Nying ulizoorodhesha hapo ni kauli zinazotolewa na watu wenye vitabia flan flan hv vya kulinganisha wapenz wao na watu wengine haijalish ni single maza, mjane, mtalaka etc...
Mwanamke mwenye tabia hii atakulinganisha na yeyote ili mrad afikishe ujumbe wake hata kama sio single maza atakulinganisha na ex wake... utaskia nlivyokua na flan kila siku alikua ananifanyia kitu flan yan sitamsahau ktk maisha yng...
Kama hana ex basi atakulinganisha hata na mume wa jiran yake utaskia flan amepata mwanaume anamfanyia hv na hv yaan ili mrad tu bila kukulinganisha haoni kama anaweza kueleweka
Mwanamke wa namna hii ni ngumu sana kudeal nae na ukimkuta ni single maza ndio inaamsha hasira zaid
Kuna single maza nlishawah kupita nae alikua ananlinganisha na baba wa mtoto wake in positive way bila kuzua taharuk mf. hata alienizalisha hajawah kunikojoza namna hii hiki kitombo cha leo sio cha sayari hii
Sent using
Jamii Forums mobile app