Mister Awesome
Member
- Jan 4, 2018
- 86
- 82
Hamna shida ni maamuzi yakoMimi nitaoa single mother kwa gharama yeyote sababu sioni cha ajabu ni nini...
ni kama ningekua muislam ningeoa wake wa4 na wote wangekua single mothers..
please like like
Sasa si umalizane nae. Kuna haja gani ya kuwahukumu wanawake wote kwa issue ya mtu mmoja ?Yeye ndo kanifuata
Kila MTU na chaguo lake na wengine wamekua single mother si kwa kupenda hivyo wasiolewe tena kwa vile wamezaa?Msipende kutulaumu, wewe umepewa mimba huko then mimi nije nikuoe,kuoa mwanamke aliyezaa ni sawa tu na kuoa mke wa mtu mwisho wa siku niitwe baba wa kambo au nina roho mbaya, hamjitunzi mnafanya umalaya huko, unakuta mwanamke ametumika, amechakaaa weee amezaa na kuzaa afu duke nimuoe,bora tu nisioe kuliko kuoa single mother, hivi nyie mnaooa single mothers hamjisikii kinyaa,
Kuna ki single mother kinansumbua kweli eti nikioe labda sio mimi duke
Mapovu ruksa
Ila kutwa kucha kuvizia wake za watu pumbavvvvvv.Msipende kutulaumu, wewe umepewa mimba huko then mimi nije nikuoe,kuoa mwanamke aliyezaa ni sawa tu na kuoa mke wa mtu mwisho wa siku niitwe baba wa kambo au nina roho mbaya, hamjitunzi mnafanya umalaya huko, unakuta mwanamke ametumika, amechakaaa weee amezaa na kuzaa afu duke nimuoe,bora tu nisioe kuliko kuoa single mother, hivi nyie mnaooa single mothers hamjisikii kinyaa,
Kuna ki single mother kinansumbua kweli eti nikioe labda sio mimi duke
Mapovu ruksa
Sijakataza mtu kuoa single mother ila nimeweka msimamo wangu kwamba siwezi kuoa single motherKila MTU na chaguo lake na wengine wamekua single mother si kwa kupenda hivyo wasiolewe tena kwa vile wamezaa?
Sipo peke yangu nawawakilisha na wenzanguSasa si umalizane nae. Kuna haja gani ya kuwahukumu wanawake wote kwa issue ya mtu mmoja ?
Bora vicheche kwa sababu nakua sijui kama alitoa mimba hata wewe inawezekana mkeo au demu wako alitoa mimbabora single mother utamtumia hata kupima urijali wako kuliko vicheche watoa mimba!
changamoto pekee ni wao kulinganisha mwenendo wako na wa mtangulizi wako tuu, hapo ndio pakutakiwa kupajua na mwisho wa siku raha mustarehe!!
Basi kama hivyo nyuzi za vibamia nazo zifutweHivi hawa modes kumbe wapuuzi hivi?. Wameuachaje huu uzi unaodhalilisha mama zetu kiasi? Mpaka watukanwe vipi ndo wauondoe?
Mbuga ya Kitulo iliyopo Makete unaifahamu? lakini vijana wa kizazi kipya hamtembei wala hamsomi Jiografia kama huifahamu sitakuahangaa.Hahahaha,Mkuu jina lako unalijua maana ake?
Achana na hao vijana wanaoishi kwa shemeji zao ambao kila siku ni kuanzisha mada za singo maza.OK tumekusikia mkuu swala lako tutalifanyia kazi....nakumbuka kipindi ninamimba nilifungua Uzi fulani humu unawa sema single mother niliumia sana nililia karibu siku mzima nilikua naogopa kuondoka kwa X wangu kutokana na manyanyaso aliyokua akinipa nikiwaza naenda kua single mother ambapo kila siku nitakua nanyoshewa kidole niliamua acha nifie kwa huyuhuyu alienipa mimba ilipofikia siku analeta mwanamke chumba kingine maumivu yalizidi wakati huo ninamimba ya miez saba nakumbuka nilinunua variam 20 ninywe nife bahati mbaya mwanaume sijui alitoka wapi aakawa ameziona any way story ndefu mpaka sasa nikiona uzi wa hivi naumia sana namwambia Mungu kwann mimi kwann uliruhusu hali hii kwangu haya matusi mpaka lini kweli sikupanga maisha ya single mother... Mungu tu anitie nguvu niweze kuzoea haya masimango....Asante mtoa mada Mungu akuepushe na hiki kikombe katika uzao wako wote maana hata wazazi hakuna anaependa mtoto wake azalie nyumbani
Hiyo mbuga ni kubwa???Mbuga ya Kitulo iliyopo Makete unaifahamu? lakini vijana wa kizazi kipya hamtembei wala hamsomi Jiografia kama huifahamu sitakuahangaa.
Lakini pia kumbuka changamoto zake na pia hayo mapenzi ni ya kuigiza tuUzuri wa single mothers wana character moja hivi in common, wakogi submissive sana wakipata mwanaume hivyo kufanya mapenzi yawe motomoto sana hakika ukiwa nae ni fulltime furaha na amani hawanaga jeuri tofauti na hawa watoaji mimba na wale wa bebi usinikojolee ambao wanajionaga wazuri sana na viburi vya aina yake, haofii kuachwa yani hata kwa sababu ambazo hazina mashiko anajua bado ana soko tu hata akiwa age imesonga.
Changamoto zipo tuLakini pia kumbuka changamoto zake na pia hayo mapenzi ni ya kuigiza tu
OK tumekusikia mkuu swala lako tutalifanyia kazi....nakumbuka kipindi ninamimba nilifungua Uzi fulani humu unawa sema single mother niliumia sana nililia karibu siku mzima nilikua naogopa kuondoka kwa X wangu kutokana na manyanyaso aliyokua akinipa nikiwaza naenda kua single mother ambapo kila siku nitakua nanyoshewa kidole niliamua acha nifie kwa huyuhuyu alienipa mimba ilipofikia siku analeta mwanamke chumba kingine maumivu yalizidi wakati huo ninamimba ya miez saba nakumbuka nilinunua variam 20 ninywe nife bahati mbaya mwanaume sijui alitoka wapi aakawa ameziona any way story ndefu mpaka sasa nikiona uzi wa hivi naumia sana namwambia Mungu kwann mimi kwann uliruhusu hali hii kwangu haya matusi mpaka lini kweli sikupanga maisha ya single mother... Mungu tu anitie nguvu niweze kuzoea haya masimango....Asante mtoa mada Mungu akuepushe na hiki kikombe katika uzao wako wote maana hata wazazi hakuna anaependa mtoto wake azalie nyumbani