Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Wengi wanafurahia mahangaiko Yao mwanamke kubeba mimbayako Inatosha kabisa kumheshimu anaharibika mwili anapoteza mvuto,mwingine anakuwa mgonjwa wapo wanaooteza maisha kwaajili ya kuwalet watoto duniani sisemi kuwa single mama ni Bora sio sawa kuwakejelj na kuwakashfu

Binti abebe mimba mkiwa mnapendana na sio vinginevyo.

Tatizo mimba zinabebwa Watu wakiwa kwenye tamaa unategemea heshima hapo?

Kwanza Sisi wanaume wenyewe tunajidharau pale tunapofanya sex na Mwanamke Kwa tamaa alafu tunajutia. Hivi unategemea mimba itakayotoka hapo tutaifurahia na kumheshimu huyo MWANAMKE?

Embu tuongee black and white, tuweke unafiki pembeni tuliouzoea kwenye jamii yetu
 
Wengi wanafurahia mahangaiko Yao mwanamke kubeba mimbayako Inatosha kabisa kumheshimu anaharibika mwili anapoteza mvuto,mwingine anakuwa mgonjwa wapo wanaooteza maisha kwaajili ya kuwalet watoto duniani sisemi kuwa single mama ni Bora sio sawa kuwakejelj na kuwakashfu
Unawezaje kumbebea mimba mwanaume asiyekuwa mumeo?,Hivi huo uthubutu mnaupata wapi?

Hili swali mnaliruka futi 100
 
Leo Niko ofsn kuna kabint kamekuja kana mimba namuuliza vipi tena et kananijibu nimeamua tu niwe Na mtoto una malengo gani hakuna jibu nikakafukuzia mbali stak watu wapuuz

Hukufanya Fair.

Ni kajinga lakini kana Haki ya kusaidiwa na kuelimishwa.

Wewe ni Kaka yake hata kama ni wahiyari.

Lakini zaidi wewe ni Mwanaume, jukumu lako ni kuhakikisha jamii yako inakuwa salama akiwepo huyo Binti.

Siku nyingine usirudie.
 
Hatuwezi kuwa na jamii ya mijianamke ambayo imezoea kuvua vua chupi ovyo kwa kila mwanaume halafu tusiyaseme!

MWANAMKE KUITWA SINGO MAZA SI KWASABABU YA UJANJA WA WANAUME BALI NI UJINGA WA MWANAMKE MWENYEWE!.

NIPO HAPA MBEZI INN MTAA WA KISIGA HOUSE NO_ 68,NJOONI MNIUE WAPUUZI NYIE!
Na ndio hiyo hiyo mijanamke inatuita mbwa tukiisha itumia baada ya kuvu chupi
 
Hukufanya Fair.
Ni kajinga lakini kana Haki ya kusaidiwa na kuelimishwa.
Wewe ni Kaka yake hata kama ni wahiyari.
Lakini zaidi wewe ni Mwanaume, jukumu lako ni kuhakikisha jamii yako inakuwa salama akiwepo huyo Binti.

Siku nyingine usirudie.
Ukiwa una muelekeza mtu alafu majibu yake anajiona ulimwengu ndio Wa kwake inabd umuwache akapambane na ulimwengu wake kana majibu ambayo huwezi fikiri kwa umri wake anaweza kukujibu ni kabint ambacho kamedate Na watu wazima kwahyo yeyote anaemuona anaona anawamudu nakafahamu muda mrefu Na nilishakakanya hakuwakunielewa
 
Ukiwa una muelekeza mtu alafu majibu yake anajiona ulimwengu ndio Wa kwake inabd umuwache akapambane na ulimwengu wake kana majibu ambayo huwezi fikiri kwa umri wake anaweza kukujibu ni kabint ambacho kamedate Na watu wazima kwahyo yeyote anaemuona anaona anawamudu nakafahamu muda mrefu Na nilishakakanya hakuwakunielewa
Hahahaha
 
Ukiwa una muelekeza mtu alafu majibu yake anajiona ulimwengu ndio Wa kwake inabd umuwache akapambane na ulimwengu wake kana majibu ambayo huwezi fikiri kwa umri wake anaweza kukujibu ni kabint ambacho kamedate Na watu wazima kwahyo yeyote anaemuona anaona anawamudu nakafahamu muda mrefu Na nilishakakanya hakuwakunielewa

Vizuri Mkuu.
 
Niliwahi kuwaeleza humu JF na naendelea kuwakumbusha:

Hakuna "single mother" duniani, hajawahi kutokea na haitotokea.

Kila mtoto ana mama'ke na baba'ke.

Ukiona "singo mama" hana hata mwanamme wa kumbambikia huyo mtoto elewa kuwa alizaa na baba'ke, kaka'ke, mjomba'ke.

Siri tu zinafichwa.
 
Niliwahi kuwaeleza humu JF na naendelea kuwakumbusha:

Hakuna "single mother" duniani, hajawahi kutokea na haitotokea.

Kila mtoto ana mama'ke na baba'ke.

Ukiona "singo mama" hana hata mwanamme wa kumbambikia huyo mtoto elewa kuwa alizaa na baba'ke, kaka'ke, mjomba'ke.

Siri tu zinafichwa.
Jana ulifunguliwa uzi kwamba usamehewe... umekuwa na ushawishi mkubwa sana mpaka inafikia hatua ukivunja sheria na mods wakiamua kukuadabisha wananchi wanaingilia kati. Umefanikiwa kuaminisha umma kwamba wewe ni Muheshimiwa Rais 😁😄😄😄🙌🏾
 
We BAZAZI unaongea na Dumbe la mbegu linaloheshimu na kuthamini wanawake. Sifa kuu ya mwanamke ni kuzaa! Ungekuwepo bila mwanamke?! Ningekueleza mengi ila nafkiri nazungumza na mtu asiyejielewa. Muda wa kutumikia taifa huu we endelea na uropokaji wako
Nakwambia hivi, Single Maza ni Nuksi Mkosi, Gundu na Laana.

Hao wanawake na wao wasinge kuwepo bila wanaume.

Unatetea ujinga na upumbavu wa single mothers.

Hakuna thamani kwa mwanamke mjinga hasa single Maza.
 
Nakwambia hivi, Single Maza ni Nuksi Mkosi, Gundu na Laana.

Hao wanawake na wao wasinge kuwepo bila wanaume.

Unatetea ujinga na upumbavu wa single mothers.

Hakuna thamani kwa mwanamke mjinga hasa single Maza.
Punguza ukali wa maneno we MPUMBAVU! Umeamka na pombe kichwani au hellucination za mabangi na maunga zinakupa uchizi kidogokidogo?! 🤔
 
Punguza ukali wa maneno we MPUMBAVU! Umeamka na pombe kichwani au hellucination za mabangi na maunga zinakupa uchizi kidogokidogo?! [emoji848]
Huwezi kujenga hoja.

Unatetea ujinga na upumbavu wa single mothers.

Nakwambia hivi Single Maza ni Nuksi, Mkosi, Gundu na Laana.

Au ulizaliwa na Single Maza nini?

Utakuwa na nuksi pia.
 
Back
Top Bottom