Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Huyo bi khadija alikuwa mjane au aliyeterekezwa/mtarakiwa ?

Maana vijana wanaogopa singlemother walio tengana na wazazi wenzao na hao wazazi wenzao bado wapo hai na sio single mother ambao ni wajane.
Jamaa katuletea mfamo wa Mtume lakin kachanganya single mother na wajane... nazan wake wa Mtume walikua Wajane na sio single mother ya wakat huu baba wa mtoto yupo hai bado yaan utachapiw tu
 
Kiukweli hakuna ubaya kumchumbia single mother na kumuoa huyo mama asiye na mwenzi. Hata kama amezaa, mtoto aliyemzaa na mwanaume mwingine ni baraka kabisa.

Cha muhimu ni kwamba nyote wawili mnapendana na mmejitolea kufanya uhusiano wenu ufanye kazi. Hivyo ukimpata single mother na mkapendana nyote muoe tafadhari hata kama ana watoto watatu oa tu.

Mtume Muhammad ni mfano wa kuigwa hakumuogopa bi Khadija. Jifunzeni kwa huyu mtumishi.

Enyi wanaume waoga acheni ushamba.
Tatizo pesa, Tatizo pesa , Tatizo pesa
 
Kiukweli hakuna ubaya kumchumbia single mother na kumuoa huyo mama asiye na mwenzi. Hata kama amezaa, mtoto aliyemzaa na mwanaume mwingine ni baraka kabisa.

Cha muhimu ni kwamba nyote wawili mnapendana na mmejitolea kufanya uhusiano wenu ufanye kazi. Hivyo ukimpata single mother na mkapendana nyote muoe tafadhari hata kama ana watoto watatu oa tu.

Mtume Muhammad ni mfano wa kuigwa hakumuogopa bi Khadija. Jifunzeni kwa huyu mtumishi.

Enyi wanaume waoga acheni ushamba.
Kwanini wajibebeshe mabaki na matatizo ya wengine wakati wako wasichana wengi wanaohitaji kuolewa?
 
Back
Top Bottom