Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Sawa lkn mara nyingi wanaume hawataki kutumia kinga. Wanaume wanaongoza kutokutumia kinga
Dada angu mwanaume hawezi kukushikia bastola ili a skide bila condom, wekeni mipaka yenu hakuna mwanaume atakaye cross. na if he is ignorant he will leave you kwa sababu za kijinga kama hizo ila kama ana akili ata kubaliana na msimamo wako.
Kama anakupenda atakulinda.
 
Jamaa hajielewi lets say kweli ungejuwa chuo. Kwani ukiwa chuo hauna akilo zankutambua lipi jambo jema na lipi baya!!
Watu wengine bhana!

duh watu wanachekesha mbona chuo umri mkubwa tu huo watu wanamaliza form four wanaoa.

maisha ni kupanga/kuchagua.
 
duh watu wanachekesha mbona chuo umri mkubwa tu huo watu wanamaliza form four wanaoa.

maisha ni kupanga/kuchagua.
Chuo ni watu wazima ndio maana hawapigwi fimbo, wako free kufanya chochote.na wanapeana minba sana ma vyuoni humo
Si wa kudharau
 
Mmh. Ke kiaje Mkuu wakati kuna wanawake hawana watoto ila wametumika hatari.

Au hayo hayawi makombo?
Mi naona,kama ameshakuwa makombo lakini bado anapata mtu wa kumuoa wakati kuna wasio na watoto lakini hawapati wa kuwaoa,basi huyu aliozalishwa na kupata mtu atakuwa na mvuto wa hali ya juu sana unaomfanya aweze kukubalika pamoja na hali alionayo HIVYO anaestahili kuitwa makombo ni yule asiepata mtu wa kumuoa..
 
Kuna umuhimu Wa kuchunga kauli zetu maana hatujui yajayo, kuna wanawake walioolewa wakiwa na watoto na ndoa zimekuwa mfano Wa kuigwa, wanapatana, mpk raha, hivyo hivyo kwa wanaume. Je mwanamke akifiwa na mumewe na walizaa asiolewa kwa kuwa ana watoto na kwa wanaume hivyo hivyo?
Yakiwapata dada zao wataelewa
 
Kwanza unaanza vipi kulea mtoto wa jamaa mwenzako. Yan haitakiwii kabisa makombo ya nini mimi!
We washangaa hilo kuna jamaa alioa demu mwenye mimba ya mtu mwingine na alijua fika kuwa demu kapewa mimba kisha akatoswa hivyo mshkaji akaokota dodo chini ya mnazi na akalea mimba mpaka demu kajifungua sasa wanalea katoto.
 
Eehehehe!
Sawa lakini uutaje at least una jina, japo naweza nisiuone.

Ili kama huo ukimwengu ndio suluhisho la mimba za hovyo basi tuhamaishe watua wengi wahamie huko.
Mimi hii shda ina nikera ujue
ewaaaaa hapo umeongea, kiukweli ulimwengu wetu hauna mambo za mimba za utotoni wala mimba za hovyo hovyo, huku ni full happy na kama mtu atataka kuzaa basi atakua kweli kadhamiria na amejipanga hivyo atafata procedures zote bila kumuathiri yeye wala mtoto.
 
Back
Top Bottom