Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Umewatoa wangapi hizo bikra acha uongo. Kama wapo wengi( meaning umewabikiri ndio maana unatuhakikishia wapo- wakaolewe na nani na ushawabikiri?
Mkuu naona umeniquote vibaya ninaposema wapo wengi simaanishi nimewabikiri wengi bali nina uhakika kuwa haujazunguka tanzania nzima hadi ukapata takwimu kuwa hakuna bikra now days.
Ila kutokana na maneno yanayozungumzwa sanaa kitaaani kwenu pamoja na ww kutoka na hao ambao si mabikra ndiyo kumekufanya ww kufikia hitimisho kwamba hakuna mabikira ila wapo.
 
kwahiyo vijana walio oa single mother wafanyeje sasa?
Wasiebdelee kusoma hii thread waachane nayo inaweza kuwa na matokeo hasi kwao.
Nb
Kuna Jirani yangu ni shehe wa msikiti ameoa mke wa pili mjane mwenye watoto saba. Sababu jubwa ni kumuonea huruma yule mama. Binafsi hata kama ningekuwa muislam na ningeruhusiwa kuoa wake 10 nisingeweza hili jambo.
 
Hahahaaaa. Jamani wanaume nyie ni waoga sana yaani kila mnachoandika ndani mnaogopa kwamba watakumbushia, sijui kupasha viporo mmh.

Kiukweli kabda mkiamua kuwa na familia muwe na wanawake ambao hawajaguswa kabisa ila hawa ambao tayari walikuwa na watu wao nyuma wanaweza kukumbushia pia. Lol
Bora hao,wanaume wake unakuwa huwajui hata kama mwanamke alikuwa ana wanaume mia hawezi kukuambia kuliko single mother ambaye alishazaa kabisa na aliyemzalisha unamjua,yaani ukimuona tu mtoto wa single mother unamkumbuka baba ake,kwanza mi naona hata kinyaa
 
Wapo ila shida si tabia njema shida ni kuwa kikawaida kama mwanamke kazalishwa na mwanaume na ndiyo mtoto wake wa kwanza hata kama jamaa kamkataaa basi hisia na mapenzi ya mwanamke huyo huamia kwa yule aliyemzalisha kwa hivyo hata kama utakuja kuoa kwa kisingizio kuwa atakuwa anamchukia yule aliyemzalisha ni kujidanganya jomba akiomba muda wowote anapewa kama kaoa vile .
Kwa hivyo kikubwa ni kuwa kama upo tayari kuoa aliyezalishwa basi kubali kuwa mume wa pili hivyo yani .
Yaani hapo watu wawili mmeoa mwanamke mmoja
 
Wala huhitaji kumtuma THE BADDEST akatafakari upya, yeye hataki wanawake wa aina hiyo, basi. Wanaume wengi hawataki wanawake wa aina hiyo, hasa kama ni ndoa ya kwanza. Wanaotaka kuoa wa hivyo sawa, hilo ni juu yao, watajua wenyewe watakapokutana na changamoto zake. Maji ukiyavulia nguo huna budi kuyaoga.
Yao,exactly
 
Yuko sahihi 100%. Mwanaume anaweza kumtunzia mwanaye hapohapo nyumbani kwako, mkeo anatumiwa hela za matumizi ya mtoto. Na tena siku hizi kuna M-pesa ndiyo kabisaaaa!
Mtoto akikua akaanza shule babake anamtembelea shuleni kutunza 'bond'.
Akikua zaidi akafikia kuoa au kuolewa ndipo utaelewa uligeuzwa 'fala' kiasi gani, babamtu atakapokalishwa high table na mkeo! Halafu wanaambiwa walishane keki (ma MC wote si unajua mambo yao ni copy and paste?)
Kweli kabisa unageuka kuwa fala,kuoa single mother ni kuoa mke wa mtu afu jamaa anakuchora tu
 
Hahahaaaa. Jamani wanaume nyie ni waoga sana yaani kila mnachoandika ndani mnaogopa kwamba watakumbushia, sijui kupasha viporo mmh.

Kiukweli kabda mkiamua kuwa na familia muwe na wanawake ambao hawajaguswa kabisa ila hawa ambao tayari walikuwa na watu wao nyuma wanaweza kukumbushia pia. Lol
Kwasababu hata mimi napasha kiporo mara kibao tu
 
mkuu nielewe nachomaanisha mtu kupata mimba hilo ni juu yake yeye.. Ila mm sioi mwanamke aliyezalishwa.

watoto wangu kuzalizwa haina uhusiano mimi kuoa mwanamke aliyezalishwa .

Sawa kama huoi them funga mdomo wako kwani kina wengine wanaweza. Watoto wako kwa vyovuote vile watakuuma tu wakizalishwa nyumbani utatamani atokee MTU awaowe. Kitu kama hupendi Kaa kimya ukiomba Mungu akuepushe nalo sio kutangazia ilimwengu kwa sababu hata walimwengu they don't care about ur choice.
 
We single mother tulia wewe,ulivua chupi mwenyewe ukazalishwa ukaachwa pambana na hali yako,mwanamke unas
hindwa kujitunza unakuja kumwaga mapovu hapa,mtoa maada ana msimamo wake kwamba hawezi kuoa single mother ndo msimamo wake huo,povu la nini sasa na msimamo wake mimi sioni kama una shida

R

Mimi sio single ni kwa ndoa zaidi ya miaka ya 35 naongea kutokana na experience we Kijana mdogo hujui maisha tumeona mengi sana kila jua tu unachokipanda Leo utakivuna tu baadae. Be careful na mdomo wako. Vijana niliosoma vyuo miaka hiyo ya wahenga ndio walikuwa wanakandia kina mama na ndio hao Leo binti zao wamezaa nyumbani. So be careful unless huelewi maana ya dunia ni duara.
 
Back
Top Bottom