Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Angalia unapotoa mada kama hii je kwenu pako salama! nadhani una dada,binamu na ndugu lukuki kati yao hamna single mother! mwana ukome kudhalilisha watu hayo ni maisha na mapito yao binafsi.Am not single mom lakini sijapendezwa na hiyo kauli yako acha kufuru kabila hujafa,hujaumbika kijana.
 
Unatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?

Single mama hana moyo wa kupenda tena. Hapo amekufanya wewe mwanaume kuwa mti wa kivuli cha shida zake za hisia, kiuchumi, kijamii, n.k. Wahenga wanasema "moyo wa mapenzi ni kama glasi, ukipasuka ufa wake hauzibiki". Maana yake kupenda hakujirudii mara mbili, hasa hasa mwanamke akisha zalishwa...ni kana kwamba moyo wa kupenda unatoka pamoja na mtoto kule leba.

Wewe mwanaume uliyekamilika na unajiamini unaanzaje kumuoa single mama?? Ona kinyaa ndugu yangu. Single mama alishapenda tayari na ndiyo maana akaamua kumpa yule mzazi mwenzie mpk akapata ujauzito. Si ajabu alimkuta bikra jamaa akaitoa, kisha akarudia na kurudia na kaurudia hadi mimba. Leo wewe mkolomije unaenda kuoa. Acha uzembe kwenye mapenzi.

Tafiti zinaonyesha kwamba mwanaume wanao oa masingle mama-- wako katika mojawapo ya makundi yafuatayo;-
--hawajiamini
--wanafuata maslahi
--ni washamba washamba Fulani HV
--waliruka stage ktk makuzi yao

WITO; raha ya soda ukute haijaonjwa

Kama nimekuelewa vizuri: Unamaanisha
(i) wanaume wanaotaka kuoa watafute wanawake bikra kwa kuwa bado wana vizibo (hawajanywewa), pia bado wana moyo wa kupenda (kupenda hakujirudii mara mbili).

(ii) Kwa kuwa wanawake bikra ambao hawajapenda ni nadra sana siku hizi, pia wanaume wasio wazembe,wanaojiamini,wasiofuata maslahi,wajanjawajanja fulani hivi na ambao hawakuruka stage katika makuzi yako wako wachache sana.

(iii) KWELI raha ya soda ukute haijaonjwa, je hwa viumbe wasioonjwa (bikra) wapatikanaje ? maana ni adimu sana kwa maadili ya siku hizi.

NB: Nionavyo mimi tofauti kati ya mwanamke aliyeishawahi kuwa kwenye mahusiano (waliokwisha bikiriwa) lakini hajazaa na yule aliyeishazaa ni jukumu la ulezi tu.
 
Ndo tumeshakuwa tofauti....utasema wanaume hawana makosa katika ndoa??kila ndoa inayovunjika basi mkosa ni mwanamke...una uhakika?..na kama mkosa sio mwanamke je akiachwa ndo aonekane hafai?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok kwa hiyo atakae achika huko kama kosa ni la mwanaume basi adondokee kwa wanaume type yenu coz mleta mada kisha categorize wanaume wanao oa singo mom so we chagua tu upo kundi gani[emoji28] [emoji28] [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiria pale mwanamke anapoolewa halafu baada ya wiki mume akapata ajali akafariki, huyu binti si atakuwa single mama? Je hatofaa kuolewa tena? Kwa nini mnapenda kukejeli sana watu?
Kwan sio singo mama
Ye pia ni singo mama japo ni mjane
Lakin hiyo inatokea mara ngapi/asilimia ngap?
Hiyo ni special case

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aigoooooo[emoji134]
My poor Child mama yako nitasanda mbona

Sent using Jamii Forums mobile app

heeey chillax,jiamini mwanamke na jiheshimu na heshimu mahusiano yako tu!
wako watu watakaoelewa bila shida.hofu kubwa ni nyinyi kupasha kiporo na wazazi wenza wenzenu..ukimuhakikishia mdau kua hilo halipo kwa vitendo utapata uhusiano wa kudumu wenye afya bila shida yoyote!
 
Hivi lini nyie watu wa kizazi hiki.mtaacha kuwatusi mama,dada,wake na watt wenu?

Haya ww usafi sana mtoa mada. Je yupi afadhali kati ya mwanamke aliyewah kuzaa na akaolewa akatulia na mumewe na mwanaume ambaye hujiona msafi lkn Kila siku anawavulia Adi vichaa chupi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi nyie kina dada lini mtaacha kutania kaka,baba,waume na wajomba zenu kwamba wana vibamia?[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti asioe single mother...puuuh! Na wewe mwanaume mbona ushatumika saana. Una upya gani? Au kwa kuwa wewe mwanaume huzalishwiii?? Pyuuuuuu[emoji57]
shida kubwa ni ile kauli mbiu kuwa ''hawara hatongozwi''....kwenye kukona watoto/mtoto mnakumbushia pia..huo ndo wasiwasi mkubwa haya ya kutumika ni by the way tu!
 
Salute to all the single mamas. Ukiona mtu anaongea ongea sana kuhusu single mothers ujue kuna issue haiko sawa upande wake. Nakupenda sana wewe single mother. If you do me the honour I'll marry you. [emoji7]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipya ni bikira mkuu ukikuta msichana kashafunguliwa njia hamna kipya apo wote ni masingle mother tofauti ni kwamba mmoja watoto wapo hai mwingine amewaua
Afadhali umesema hayo leo maana watu wakizungumza kuhusu umuhimu wa bikra watu wanabisha
Any ways huyu hana bikra af katoa mimba tano
Au huyu hana bikra katoa mimba tano na ni singo mama yupi afadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada anagalia hawa tunaotatajia kuoa,wengi wametumika sana tena wengine wamevunjiwa heshima kwakuliwa mbele na nyuma,sijui kwanini umeamua kuwapa thamani wanawake hawa ambao vyuoni wanachoropoa mimba kibao na tutazidi kushuhudia wakichoropoa kwasababu ya tamko la Magu.

Kiufupi mwanamke anaweza akafanya mapenzi maramoja na akapata ujauzitp na mwingine akafanya mata elfu moja asipate au akapata halafu akazitoa kadri anavyoweza na mwisho wa siku yule atakayeamua kuzaa akaonekana katumija sana kumbe siyo.



Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo alotoa mimba babake ataulizia matunzo?[emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama umekuta mwanamke hana bikra ni sawa na soda iliyofunguliwa sio lazima awe amezaa..
Unatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?

Single mama hana moyo wa kupenda tena. Hapo amekufanya wewe mwanaume kuwa mti wa kivuli cha shida zake za hisia, kiuchumi, kijamii, n.k. Wahenga wanasema "moyo wa mapenzi ni kama glasi, ukipasuka ufa wake hauzibiki". Maana yake kupenda hakujirudii mara mbili, hasa hasa mwanamke akisha zalishwa...ni kana kwamba moyo wa kupenda unatoka pamoja na mtoto kule leba.

Wewe mwanaume uliyekamilika na unajiamini unaanzaje kumuoa single mama?? Ona kinyaa ndugu yangu. Single mama alishapenda tayari na ndiyo maana akaamua kumpa yule mzazi mwenzie mpk akapata ujauzito. Si ajabu alimkuta bikra jamaa akaitoa, kisha akarudia na kurudia na kaurudia hadi mimba. Leo wewe mkolomije unaenda kuoa. Acha uzembe kwenye mapenzi.

Tafiti zinaonyesha kwamba mwanaume wanao oa masingle mama-- wako katika mojawapo ya makundi yafuatayo;-
--hawajiamini
--wanafuata maslahi
--ni washamba washamba Fulani HV
--waliruka stage ktk makuzi yao

WITO; raha ya soda ukute haijaonjwa
 
Nimemuelewa sana mtoa mada. Kuna complications za kuoa mwanamke alokwisha zaa, kwa maana kwamba bado atawasiliana tu na baba wa mtoto even if mtakua pamoja, Mtoto ataendelea kuwakutanisha na kama ujuavyo wanawake walivyo dhaifu ni rahisi pia kukumbushia. Pia kuna complication za malezi ya mtoto tuwe wakweli guyz huwezi mpa malezi yale mtoto wa mwanaume mwenzio akati unajua kabisaa baba yake yupo somewhere anakula bata wewe uhenyeke na maskuli fiz.
Mtoa mada kaona mbali kwa nini uingie kwenye makomplikesheni hayo akati kuna ryt desisheni ya kufanya?
Acha masingo maza waolewe na masingo faz.
Yaan we ndo umemaliza kabisa ambae hata kuelewa basi atakua either kilaza au mnafiki kiwango cha uzamivu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua ungali bado unaishi usiongee mabaya, hapo ulipo hujui kesho yako. Wengine wamekuwa hivyo kutokana na mazingira waliyokutana nayo. Wengine walifiwa na kubaki wakilea watoto peke yao. Kuna mambo mengi mtu amepitia mpaka akawa hivyo, usipopitia wewe wanaweza kupitia watoto wako. Usimtukane mkunga na uzazi bado ungalipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Leo wanaosemaga vibamia naona wameufyata
Kumbe wana busara hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitoa kauli kama hizi hakikisha wewe ni mgumba maana kama una kizazi Mungu atakuonyesha the real single mothers kwa kutumia binti zako. Tujifunze sana tusi hukumu watu as long as tunataka vizazi vyetu viwe na baraka. Kama unaona single mothers au fathers hawafai piga goti chini uwaombee utabarikiwa tu.
 
Huyo alotoa mimba babake ataulizia matunzo?[emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unakwepa matunzo au..?

Hujui kuna wanawake wamezaa na wanajiweza kimaisha na wanao uwezo wakukutunza hata wewe mkwepa matunzo?

Kama ni hivyo mtoa mada angetoa mada yake iki-base kwa wale ambao hutegemea kutunziwa watoto wao na wanaume wanaowaoa wakiwa wana watoto.

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Salute to all the single mamas. Ukiona mtu anaongea ongea sana kuhusu single mothers ujue kuna issue haiko sawa upande wake. Nakupenda sana wewe single mother. If you do me the honour I'll marry you. [emoji7]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeamin sisi wanaume si watu wazuri we utakua kuna singo mama unamfukuzia humu una pretent akinasa amekwisha
Ila kinachonishangaza hii mbinu inawanasa kila siku[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom