Multi-skilled
JF-Expert Member
- Mar 1, 2023
- 909
- 3,476
wanawake hawaeleweki lolote laweza kutokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikubwa angalia wameachanaje, vinginevyo utaishia kulia tu hapa.UKIOA SINGLE MOTHER HAKIKISHA MWANAUME ALIYEMZALISHA UMEMZIDI MAMBO HAYA!
Anaandika, Robert Heriel
Usije ukajichanganya, wala asije akakudanganya mtu yeyote. Single mother sio good match kwenye mahusiano hasa Kwa kijana mdogo mwenye umri Chini ya miaka 40.
Single mother wanahitaji mwanaume aliyekomaa kama Simba Bob Junior.
Elewa kuwa asilimia 90 ya single mother wanamajeraha makubwa na maumivu ya mapenzi, na tayari wanaathari za kisaikolojia katika mapenzi. Hivyo wengi ni wagonjwa wa kisaikolojia.
Hii ni kusema, Kabla hujamuoa single mother ni lazima uhakikishe unamtibu ugonjwa wake wa Kihisia Baada ya kuwa Disappointed na Mwanaume wa awali.
Sasa wewe jichanganye uone yupo Sawa Kwa vile anakuchekea, mnaongea vizuri, sio kweli, wengi ni wagonjwa.
Bila kupoteza muda, Kabla hujamuoa single mother hakikisha mwanaume aliyemzalisha umemzidi mambo yafuatayo;
1. Haiba, Mvuto na mwonekano.
Usije ukajichanganya hata siku Moja, Haiba na mwonekano wa mwanaume ni moja ya mambo ambayo Wanawake wote Duniani wanajivunia. Hakuna mwanamke asiyependa mwanaume asiye na Mvuto. Wasije wakakudanganya na unafiki wao.
Wanawake hawanaga ujanja Mbele ya wanaume wenye haiba, Mvuto na mwonekano mzuri. Tena huyo Mwanaume ATI ndio aliyemzalisha, hapo ndio kabisaa!
Ni lazima umzidi Mwanaume aliyemzalisha Haiba, Mvuto, na mwonekano.
Asije kukudanganya ati hawawasiliani, Huko ni kuzidiwa Akili na Mwanamke.
Elewa kuwa Single mother hata kama atakuwa anachuki vipi Kwa aliyemzalisha lakini kamwe hatoweza kujilaumu kuzaa na Mwanaume mwenye haiba, Mvuto na mwonekano.
Na sio ajabu akawa anajivunia Mbele ya ndugu, rafiki na watoto wake kuwa Mwanaume Fulani alistahili kuwa naye katika safari ya Maisha, hata kama haikuwa riziki kuoana.
Kingine, elewa kuwa ikiwa haujamzidi Aliyemzalisha Kwa haiba, Mvuto na mwonekano Kwa Mwanamke ataihesabu kama aibu kwake, na atakuona wewe sio hadhi yake, hivyo lazima akutese.
Yaani aache kuwasiliana na Mwanaume aliyekuzidi kisa wewe umemuoa😂😂 huwajui Wanawake wewe,
2. Umzidi kiuchumi na kifedha.
Wanawake hawajawahi kujuta kuzalishwa na wanaume wenye uchumi mkubwa na matajiri. Hata kama waachane na kugombana vipi. Bado Mwanamke atajivunia na kuona Sifa kuwa anamahusiano na Mzazi mwenza.
Uliona wapi Mwanamke akamsumbua mwanaume masikini aliyemzalisha? Uliona wapi?
Elewa kuwa Wanawake kwao ni ufahari kuchukua majina ya wanaume wenye sifa Fulani kubwa kama matajiri, Watu mashuhuri, Watawala n.k.
Elewa kuwa utakapomuoa mwanamke aliyezalishwa au aliyewahi kuachwa na Mwanaume mwenye uchumi mkubwa, kwake atataka kutambulika kwa jina la Yule mwanaume mwenye Pesa au tajiri kuliko wewe kapuku.
Kabla hajaoa single mother, jihakikishie kabisa mwanaume aliyemzalisha umemzidi kiuchumi, kifedha na kiutajiri.
Mwanamke hajawahi kuacha kitu Kizuri, fedha, na utajiri hata siku Moja.
Kitendo cha kuona Mwanamke uliyemuoa anawasiliana na Mwanaume aliyemzalisha Kwa kisingizio cha mzazi mwenza kitaalamu Sisi kina Taikon tutakuambia huyo Mwanaume anavigezo Fulani alivyokuzidi aidha ni Mzuri/handsome boy, anahaiba au mwonekano mzuri kukushinda au anafedha kukushinda.
Mwanamke akimpata Mwanaume wa hadhi anayoitaka yaani mzuri/handsome boy au mwenye kipato cha juu automatically ataleta dharau Kwa aliyemzalisha, yaani atataka ajitenge naye na kukata mawasiliano kabisa ili asijeharibu mahusiano yake yenye tija.
Single mother wanahitaji wanaume Heavy weight iwe kiuchumi au kimwonekano au kihadhi.
Na sio single mother tuu, hiyo ni kawaida na asili ya Wanawake wote Duniani.
Mwanamke hata ambaye hajazalishwa, ikiwa yupo sehemu nzuri na Mwanaume wa uchumi wa juu au mwenye mwonekano automatically huwadharau Watu wa hadhi ya Chini.
Ni kawaida mwanamke kwenda kushiriki kwenye matukio ya mwanaume aliyemzalisha kama matukio ya misiba, harusi n.k. ikiwa mwanaume huyo anauchumi mzuri.
Yeye naye atataka ajulikane naye aliwahi kuwa na umiliki Kwa huyo mwanaume.
Mwanamke haishii hapo, hata Watoto aliowazaa kwake ni Sifa kuitwa jina la tajiri au mwenye mamlaka ikiwa tuu alimzalisha.
Lakini wewe kapuku na usiye na Mbele wa Nyuma, sio ajabu Mwanamke hata jina la mtoto asiitwe ubin wako.
Nasisitiza, Mwanamke hajawahi kususa na kuacha kitu Kizuri na utajiri. Haipo hiyo.
Kama umezidiwa na aliyemzalisha Mwanamke uliyenaye alafu anakuambia hawasiliani naye. Jua anakudanganya.
Na hapo ndipo mnapoambiwa Wanawake wanawazidi Akili Kwa sababu ya kuamini maneno Yao kama wajinga wajinga.
Mwisho, Mwanamke anasikia aibu kuoelewa na wewe ikiwa aliyekuwa naye awali alikuwa amekuzidi Kwa mbali Mno.
Kudharauliwa katika mazingira hayo ni Constantly.
Sabato NJEMA
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Walio zaa hawaachanagi labda kama alimbaka [emoji23][emoji23][emoji23]
Kikubwa amgalia wameachanaje, vinginevyo utaishia kulia tu hapa.
wanawake hawaeleweki lolote laweza kutokea
Sasa kwanini uoe mwanamke anaekufanya uwe na mashindano na mwanaume mwingine?
Mm naona ni heri uoe single mother ikiwa kaburi la aliyemzalisha umeliona otherwise ni mateso na mfadhaiko wa moyo tu unatafuta...
Povu ruksa!
Kwamba wanawake wameisha duniani hadi nioe mke wa mtu?
Vyote hivyo unaweza kuoneshwa vya mchongoUkiona singo maza hakikisha mume wake amekufa na kabuli umeliona
NB:usisahau death certificate ya mumewe
Ukiona singo maza hakikisha mume wake amekufa na kabuli umeliona
NB:usisahau death certificate ya mumewe
💯🤝Elewa kuwa Mwanamke anaweza kuwa na wewe Kwa sababu mazingira yamemlazimisha hivyo, lakini wewe usiwe mwanaume wa ndoto zake.
You have a point there [emoji419]Single mother ni single mother tuu.
Hata kama aliyemzalisha amekufa, elewa kuna legacy yake Kwa huyo single mother lazima uizidi Kwa mbali Mno. Vinginevyo hataisha kukunyanyasa Dunia ingalipo.
Kila siku kumkumbuka aliyemzalisha,
Kujihusisha na familia ya aliyemzalisha.
Hivyo yaani
💯🤝
UKIONA MWANAMKE AMEKUBALI KUISHI NA WEWE UJUE HANA OPTON NYINGINE
😀 Unajiona umemaliza mwenyewe, eti huyu ndio malkia wangu 😀😀😀😂😂😂
Wakati Kwa upande wetu Sisi wanaume mpaka umeamua kumuoa ni wazi hiyo ndio best option 😂😂
You have a point there [emoji419]
Na yanini yote hayo,hata umzidi nini waliozaa wamezaa tu labda waachane kwa ugomvi
😀 Unajiona umemaliza mwenyewe, eti huyu ndio malkia wangu 😀😀😀
Ohoo. Hujui wewe. Yaani wewe ni kapuku huna mbele wala nyuma mwanamke alale na wewe kisa tu alishazaa na wewe? Thubutu! Tena atakuchukua mpaka utajichukia mwenyewe. Atabadilika kabisa kabisa na anaweza kukuitia polisi ukimkaribia. Hata watoto akiwa na uwezo wa kuwafanya waamini baba yao siyo wewe atafanya.Mkuu, as long as aliyemzalisha bado atakuwa yupo hai. hata umzidi vitu vyote vya hii dunia bado akitaka kukugongea, atagonga safi tu.
Mwanaume, kwamwe hutakiwi kuoa Mke wa mtu.