Mkuu naona umeniquote vibaya ninaposema wapo wengi simaanishi nimewabikiri wengi bali nina uhakika kuwa haujazunguka tanzania nzima hadi ukapata takwimu kuwa hakuna bikra now days.Umewatoa wangapi hizo bikra acha uongo. Kama wapo wengi( meaning umewabikiri ndio maana unatuhakikishia wapo- wakaolewe na nani na ushawabikiri?
Mimi mojawapo mkuu nimeoa mwenye mtoto na maisha ni mirua kabisa. We tafuta tu asiye na mtoto wapo wengi...
Tatizo tunaweza letewa STD's, STI's & HIVYaani wanaume waoga sana aiseee. Karibia wote mnaogopa kuchapiwa lol.
nilichogundua ww ni single mother,,,na hii mada imekuchoma kwenye mtimaHahahaa. Wacheni hizo mawazo bana.
Unaweza pata mama mwenye mtoto na akawa ni mwanamke bora kuwahi kutokea kuliko huyo asiye na mtoto.
Mwanamke anakuaje makombo sasa??maana 'tuliofungua kwenye karatasi' si watakua makombo kwa wengine??mwanamke HAWEZI KUA MAKOMBO JAMAAMmh. Sasa Mkuu hapo makombo mtoto au mwanamke?
Hahahaa. Lol.Tatizo tunaweza letewa STD's, STI's & HIV
Hahaaa. Hivyo mtoto ndio makombo ama?Mwanamke anakuaje makombo sasa??maana 'tuliofungua kwenye karatasi' si watakua makombo kwa wengine??mwanamke HAWEZI KUA MAKOMBO JAMAA
Wasiebdelee kusoma hii thread waachane nayo inaweza kuwa na matokeo hasi kwao.kwahiyo vijana walio oa single mother wafanyeje sasa?
Bora hao,wanaume wake unakuwa huwajui hata kama mwanamke alikuwa ana wanaume mia hawezi kukuambia kuliko single mother ambaye alishazaa kabisa na aliyemzalisha unamjua,yaani ukimuona tu mtoto wa single mother unamkumbuka baba ake,kwanza mi naona hata kinyaaHahahaaaa. Jamani wanaume nyie ni waoga sana yaani kila mnachoandika ndani mnaogopa kwamba watakumbushia, sijui kupasha viporo mmh.
Kiukweli kabda mkiamua kuwa na familia muwe na wanawake ambao hawajaguswa kabisa ila hawa ambao tayari walikuwa na watu wao nyuma wanaweza kukumbushia pia. Lol
Yaani hapo watu wawili mmeoa mwanamke mmojaWapo ila shida si tabia njema shida ni kuwa kikawaida kama mwanamke kazalishwa na mwanaume na ndiyo mtoto wake wa kwanza hata kama jamaa kamkataaa basi hisia na mapenzi ya mwanamke huyo huamia kwa yule aliyemzalisha kwa hivyo hata kama utakuja kuoa kwa kisingizio kuwa atakuwa anamchukia yule aliyemzalisha ni kujidanganya jomba akiomba muda wowote anapewa kama kaoa vile .
Kwa hivyo kikubwa ni kuwa kama upo tayari kuoa aliyezalishwa basi kubali kuwa mume wa pili hivyo yani .
Yupo sahihikuna mzee mmoja mtaani aliniambia ukioa mwanamke mwenye mtoto,umeoa mke wa mtu!!aiseee nikamuangalia yule mzee....
Yao,exactlyWala huhitaji kumtuma THE BADDEST akatafakari upya, yeye hataki wanawake wa aina hiyo, basi. Wanaume wengi hawataki wanawake wa aina hiyo, hasa kama ni ndoa ya kwanza. Wanaotaka kuoa wa hivyo sawa, hilo ni juu yao, watajua wenyewe watakapokutana na changamoto zake. Maji ukiyavulia nguo huna budi kuyaoga.
Kweli kabisa unageuka kuwa fala,kuoa single mother ni kuoa mke wa mtu afu jamaa anakuchora tuYuko sahihi 100%. Mwanaume anaweza kumtunzia mwanaye hapohapo nyumbani kwako, mkeo anatumiwa hela za matumizi ya mtoto. Na tena siku hizi kuna M-pesa ndiyo kabisaaaa!
Mtoto akikua akaanza shule babake anamtembelea shuleni kutunza 'bond'.
Akikua zaidi akafikia kuoa au kuolewa ndipo utaelewa uligeuzwa 'fala' kiasi gani, babamtu atakapokalishwa high table na mkeo! Halafu wanaambiwa walishane keki (ma MC wote si unajua mambo yao ni copy and paste?)
Kwasababu hata mimi napasha kiporo mara kibao tuHahahaaaa. Jamani wanaume nyie ni waoga sana yaani kila mnachoandika ndani mnaogopa kwamba watakumbushia, sijui kupasha viporo mmh.
Kiukweli kabda mkiamua kuwa na familia muwe na wanawake ambao hawajaguswa kabisa ila hawa ambao tayari walikuwa na watu wao nyuma wanaweza kukumbushia pia. Lol
Watoto wote hao kwahiyo ni nyumba ndogo sasa naye ke ni kuumiza tu mwenzie mwenye mme
mkuu nielewe nachomaanisha mtu kupata mimba hilo ni juu yake yeye.. Ila mm sioi mwanamke aliyezalishwa.
watoto wangu kuzalizwa haina uhusiano mimi kuoa mwanamke aliyezalishwa .
We single mother tulia wewe,ulivua chupi mwenyewe ukazalishwa ukaachwa pambana na hali yako,mwanamke unas
hindwa kujitunza unakuja kumwaga mapovu hapa,mtoa maada ana msimamo wake kwamba hawezi kuoa single mother ndo msimamo wake huo,povu la nini sasa na msimamo wake mimi sioni kama una shida
R
[emoji28] [emoji28] [emoji28] aise mr THE BADDESThaina shida Baba wa kambo
ni uamuzi tu