February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
@Hammaz njoo ukemee..unaaibishwa huku...baadae watu watahisi ni wewe ndo uliandika hayaMimi ni mfano hai,sio shoga wala sitokaa niwe shoga
ila tukija kwenye maswala ya urembo na usafi "mtoto wa kike akasome"
Hamna mtoto wa kike anaeweza kuta mataka taka ya dressing table yangu.
Mimi nachamba hata Asha boko akasome,Asha ngedere akija namflotisha
hii yote ni kulelewa pamoja na watoto wakike,yani kama sio kuokolewa kupelekwa
shule za BOYS tupu nahisi ningekuwa kitu ya ajabu,Maisha nayo ndio yakanitia ugumu
ila kulelewa na mama TU bila baba kwa mtoto wa kiume asee hapana,mleta mada upo sahihi.
Mimi ni mfano hai,sio shoga wala sitokaa niwe shoga
ila tukija kwenye maswala ya urembo na usafi "mtoto wa kike akasome"
Hamna mtoto wa kike anaeweza kuta mataka taka ya dressing table yangu.
Mimi nachamba hata Asha boko akasome,Asha ngedere akija namflotisha
hii yote ni kulelewa pamoja na watoto wakike,yani kama sio kuokolewa kupelekwa
shule za BOYS tupu nahisi ningekuwa kitu ya ajabu,Maisha nayo ndio yakanitia ugumu
ila kulelewa na mama TU bila baba kwa mtoto wa kiume asee hapana,mleta mada upo sahihi.
Hakuna mwanamke, nasema kwa sauti kubwa, Hakuna mwanamke anayejiweza kiuchumi. Uchumi wake anao pale alipo hivyo kuutumia ndiyo kujiweza kwakeJuu ulisema single mothers,Kodi kuna mtu analipia ,nguo kuna mwingne,kula mwingne Yani awajiwezi kabisa kiuchumi
Sent using Jamii Forums mobile app
True BroHii mada ni chungu sana ila huu ndio ukweli
Okkk sawa mkuuHakuna mwanamke, nasema kwa sauti kubwa, Hakuna mwanamke anayejiweza kiuchumi. Uchumi wake anao pale alipo hivyo kuutumia ndiyo kujiweza kwake
Fanya uchunguzi, huenda huyo mtoto si wako.Nina dogo la kiume nikifika linaniangalia usoni sana likiona madevu na sura ilivyo ngumu kuliko ya mama yake linanipa vitasa vya uhakika kichwani shavuni aliishi hapo linaniuma kabisa. Nilikuwa najiuliza ni kwa nini nikapata jibu kihisia si mvutii kabisa hivyo anaishia kunidunda tu ili kupunguza msongo. Haha hahaaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
sijaona lip gloss au poda hapo zaidi ya picha moja ambayo mtoto kapiga pozi feminine kiasi. Mimi nimetoa experience yangu binafsi na ningeomba utafute hata picha mbili za watanzania waliowaremba watoto wao wa kiume maana sijawahi KUONA
vipi una uzoefu na single mothers?hata wanawake wengi wanaokosa heshima kwa ndoa zao ukichukuza utakuta kalelewa na single mother.
Soma comment yangu vizuri mbona nimeshaelezea mkuuUsiseme picha sema pozi na hizo pozi ni za kawaida kweli ?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Husikwame...watoto wengi Waliohalibika ni single parent Hasa mamaKwa nini mnapenda kutunga story zenu kichwani na kuwalaumu watu wasiohusika maana Sijawahi kuona single mama kampaka mwanae lip gloss, wanja au poda ili awe handsome. sio fair kabisa na hamjui ni ngumu kiasi gani kwao kulea watoto wa kiume na wengine huwa wakatili kabisaa kwa sababu hakuna fatherly figure around.
Labda single maza asiyejielewa mwenye upungufu wa kiakili.
Wewe unaonaje?
Hakuna mwanamke, nasema kwa sauti kubwa, Hakuna mwanamke anayejiweza kiuchumi. Uchumi wake anao pale alipo hivyo kuutumia ndiyo kujiweza kwake
Kuna mmoja ni mtu mzima aliniambia aliharibiwa kitabia na baba yake, nilipomuuliza hayo yakitokea mama yake alikuwa wapi? Alikasirika sana na kunionya nisimhusishe mama yake na tabia yake, ilibidi niombe yaishe.Johnny Sack,
Nakataa ushoga sio inborn mkuu.....sababu kubwa ni zile zinazotokana na mazingira yanayotuzunguka ikiweno itilafu kwenye malezi uliowataja hapa ni sample chache sana
Kifupi ni kwamba walizaliwa katika kipindi ambacho huu upuuzi wa masingle mother haukuwepo masingle mother wa zamani walijielewa ila now hawa washinda instagram ni pasua kichwa
Sent from my iPhone using JamiiForums