Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Mimi sio single ni kwa ndoa zaidi ya miaka ya 35 naongea kutokana na experience we Kijana mdogo hujui maisha tumeona mengi sana kila jua tu unachokipanda Leo utakivuna tu baadae. Be careful na mdomo wako. Vijana niliosoma vyuo miaka hiyo ya wahenga ndio walikuwa wanakandia kina mama na ndio hao Leo binti zao wamezaa nyumbani. So be careful unless huelewi maana ya dunia ni duara.
Kama ni kweli wewe sio single mother hongera,sasa mimi kuwa na msimamo kwamba siwezi kuoa single mother ni dhambi???
R
 
Hahahaa
Watu wako careless sana halaf wanakwambia eti ukipenda ua sjui penda na boga lake, hata sjui ule msemo.

Ina niumiza sanaa wadada wanapewa mimba hovyo hovyo sku hizi
wasiwasi ni pale mwenye hao watoto wake akitaka kusalimia damu yake! kuna kukumbushia huko!
 
Halafu wanawake waliojifungua wakaweza maintain miili yao huwa wanavutia sana sijui hata ni kwanini.
 
Kisaikolojia wanawake huumia sana kizalishwa na baadae kuona mwanaume ameoa mtu mwingine. Wengi hujiuliza kwani wao wamekosa nini. Hili wengi hupelekea hata kutembea na mzazi mwenzie kama kumkomoa aliyeolewa. Mara ngapi umesikia wanawake wenza wanagombana na kumwambia mwenzake naweza kurudi nikitaka ili mradi naye awe justification anaweza kupendwa. Utakataa lakini hakuna linalowauma wanawake kama hilo.
Asiye kuelewa hapa hawezi kulewa msimamo wako kabisa.
 
[emoji111] kweli tupu mkuu mi ninavyojua maumivubya kwanza mwanamke kuyapata huwa yanamfanya atengeneze strong bond kwa huyo aliyempatia mfano akitolewa usichana wake na akizalishwa kwa mara ya kwanza so ukijifanya una huruma sanaaaa jua unamuhifadhia jomba tu
Wala siyo lazima awe mwanaume wake wa kwanza. Akishazaa naye tu, the bond is permanent. Afadhali kidogo sana, nasema kidogo sana, yule ambaye mwanaume alikataa mtoto toka mwanzo, lakini swali la 'kwanini amkatae' lazima lijibiwe kwanza kikamilifu, japo bado nasema hafai kuolewa.
 
Mimi sio single ni kwa ndoa zaidi ya miaka ya 35 naongea kutokana na experience we Kijana mdogo hujui maisha tumeona mengi sana kila jua tu unachokipanda Leo utakivuna tu baadae. Be careful na mdomo wako. Vijana niliosoma vyuo miaka hiyo ya wahenga ndio walikuwa wanakandia kina mama na ndio hao Leo binti zao wamezaa nyumbani. So be careful unless huelewi maana ya dunia ni duara.
Ushauri wako uliomwambia kwamba "be careful" ndio anaouzingatia kwa kuhakikisha kwamba anaanza vizuri kwa kuwaepuka kabisa hao single mothers maana watamwekea mfano mbaya nyumbani kwake. Atawezaje kumwonya binti yake kuhusu mimba bila ndoa wakati binti anaona kabisa mama yake ndiyo aliyoanza nayo?
 
Ushauri wako uliomwambia kwamba "be careful" ndio anaouzingatia kwa kuhakikisha kwamba anaanza vizuri kwa kuwaepuka kabisa hao single mothers maana watamwekea mfano mbaya nyumbani kwake. Atawezaje kumwonya binti yake kuhusu mimba bila ndoa wakati binti anaona kabisa mama yake ndiyo aliyoanza nayo?
Hahaaaaaaaaa!!!!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umemaliza maada na mimi nafuata ushauri wake i will be careful kwelikweli
 
Bora hao,wanaume wake unakuwa huwajui hata kama mwanamke alikuwa ana wanaume mia hawezi kukuambia kuliko single mother ambaye alishazaa kabisa na aliyemzalisha unamjua,yaani ukimuona tu mtoto wa single mother unamkumbuka baba ake,kwanza mi naona hata kinyaa
Ishu sio kuzalishwa tu, kwa ujumla kuoa mwanamke aliyebikiriwa na mwanamume mwingine haifai. Inatakiwa mke unayemuoa umbikiri wewe mwenyewe.

Hivi unadirikije kununua nguo ya mtumba wakati nguo mpya zipo tena kwa gharama ile ile? Tena wakati mwingine nguo mpya huwa na gharama ndogo kuliko zile za mtumba.

Hivi kwa nini soda ikija imefunguliwa huwa tunagoma kuinywa?
Kwani kipi cha thamani, soda au mwanamke?

Ukikuta mwanamke kashatobolewa na jamaa mwingine (hata kama hakuzaa) ni shida kuamini kama kweli mahusiano yao yamekatika, maana uwezekano wa wao kukutana na kukumbushia upo kwa asilimia kubwa tu.
Ni wanawake wachache mnooo wenye nguvu ya kukataa akionana na X wake, hata kama hawakuzaa mtoto.

Hii tabia ndio inapelekea wanaume kulea watoto wasio wao, lkn wanawake wanajua mtoto yupi ni wa nani.

Ushauri wangu:
1) Kama hujaoa jitahidi uwezavyo uoe msichana mtakaeanza naye tendo la ndoa-fresh.
2) Kama hujaolewa, na hujabikiriwa jitahidi uwezavyo kutunza ubikra wako hadi siku ya ndoa.

Kama bahati mbaya ulishabikiriwa kabla ya kuolewa, na hamna mpango wa kuoana, omba Mungu upate mwanamume asiyejali thamani ya ubikra katika maisha ya ndoa. Na ukibahatika, basi usilete maringo. Utulie ili kuficha aibu.
 
Ishu sio kuzalishwa tu, kwa ujumla kuoa mwanamke aliyebikiriwa na mwanamume mwingine haifai. Inatakiwa mke unayemuoa umbikiri wewe mwenyewe.

Hivi unadirikije kununua nguo ya mtumba wakati nguo mpya zipo tena kwa gharama ile ile? Tena wakati mwingine nguo mpya huwa na gharama ndogo kuliko zile za mtumba.

Hivi kwa nini soda ikija imefunguliwa huwa tunagoma kuinywa?
Kwani kipi cha thamani, soda au mwanamke?

Ukikuta mwanamke kashatobolewa na jamaa mwingine (hata kama hakuzaa) ni shida kuamini kama kweli mahusiano yao yamekatika, maana uwezekano wa wao kukutana na kukumbushia upo kwa asilimia kubwa tu.
Ni wanawake wachache mnooo wenye nguvu ya kukataa akionana na X wake, hata kama hawakuzaa mtoto.

Hii tabia ndio inapelekea wanaume kulea watoto wasio wao, lkn wanawake wanajua mtoto yupi ni wa nani.

Ushauri wangu:
1) Kama hujaoa jitahidi uwezavyo uoe msichana mtakaeanza naye tendo la ndoa-fresh.
2) Kama hujaolewa, na hujabikiriwa jitahidi uwezavyo kutunza ubikra wako hadi siku ya ndoa.

Kama bahati mbaya ulishabikiriwa kabla ya kuolewa, na hamna mpango wa kuoana, omba Mungu upate mwanamume asiyejali thamani ya ubikra katika maisha ya ndoa. Na ukibahatika, basi usilete maringo. Utulie ili kuficha aibu.
Mimi nitaoa bikra tu maana hamna namna
 
Kaa chini ujichunguze wewe mwenye Family yenu na ukoo Wenu, inawezekana baba na mama, bibi na babu yako walillelewa na wazazi wa kamboa ndipo walipomzaa mzazi wako ukapatikana wewe. Je ulicho andike kitakuwa Sawa.
 
Kuna umuhimu Wa kuchunga kauli zetu maana hatujui yajayo, kuna wanawake walioolewa wakiwa na watoto na ndoa zimekuwa mfano Wa kuigwa, wanapatana, mpk raha, hivyo hivyo kwa wanaume. Je mwanamke akifiwa na mumewe na walizaa asiolewa kwa kuwa ana watoto na kwa wanaume hivyo hivyo?
Ila hizi ndoa za kuoa wenye watoto zina changamoto mie nimeshuhudia kwa macho yangu
 
Aisee wadada/wamama karibuni kwenye ulimwengu wetu, huku hakuna kubaguliwa, kunyanyapaliwa wala kudhalilishwa na furaha na amani till death separate you two.

Mmh wakaka wa JF angalieni kauli zenu kwa dada na mama zenu kwani hao single moms walijizalisha wenyewe?? wewe kama mwanaume unaonaje kutokumlea mwanao akiwa na mama yake? hukua na mpango nae why hukutumia kinga!??

This is why i hate Men walai.

Ptuuuuu.
Na wewe ni single mom?
 
Aisee wadada/wamama karibuni kwenye ulimwengu wetu, huku hakuna kubaguliwa, kunyanyapaliwa wala kudhalilishwa na furaha na amani till death separate you two.

Mmh wakaka wa JF angalieni kauli zenu kwa dada na mama zenu kwani hao single moms walijizalisha wenyewe?? wewe kama mwanaume unaonaje kutokumlea mwanao akiwa na mama yake? hukua na mpango nae why hukutumia kinga!??

This is why i hate Men walai.

Ptuuuuu.
Na wewe ni single mom?
 
Back
Top Bottom