Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We una watoto wangapi?Hahahaa. Kwani ukiwa wa kwanza kuna faida gani Mkuu?
Hahahaa. Duuh.We una watoto wangapi?
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Hahahaa. Ni Me bwana
Yeye kasema hataki kuoa mke mwenye mtoto sasa kwa nin mnataka kumlazimisha eti kisa ana Dada yake au binti yake wao yakiwapata Shauri zao ila yeye msimamo wake ni hataki kuoa mdada mwenye mtoto simple and clearngoja limkute bint yake, au dada ake ndo atapata akil
Pia mimi nadhani pigo kubwa kwa sisi wanaume ni kutoheshimiwa yaani ujue kuna mazingira ya wewe kuletewa dhereu lazima uwaze tu.
Sure mchakua ke si mt..mb...jiomba upate mke mwema .......je ukipata ambae hana hata uwezo wa kupata huo ujauzito kabisa ........
mchagua jembe si mkulima
Ukijaribu kufuatilia undani wake si ajabu ukakuta hata yy mama yake ni hivohivo na si ajabu kashawajaza mimba na pengine kuwazalisha watoto mabinti za watu mitaani huko, hajui kama anaweza kuzaa watoto wa kike wakaja kuwa single mamaz,Mie nataka nikwambie tu ukiona cha nini wenzio wanasema watavipata lini hivyo we waone ni ugonjwa huku wenzio kwao ni dawa.
Mie naona ni namna mtakavyoelewana tu na huyo single mother sababu kwani mtoto kitu gani mkuu wacha mawazo mgando hivyo wasipate wenza kisa wana watoto. Mmh.
Katafakari upya aiseee. Sababu ndio wapo tayari hivyo hapaswi kuwa na mahusiano mengine sababu wana watoto?
nimeipenda hii...unawaponda kiana..Hahahaa. Duuh.
Ila mie sio single mother Mkuu.
Achana na vitoto hivi ambavyo vinajitoa ufahamu kwa kusahau mama zao waliowazaa kisa eti vimebalehe viko mijini huko vinajifunza kukausha kamasi puaniMmh. Sasa Mkuu hapo makombo mtoto au mwanamke?
Umeikomaliaa hii siridi kinomaa....Hahahaaaa. Wacha kuhisi Mkuu.
Mnhhhhh.....KUNA MMOJA NAMFAHAMU.
1. AMESOMA
2. ANA KAZ NZURI
3. AMEZAA NA MUME WA MTU TENA WATOTO WATATU AKIWA KAZN TENA HUYO MUME WA MTU NI MFANYAKAZ MWENZAKE
Hahahaaaa. Lolnimeipenda hii...unawaponda kiana..
Hadithi yako inatufundisha nn?
Umeikomaliaa hii siridi kinomaa....
Kwani we unao wangapi!?
Utaolewa tu..ongeza sala...
Hahahaaa. Nshaachana nao rafiki.Achana na vitoto hivi ambavyo vinajitoa ufahamu kwa kusahau mama zao waliowazaa kisa eti vimebalehe viko mijini huko vinajifunza kukausha kamasi puani