Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,506
- 2,518
ngoja limkute bint yake, au dada ake ndo atapata akil
Wewe kula tu usijali lakini mjmi mwanamke aliyezalishwa kizembe hapaba.
Labda mjane, pia hapo ni 2%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngoja limkute bint yake, au dada ake ndo atapata akil
#Mi napenda bogaHahahaa
Watu wako careless sana halaf wanakwambia eti ukipenda ua sjui penda na boga lake, hata sjui ule msemo.
Ina niumiza sanaa wadada wanapewa mimba hovyo hovyo sku hizi
Hahaha siku hizi kuzaa tu bila mme ni fasion baada ya hapo ndiyo mme anaanza kusakanywa#Mi napenda boga
Maua namwachia
Nyuki[emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini sio kuwatenga kisa wamezalia nyumbaniBora tu umekuwa mkweli wanawake wana jukumu kubwa la kuepuka hizo .
Na wamezalishwa na hao hao kisha wanawatengaLakini sio kuwatenga kisa wamezalia nyumbani
Yaaani sijajua bado wanatakaga nini hawa watu maana kila kitu wanakipondaNa wamezalishwa na hao hao kisha wanawatenga
Nikama watu wasiojulikana hawana tofautiYaaani sijajua bado wanatakaga nini hawa watu maana kila kitu wanakiponda
Vipi akiwa kazitoa za kutosha afu ndo akazaa baada ya hiyo kugoma kutoka?Uko sahihi kabisa mkuu,
Ni bora kuoa asiye na mtoto ila kazitoa za kutosha.
Sijavuta, ndo kwanza nasokota
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]#Mi napenda boga
Maua namwachia
Nyuki[emoji23][emoji23][emoji23]
Baba Wa mtoto akifa fresh angalau hawez kupiga simu kumjulia hali mtotoIla jamani kufika miaka kama 15 ujayo
Tanzania itakuwa ni kizazi cha ma baba wa kambo na mama wa kambo. This is not good for our nation jamaani.
Wabongo punguzine mchezo huu, tumieni kinga basi, wengine tumetulia kwa hiyo kuja kuwa mababa wa kambo mtakuwa mnatuonea. Kuna kina dada wametulia kuwa mama wa kambo mna waonea.
Kina dada pia muwe makini usizae na mtu asiye na mpango na wewe. Wale walio fiwa sina tatzo nao.
We unaoshi ulimwengu gani unao karibisha wenzio?Aisee wadada/wamama karibuni kwenye ulimwengu wetu, huku hakuna kubaguliwa, kunyanyapaliwa wala kudhalilishwa na furaha na amani till death separate you two.
Mmh wakaka wa JF angalieni kauli zenu kwa dada na mama zenu kwani hao single moms walijizalisha wenyewe?? wewe kama mwanaume unaonaje kutokumlea mwanao akiwa na mama yake? hukua na mpango nae why hukutumia kinga!??
This is why i hate Men walai.
Ptuuuuu.
Wewe kuoa na kuacha wa4 wote haoMimi nina mke wa nne sasa ila sijawahi kuchukua mwanamke mwenye mtoto.
Vipi akiwa kazitoa za kutosha afu ndo akazaa baada ya hiyo kugoma kutoka?
Hahhahaaa kazi kweliBaba Wa mtoto akifa fresh angalau hawez kupiga simu kumjulia hali mtoto
Jamaa hajielewi lets say kweli ungejuwa chuo. Kwani ukiwa chuo hauna akilo zankutambua lipi jambo jema na lipi baya!!@msundi mama Mimi sijatukana ila nimejaribu kutoa mtizamo wangu siwasemei wanaume wote.
wapo wanao oa waliowazalishwa .
Anzeni kukataaMnazidi kutufumbua macho kua kukubali kuishi na mtoto sio wako ni ujinga,wanawake nasi tutaanza kuwakataa waume wenye watoto