Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Single mother chenga mi hata sishauri kwa kijana ambaye hajaoa kuoa single mother , hao wanatakiwa wapambane na madanga ya mjini , ukioa single mother hakikisha ana pesa chafu yani weww uwe kibenten
😂😂😂
Umesema na haufuti