Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Acha utakuta kwao dada zake wote wapo nyumbani wanatoboa tu tumidomo tuhapo baba zao hakuna

haha @ulewo sio wa ukoo wetu wakurya halisi akipata mimba kabla haijajulikana anasepa kwa aliyempa fasta sio kuleai ujinga
 
haha @ulewo sio wa ukoo wetu wakurya halisi akipata mimba kabla haijajulikana anasepa kwa aliyempa fasta sio kuleai ujinga
Usinidanganye wewe wakati watu wameolewa na watu wa huko na ada za watoto wa dada zao wanalipa acha hizo, kuna rafiki yangu mmoja kila siku wanamsukumia watoto wa wifi zake akae nao acha hizo
 
Wapo ambao hawajazaa lakini ni mama wa wafu, washageuzwa nje ndani, uzuri upo machoni pa mtazamaji, nikimpenda hata kama anao 6 kila mmoja na baba ake mi naoa
 
Huyo kachemka kijinga sana,nadhani ni kitoto kilichomaliza chuo juzi sasa kinawaza mambo kichuochuo,
Maisha ya ndoa ni zaidi ya anavyofikiri,
Yaani ni kama haya mambo yameanza leo,wakati ni tangu enzi hizoooo watu walioa na kuolewa na wenza wenye watoto(waliitwa watoto wa kambo,wazazi wa kambo)kidogo siku hizi hili jina linapotea
 
Back
Top Bottom