Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Mkuu, naomba niweke wazi. Kwa namna yoyote siwezi acha kulea mwanangu lakini je huyu mtoto tumempata kwa makubaliano yapi. Na ndio maana nausema ni mtego kwa sababu kwa namna yoyote utaongezewa jukumu la kukea mtoto ili hali wewe hukua tayari. Sijui umenipata ndugu yangu?? Ila nimeweka wazi, wadada wasitumie hiyo gear, ni vyema kupata consent ya mtu na pia kutoahidi kutowapa wazazi wabkiume majukumu mazito. Majukumu atafanya akijisikia kwani mdada ndio alitaka mtoto.


Lakini swali lakichokozivtu, hivi sperm donors huko ughaibuni huombwa pesa yq matumizi yq hao watoto wanaopatikana kwa mbegu mbegu zao???
Umejibu bila hoja na kama unaweza kamwambie mzazi wako jibu hili kuwa eti makubaliano. Atakudharau mpaka anakufa.
 
Mkuu mimi nimesema mtu asilee, ila watu wawe waangalifu single mothers wanatumia mbinu hiyo kupata mahitaji yao na kuvimba mtaani kuwa wanalea watoto kwq nguvu zao. Kiufupi, bandiko lqngu nikumbusha kijana anapokuwa anapiga show na hawa single mother asiache kuvaa kondomu. Naomba niishie hapo, naona we Mkuu upo ku defend single mothers ili hali bandiko linasema watu wasilee watoto wao.
Halidefend single mothers wewe ndio unalengo la kuwaharibia single mothers. Ujinga huu nauishe sasa!
 
Tunakubaliana kuwa wewe utahudumia, hivyo mimi nitahudumia pale ninapotaka kwa mfano nachagua kuwa mimi nitalipa Ada tu lakini baadae ubao unageuzwa kinyume na kesi juu na ulivyo mfumo unamlinda mtoto wa kike zaidi, kijana wa kiume atabanwa na mshahara wake utawekwa kwenye ubao wa kukatwa kila mwezi kitu ambacho hakikua makubaliano.
[emoji23][emoji23][emoji23] eti nitahudumia ninapotaka, ndugu unajua majukumu ya mwanaume kweli[emoji23][emoji23][emoji23]. Kizazi kimeisha hichi!
 
Eti mtego!!! Hivi wanaume wa kizazi hiki akili mmepeleka wapi?
Mafurushi makubwa.
Hapa sitakupinga, unaweza kutukana aisee. Yaani anakimbia majukumu aliyoyataka mwenyewe na asili yake. Sasa sijui abadilishiwe majukumu ya jinsia yake.
 
Umejibu bila hoja na kama unaweza kamwambie mzazi wako jibu hili kuwa eti makubaliano. Atakudharau mpaka anakufa.
Huwezi kuelewa kwa akili za kike kike ulizonazo. Siku ukija kuwa mwanaume ukaacha kugawa kinyeo chako utanielewa. This is a solid food for a matured mind.
 
Kimeisha kama mat*ko ya mama ako.
😂😂😂😂 unakimbilia matusi kweli, umeshindwa hoja. Sasa mama yangu kakukosea nini😂😂😂. Yaani mwanaume unataka damu yako ulelewe na mtu mwingine. Nenda ukue kwanza dogo.
 
Huwezi kuelewa kwa akili za kike kike ulizonazo. Siku ukija kuwa mwanaume ukaacha kugawa kinyeo chako utanielewa. This is a solid food for a matured mind.
Nabado ukaendelea kutukana😂😂😂😂 halafu unaita akili za kiume ni kukimbia majukumu, dah! Tumeisha. Pia chief unajua kimjazacho mtu ndio kimtokacho, yaani yanakutoka mambo ya ushoga na ngono kinyume na maumbile, kwatafsiri ya haraka bila deep analysis, unawaza sana hayo mambo kuliko vitu vingine vyovyote😂😂😂. Kwanini unawaza ushoga dogo, aisee. Tumeisha.
 
Malezi kupitia dawati la jinsia huwa ni gharama ndogo sana, naonaga upuuzi tu demu akiegemea upande huo…. 50k kwa mwezi ni nini?
 
".......usijali La Aziz mtoto akipatikana nitamlea Mimi na familia yangu...."
Ukiingia KINGI umekwisha......
RIP....
 
Hivi mile zimesogea ndo nini
Gari linapimwa uchakavu kwa kuangalia umbali (kwa miles) iliyotembea. Gari lililotembea mile nyingi, ina nafasi kubwa ya kuwa chakavu na lisilopendeza sana. Gari hilo pia lina uwezekano limeshafanyiwa marekebisho mengi. Gari hilo pia, uwezo wake wa engine umeshuka na haina nguvu tena..

Vijana wanaposema mile imesogea kwa muktadha wa wanawake ni kwamba, mwanamke husika ameshapitiwa sana na idadi kubwa ya wanaume. Ameshachakaa na papuchi yake inatepeta.

Je, mile zako zimetembea? 🤣😋🤣
 
Nabado ukaendelea kutukana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu unaita akili za kiume ni kukimbia majukumu, dah! Tumeisha. Pia chief unajua kimjazacho mtu ndio kimtokacho, yaani yanakutoka mambo ya ushoga na ngono kinyume na maumbile, kwatafsiri ya haraka bila deep analysis, unawaza sana hayo mambo kuliko vitu vingine vyovyote[emoji23][emoji23][emoji23]. Kwanini unawaza ushoga dogo, aisee. Tumeisha.
Punguza nyege bro. Kama wewe huhudumi familia ni wewe ila kuwatetea hao dada zako wadaganji hakukusaidii lolote. KMLY
 
Unazaaje na mtu na huna mpango wa kumuoa yaan mnaona sawa kabisa eti ooh mtego...yaan mwanaume uzae na mwanamke afu mtoto alee mwanamke peke ake.
Shida hamja elewa. Sijui ni hadi mpigwe na ub*o mashavuni ndio muelewe.

Lakini jua tu kuwa, hojq hapa sio kukataa kulea ila tunaikataa hiyo mbinu yao ambayo wengi wameingia kwenye matatizo kwani walipewa mizigo bila wao kuwa tayari. Mimi siamini kama suala la kuzaa anayepaswa kuamua ni wakati gani ni sahihi kushika mimba ni mwanamke pekee yake. Mtu unamwambia mtumie kinga anasema ana allergy nazo, haya ukamwambia basi wewe utumie njia za uzazi amakataa baadae anaanza kutumia nusu shingo baadae mwanaume unaambiwa umepiga mimba mtu. Na hapo mtu unamwambia kuwa mbona mimi sipo vizuri kwa sasa usishike mimba ila yeye anashika mimba kisa tu yeye anataka. Ila kwa sababu mnakaza fuvu kuelewa endeleeni kukaza, ila hoja hapo sio kutelekeza.
 
Gari linapimwa uchakavu kwa kuangalia umbali (kwa miles) iliyotembea. Gari lililotembea mile nyingi, ina nafasi kubwa ya kuwa chakavu na lisilopendeza sana. Gari hilo pia lina uwezekano limeshafanyiwa marekebisho mengi. Gari hilo pia, uwezo wake wa engine umeshuka na haina nguvu tena..

Vijana wanaposema mile imesogea kwa muktadha wa wanawake ni kwamba, mwanamke husika ameshapitiwa sana na idadi kubwa ya wanaume. Ameshachakaa na papuchi yake inatepeta.

Je, mile zako zimetembea? 🤣😋🤣
Maisha mafupi, acha zitembee tu
 
Back
Top Bottom