Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Ila jamani kufika miaka kama 15 ijayo
Tanzania itakuwa ni kizazi cha ma baba wa kambo na mama wa kambo. This is not good for our nation jamaani.
Wabongo punguzine mchezo huu, tumieni kinga basi, wengine tumetulia kwa hiyo kuja kuwa mababa wa kambo mtakuwa mnatuonea. Kuna kina dada wametulia kuwa mama wa kambo mna waonea.
Kina dada pia muwe makini usizae na mtu asiye na mpango na wewe. Wale walio fiwa sina tatzo nao.
Point
 
wananikera na hizi nyuzi zao utadhani hizo mimba huwa tunazitengeneza wenyewe! badala hata kutupongeza kwa uvumilivu wa kulea peke yetu wanalazimisha watu kupta dhambi ya mauwaji kwa kuogopa society itamjudge vipi
Povuuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Waachie wenzio.
As long as hakuzaa na mwanamke mwenzie.
Wengi huishia kulaumu single mama ila sidhani kama wameshakaa na kuzungumza waliyoyapata mpaka wakaamua kuanza upya bila wazaz wenzio,Hamna MTU anapenda kulea mwenyewe ila mazingira yanaamua,Wengi huwa wametulia ila wanapata wanaume vichomi,Nakama kutoa utatoa ngapi?wakati mpenzi anakwambia pipi namaganda sio tamu
 
Tatizo huwa kwa pande zote mbili, ila kwa sisi wanaume utampaje mwanamke mimba ambae huna malengo nae. Binafsi siwez kumfanya mwanangu awe mtoto wa kambo na siwez kuoa mwanamke mwenye mtoto tayari. Wanaume tujitahidi kuishi na wanawake tuliowazalisha ili mtoto apate malezi ya wazazi wote wawili.
 
Tatizo huwa kwa pande zote mbili, ila kwa sisi wanaume utampaje mwanamke mimba ambae huna malengo nae. Binafsi siwez kumfanya mwanangu awe mtoto wa kambo na siwez kuoa mwanamke mwenye mtoto tayari. Wanaume tujitahidi kuishi na wanawake tuliowazalisha ili mtoto apate malezi ya wazazi wote wawili.

na hili ndo jambo la msingi we ukizalishwa jitahidi uishi na huyo baba mtoto.

ili kupunguza mambo yasiyo na ulazima
 
Wengi huishia kulaumu single mama ila sidhani kama wameshakaa na kuzungumza waliyoyapata mpaka wakaamua kuanza upya bila wazaz wenzio,Hamna MTU anapenda kulea mwenyewe ila mazingira yanaamua,Wengi huwa wametulia ila wanapata wanaume vichomi,Nakama kutoa utatoa ngapi?wakati mpenzi anakwambia pipi namaganda sio tamu

Unapokubali hapo wa kulaumiwa ni mwanamke . unaoa mtu haeleweki bado unapanua bila kinga aisee
 
Kwangu mimi kuoa mwanamke au binti aliyezalishwa nyumbani ni ugonjwa.

Haiwezekani mwanaume huna tatizo lolote unaoa binti/mwanamke wa hivyo.

Wengine mtasema mimba bahati mbaya! Serious kabisa kivipi mtu anatongozwa anakubali hadi anavua chupi bado anakubali jamaa anapiga kavu et! Bahati mbaya acheni utani.

Kama ni kubakwa leteni hizo statistics zinazoenyesha kuwa waliobakwa lazima wapate mimba. Binti ameendekeza chips na hela za wakware mimi nije kukuoa na mtoto wako eh!

Najua mtasema na wanaume wenye watoto, je hao wamechukua watoto nyie mbona waliowazalisha hawajachukua watoto?

Nyie wanawake/wasichana wenye watoto pambaneni na hali zenu.

NOTE: HAPA WAJANE HAWAHUSIKI.

Wengine wamezaa na waume za watu kabisa duh!

Poleni single mother.
Yule ambaye hajazaa inawezekana K yake imetembea km nyingi kushinda aliyezaa jambo kubwa ni maelewano mkuu
 
Mtoa mada na wengine mliosupport ni selfish sana.
Aina yenu ndo mnaosupport mwanaune kuna mwanamke nje ni uanaume lakini mwanamke akiwa na mwanaume nje malay**
...Waacheni wadada wa watu. Everyone has a different story. Stop judging!
 
Kuzaa Watoto Baba/mama Tofauti Tofauti Ni Janga Kubwa Pindi Wazazi Wanapofariki Hakuna Maelewano Kwa Hao Watoto
 
Back
Top Bottom