoamua wenyewe kuzaa bila kuolewa),kuna wale hawajui kuhesabu siku,wanajua kuna kondom lakini ujasir wa kumwambia bwanake avae kondom hana,na akimwambia bwana akikataa na ye haendelei kusisitiza,wengine wanazijua njia zote lakini unakuta labda ni mwanafunzi wa sekondari anaogopa kwenda hosp kupata vikinga mimba.Lakini kawaida suala la kuepuka mimba ni la mwanamke,uelewa na msimamo wake ndo vinavyomuokoaSawa lkn mara nyingi wanaume hawataki kutumia kinga. Wanaume wanaongoza kutokutumia kinga
ngoja limkute bint yake, au dada ake ndo atapata akilMie nataka nikwambie tu ukiona cha nini wenzio wanasema watavipata lini hivyo we waone ni ugonjwa huku wenzio kwao ni dawa.
Mie naona ni namna mtakavyoelewana tu na huyo single mother sababu kwani mtoto kitu gani mkuu wacha mawazo mgando hivyo wasipate wenza kisa wana watoto. Mmh.
Katafakari upya aiseee. Sababu ndio wapo tayari hivyo hapaswi kuwa na mahusiano mengine sababu wana watoto?
Aisee wadada/wamama karibuni kwenye ulimwengu wetu, huku hakuna kubaguliwa, kunyanyapaliwa wala kudhalilishwa na furaha na amani till death separate you two.
Mmh wakaka wa JF angalieni kauli zenu kwa dada na mama zenu kwani hao single moms walijizalisha wenyewe?? wewe kama mwanaume unaonaje kutokumlea mwanao akiwa na mama yake? hukua na mpango nae why hukutumia kinga!??
This is why i hate Men walai.
Ptuuuuu.
Aisee wadada/wamama karibuni kwenye ulimwengu wetu, huku hakuna kubaguliwa, kunyanyapaliwa wala kudhalilishwa na furaha na amani till death separate you two.
Mmh wakaka wa JF angalieni kauli zenu kwa dada na mama zenu kwani hao single moms walijizalisha wenyewe?? wewe kama mwanaume unaonaje kutokumlea mwanao akiwa na mama yake? hukua na mpango nae why hukutumia kinga!??
This is why i hate Men walai.
Ptuuuuu.
Mi nasemaga ni elimu ya kutojikinga ndo inasababisha,masingo maza wengi nnaowaona huku kitaani ni wale hawakua na uelewa wa kujikinga na mimba(acha hawa wanaoamua wenyewe kuzaa bila kuolewa),kuna wale hawajui kuhesabu siku,wanajua kuna kondom lakini ujasir wa kumwambia bwanake avae kondom hana,na akimwambia bwana akikataa na ye haendelei kusisitiza,wengine wanazijua njia zote lakini unakuta labda ni mwanafunzi wa sekondari anaogopa kwenda hosp kupata vikinga mimba.Lakini kawaida suala la kuepuka mimba ni la mwanamke,uelewa na msimamo wake ndo vinavyomuokoa