toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Kwa nini mnapenda kutunga story zenu kichwani na kuwalaumu watu wasiohusika maana Sijawahi kuona single mama kampaka mwanae lip gloss, wanja au poda ili awe handsome. sio fair kabisa na hamjui ni ngumu kiasi gani kwao kulea watoto wa kiume na wengine huwa wakatili kabisaa kwa sababu hakuna fatherly figure around.
Mzee first of all most umesema hujawah kuona, which means hauna experience ya jambo hilo waache waliowah kuona watoe experince zao alafu iwe lesson kwa wote, Jambo la msingi ni kujifunza mkuu
Sent from my iPhone using JamiiForums