Yakiwapata dada zao wataelewa
Huu uzi si salama kabisa kwa baadhi ya member wa jinsia ile...
Mkuu huyo wa ndoa mwenyewe anaweza leta sio wa kwako na ukalea piaKwanza unaanza vipi kulea mtoto wa jamaa mwenzako. Yan haitakiwii kabisa makombo ya nini mimi!
Umejiuliza swali ambalo nimekuwa nikijiuliza. Ndo zitakwisha siku za usoni..maana wasichana wameamua kuzaa ovyo bila plan.Ila jamani kufika miaka kama 15 ujayo
Tanzania itakuwa ni kizazi cha ma baba wa kambo na mama wa kambo. This is not good for our nation jamaani.
Wabongo punguzine mchezo huu, tumieni kinga basi, wengine tumetulia kwa hiyo kuja kuwa mababa wa kambo mtakuwa mnatuonea. Kuna kina dada wametulia kuwa mama wa kambo mna waonea.
Kina dada pia muwe makini usizae na mtu asiye na mpango na wewe. Wale walio fiwa sina tatzo nao.
Asante tumekuelewa na tunafanyia kazi mausia yakoAnzeni kukataa
Mimi sista wangu kaolewa very late alijiwekea mashart mtu mwenye mtoto hataki. Kwa sbabu mtoto hazaliwi na mama tuu. Yaab hii point ina apply kote
Hahahaa hapana ndugu yangu, nawatetea wenzagu kubaguana sio kabisahahahahaa wewe hawajakuzalisha?
Wanatulia siku za mwanzo lakini huko mbeleni mwanamke atakuja kukusumbua na mwanae. Nimeshuhudia wengi. Lingine huwezi jiaminisha kwa aliyezaa naye maana wengi utakuta wanaendelea.na mahusiano. Na mara nyingi kisingizio ni mtoto unayemlea wewe.Hahahaa. Wacheni hizo mawazo bana.
Unaweza pata mama mwenye mtoto na akawa ni mwanamke bora kuwahi kutokea kuliko huyo asiye na mtoto.
Na wanaolewa kweli na kuwa acha wasio na watotoMi naona,kama ameshakuwa makombo lakini bado anapata mtu wa kumuoa wakati kuna wasio na watoto lakini hawapati wa kuwaoa,basi huyu aliozalishwa na kupata mtu atakuwa na mvuto wa hali ya juu sana unaomfanya aweze kukubalika pamoja na hali alionayo HIVYO anaestahili kuitwa makombo ni yule asiepata mtu wa kumuoa..
Hongera yake thawabu hiyo [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] penzi halina machoWe washangaa hilo kuna jamaa alioa demu mwenye mimba ya mtu mwingine na alijua fika kuwa demu kapewa mimba kisha akatoswa hivyo mshkaji akaokota dodo chini ya mnazi na akalea mimba mpaka demu kajifungua sasa wanalea katoto.
Hahahaa hapana ndugu yangu, nawatetea wenzagu kubaguana sio kabisa
Wanatulia siku za mwanzo lakini huko mbeleni mwanamke atakuja kukusumbua na mwanae. Nimeshuhudia wengi. Lingine huwezi jiaminisha kwa aliyezaa naye maana wengi utakuta wanaendelea.na mahusiano. Na mara nyingi kisingizio ni mtoto unayemlea wewe.
Baba alinisihi mwanangu usiwahi wala usijaribu kuoa mwanamke/msichana aliye zalia nyumbani. Utajuta........!!!!!
Embu agiza bapa hapoJolie Jolie Ni hivi Mimi nimetoa msimamo wangu .Dada yangu akizalishwa fresh akae tu hata asiolewe maana hata Mimi siwezi oa mtu mwenye mtoto Hiyo ni juu yake Kwa upande wake na aliyempa hiyo mimba .
Hahahaaa asante sana usiku mwema lala unono nakutakia ijumaa kuu njema
siku ya kwanza na kitu na boxeeh ulitelezaje hivyo ! he je ni mara moja na ndiyo ilikuwa siku ya Kwanza au ?