Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Single mother akutane na Single boy mtoto wa mama.....ahahahaa
 
Sioni haja ya salamu

Sisi wengine tulikuwa wabishi kama wewe, tukaone watu wa Jamiiforums wamekuwa negative sana kwa single mother.
Lakini ukweli ndio huo. Nisamehewe kwa kupuuza mafundisho yenu kuhusu single maza. Hiki ni kiumbe hatari sana,kiko kimaslahi zaidi.

Pili usionee huruma single maza anapokuja na hadithi zake za kutendwa na aliyekuwa jamaa yake. Hata kama alitendwa kweli, usionee huruma. Unaweza kuonea huruma ukamfariji na bado akakupiga tukio.

Kwa hiyo ni kukazia tu, yote yaliyosemwa humu kuhusu single maza ni kweli tupu.
Kumpata single mother mwenye akili ni nadra sana, karibia wote wanejaa changamoto tupu, jambo lisemwalo kamwe usilipuuze hata kidogo
 
Hakuna mwanaume mwenye akili timamu atakayemuacha mwanamke ambaye amemzalia mtoto/watoto kwakukubaliana na huyo mwanamke ana tabia nzuri...Usisikilize wala kuamini story na madongo yao kuhusu mzazi mwenza ukakiingia choo cha kike,UTACHUCHUMAA TU!.
 
Bonjour.

Aisee sio poa ndugu zangu, yani siku hizi single mother zimejaa sana mtaa, daaa. Yani kila Dem nikitongoza kwa ajili kuwa nae kwenye mahusiano, katika kumi, tisa ni single mother. [emoji2]

Mpaka kuna mda na stop kwa kutongoza tongoza, na mm Dem akishaniambia ana mtoto, aise moto unakata kabisa, kwani nyie madem mnaferi wapi? Au ndio utam wa pipi bila maganda.

Na katika wanaume kumi, wanaume tisa hawataki kabisa kuoa single mother, hii ratio sio poa kabisa.

Mimi sitaki kabisa, kuja kulea bao la mwanaume mwenzangu wakati huyo mwanaume mzima na hema.

At least kwa single mother aliye fiwa na mume wake, na cheti cha kifo tukione.
Tatizo hili la wanawake wengi kukaa bila kuolewa ni kubwa sana siku hizi.
Kibaya zaidi wengine wameamua kuvunja ndoa zao ili wawe ma singlemothers.
Hali hii kwa kiasi kikubwa inasababishwa na kiburi kilichowajaa vichwani mwao.
Ukimgusa tu anakimbilia polisi.Hatahili swala haki sawa linasababisha vurugu majumbani,
Unakuta mama anataka amtawale mwanaume, na mwanaume naye hataki atawaliwe,na matokeo yake ni kuachana.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu siyo kila Single mother! Single mother wabaya ni wale waliozalishwa na mabwana zao harafu wakatelekezwa! Lakini wale waliofiwa na mabwana zao hao hawana shida.
 
Bonjour.

Aisee sio poa ndugu zangu, yani siku hizi single mother zimejaa sana mtaa, daaa. Yani kila Dem nikitongoza kwa ajili kuwa nae kwenye mahusiano, katika kumi, tisa ni single mother. [emoji2]

Mpaka kuna mda na stop kwa kutongoza tongoza, na mm Dem akishaniambia ana mtoto, aise moto unakata kabisa, kwani nyie madem mnaferi wapi? Au ndio utam wa pipi bila maganda.

Na katika wanaume kumi, wanaume tisa hawataki kabisa kuoa single mother, hii ratio sio poa kabisa.

Mimi sitaki kabisa, kuja kulea bao la mwanaume mwenzangu wakati huyo mwanaume mzima na hema.

At least kwa single mother aliye fiwa na mume wake, na cheti cha kifo tukione.
Nyie ni wale watoto ambao mlijitunza mkiamini mtakuja kutafuta ukubwani mmefika ukubwani mmekuja kukuta mambo ni different
 
Tatizo ni sisi wanaume...unamzalisha mwanamke na unamkimbia...mwanaume kamili akimbii matatizo...

Japo na wanawake wanashida kutembea na wahuni ( wamaume wasiojitambua) kisa tu ya mionekano yao ya nje....

NB. Mwanaume aliyetelekeza mtoto huwa hawi na furaha kamwe hata akiwa na hela ni majuto nao mwamzo mwisho...bora ukizalisha mwanamke kubali tu kubeba msalaba
 
Idadi ya singo maza ni kubwa sana Usisahau pia wanawake wengi age under 25 wapo katika machaguzi awe, mrefu awe na hela ,mwanaume asiyejua kuvaa simtaki kipindi hichi mnakuwa na market kubwa sana mnajaa dharau na kiburi matokeo yake ndio hayo mnakutana na wahuni kuzalishwa na kuachwa mkifika miaka 31 tunawaona hata hapa jf tena vigezo vikiwa vimepungua kabisa
Niliwapa ukweli kama huu mabinti wa ofisini ila sijui kama walinielewa.
 
Shida yangu kwanini uzae ni single Maza na uleee watoto wake wakati kuna wasichana kibao wamejaa Tena hawana watoto.


Mwanaume tafuta pesa wanawake wapo wengi sio kwenda kujibana Kwa singo mama
Okey.
 
Back
Top Bottom