bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Hapa ni ishu ya ukosefu wa elimu ya mahusianoBonjou mensiuor, comme _nt c'ava? Ndio ni fasheni, mastaa ndio weme lounch kitu hichi. Unakuta binti mdogo ana watoto wawili kila mtoto ana baba yake lakini binti anaishi peke yake na watoto wake huku hao wababa watoto wapo hai