Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Ila jamani kufika miaka kama 15 ujayo
Tanzania itakuwa ni kizazi cha ma baba wa kambo na mama wa kambo. This is not good for our nation jamaani.
Wabongo punguzine mchezo huu, tumieni kinga basi, wengine tumetulia kwa hiyo kuja kuwa mababa wa kambo mtakuwa mnatuonea. Kuna kina dada wametulia kuwa mama wa kambo mna waonea.
Kina dada pia muwe makini usizae na mtu asiye na mpango na wewe. Wale walio fiwa sina tatzo nao.
Umejiuliza swali ambalo nimekuwa nikijiuliza. Ndo zitakwisha siku za usoni..maana wasichana wameamua kuzaa ovyo bila plan.
 
Hahahaa. Wacheni hizo mawazo bana.

Unaweza pata mama mwenye mtoto na akawa ni mwanamke bora kuwahi kutokea kuliko huyo asiye na mtoto.
Wanatulia siku za mwanzo lakini huko mbeleni mwanamke atakuja kukusumbua na mwanae. Nimeshuhudia wengi. Lingine huwezi jiaminisha kwa aliyezaa naye maana wengi utakuta wanaendelea.na mahusiano. Na mara nyingi kisingizio ni mtoto unayemlea wewe.
 
Mi naona,kama ameshakuwa makombo lakini bado anapata mtu wa kumuoa wakati kuna wasio na watoto lakini hawapati wa kuwaoa,basi huyu aliozalishwa na kupata mtu atakuwa na mvuto wa hali ya juu sana unaomfanya aweze kukubalika pamoja na hali alionayo HIVYO anaestahili kuitwa makombo ni yule asiepata mtu wa kumuoa..
Na wanaolewa kweli na kuwa acha wasio na watoto
 
We washangaa hilo kuna jamaa alioa demu mwenye mimba ya mtu mwingine na alijua fika kuwa demu kapewa mimba kisha akatoswa hivyo mshkaji akaokota dodo chini ya mnazi na akalea mimba mpaka demu kajifungua sasa wanalea katoto.
Hongera yake thawabu hiyo [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] penzi halina macho
 
Baba alinisihi mwanangu usiwahi wala usijaribu kuoa mwanamke/msichana aliye zalia nyumbani. Utajuta........!!!!!
 
Wanatulia siku za mwanzo lakini huko mbeleni mwanamke atakuja kukusumbua na mwanae. Nimeshuhudia wengi. Lingine huwezi jiaminisha kwa aliyezaa naye maana wengi utakuta wanaendelea.na mahusiano. Na mara nyingi kisingizio ni mtoto unayemlea wewe.

ehee ni hatari kwa kweli duh
 
Baba alinisihi mwanangu usiwahi wala usijaribu kuoa mwanamke/msichana aliye zalia nyumbani. Utajuta........!!!!!

Mimi kuna watu wamenitolea povu et nakula kwa shikamoo duh

wengine nipo chuo ila kiuhalisia sio jambo njema kuoa mwanamke aliyezalishwa nyumbani.
 
Back
Top Bottom