Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Labda kumzalisha watoto wengine kuliko kuoa malaya asiejitambua.
Hahahaa. Hivyo kumpa mzigo mwingine na kuacha unaweza na sio kuoa. Mmh.

Inabidi ubadilishe mawazo yako Mkuu sababu vizuri vitakupita ujue [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Kizuri kwa single mother ni kukidhi haja ya mwili(kupunguzia nyege tu).
Tena ni watamu mno ila kuoa hapana.
Hahahaa. Hivyo kumpa mzigo mwingine na kuacha unaweza na sio kuoa. Mmh.

Inabidi ubadilishe mawazo yako Mkuu sababu vizuri vitakupita ujue [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Mmh. Mie hata sielewi kwa nini mlio wengi hofu ni kwa aliyemzalisha kwamba wataendelea.

Kwani kwa mwanamke uliyemkuta ameshatumika hawezi kuingia ndoani halafu akawa na mahusiano na jimbo lake la nyuma?
Hata ambaye hajazaa anaweza ila aliyezaa ana mazingira rafiki ya kubanjuliwa na mzazi mwenzie. Mara nyingi nimeona wanawake wanapenda sana wanaume waliozaa nao hata kama walishaachana. Wao huona huyo ndo alikuwa wake na wakati mwingine huolewa kwa kulipiza kisasi ila siyo kwamba akili huwa imekubali.Huolewa kuondoa stress. Kwahiyo ikitokea mme mwenza amemtaka ni mrahisi kukubali.
 
Mimi yana niumizaga.

Unakuta dada mzurii unampenda halaf ana katoto kake kazuri, kanafanana na dingi yake kweli. Kila ukikaona unakumbuka jamaa alipenya aka kafyatua haka [emoji1].

Yataka moyo, nawapongeza wazazi wa kambo woote, Mungu awabariki sana kwa mioyo ya ujasiri
Kuoa single mother bora usioe labda in some very rare cases
 
Back
Top Bottom