Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Mtu huna pesa umefika mlimani city au hoteli nzuri unajiamini vipi?
Mtu haujavaa nguo nzuri kisa hauna pesa utajiamini vipi?
Mtu umeenda Kanisani, kuna harambee Watu watoe laki mojamoja alafu mfukoni Una elfu tatu ya nauli, utajiamini vipi?

Umeenda Hospital, huna pesa utajiamini vipi?

Unajua hawa Vijana WA sasa Wanafikiri wanaota ndoto
Utajiri na umasikini ni state of mind, kwenda mlimani city si kuwa na pesa na kutoa laki kanisani sio kuwa na pesa bali ni priorities za maisha.

Vijana wengi mnapata depression kwa sababu mnadhani ukipata hela lazima ung'oe mwanamke mzuri uende mlimani city ku-spend NOOO!

Kuna sehemu yake ukimgusa mwanamke anaanguka mzima mzima wewe jenga nyumba nunua Vogue lakini kuna siku utajipiga bastola kwa sababu umeshindwa kumwelewa mwanamke. Ili uelewe hii lazima uwe na kitu inaitwa EMOTIONAL INTELLIGENCE

Sasahivi mnaongea sababu mndesire ya kuwa na pesa.
 
Wanaume,

Hii tabia ya "EXCEPT ME", imewapoteza Vijana wengi sana. Waliamini kisa wana Mali/mionekano kuzidi Baba watoto aliyezalisha, basi wanaweza kuwatuliza Single Mothers. ila cha Moto walikiona, wanakiona, na wengine wanaobisha hapa watakiona.

Women are loyal to their Feelings. Wanawake wanajali sana hisia zao kuliko kitu chochote. Hizi Materia things kwa Wanawake ni takataka tu. Linapokuja swala la hisia zao, Mwanamke analala na mtu yeyote, sio Kapuku tu. Ni yeyote

OA single Mother, at your own Risk.
Umemaliza kila kitu mkuu, well said
 
Jichanganyeni tu na maoni na mtazamo wa mtu. Oa singo mama ambaye mume yupo ardhini. KATAA NDOA PINGA NDOA.

😄😄😄
Leo Tanashaa anaikalii tu hukoo mbezi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hatari Sana Mkuu.

Mwenye Pesa ndio atapelekwa ustawi wa jamii na kupigiwa simu mara Kwa mara na sio kanyampansila
 
Back
Top Bottom