Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
hivi kipi bora kuoa single mama au mwanamke aliyetoa mimba saba?unafikiri yupi anamaumivu? bado mdogo hujui bado kwanini hayo yalitokea hivyo kuwa na muda wa kutosha wa kujifunza zaidi kuliko kuwahukumu.
hebu jaribu kuvaa uhusika wa mazingira hayo au huyo ndio mama yako.
Single mother akaolewe na huyo aliyemzalisha! Kama ni mke wa pili ni chaguo alilochagua yeye!
 
Mfano wa Soda na Single mother wala haviendani na havina uhusiano wowote kwa kuwa soda ni kimiminika hakina hisia lakini huyo Single mother ni binadamu na ana hisia. NINGEKUWA MIMI NINGETENGUA KAULI NA KUOMBA RADHI.

Hujui amepitia wapi na mangapi huyo mama, wengine walitelekezwa, wengine wamefiwa na wapendwa wao ingawa kuna wengine walijitakia wenyewe n.k. Lakini hii haiondoi ukweli kuwa wanahitaji faraja na maisha lazima yaendelee mbele.

Wajibika Mama aishi.
Wewe ni single mother?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakat tunaagana,akawa ananishkuru kua nmempa burudan sana leo,pia kipind niko nae frm mchana,alikua anapokea sana phone calls,akiongea ni mambo ya shule ya mwanae,amerudishwa home,alikua anapigiwa sim na bro wake kua atamrushia chochote kitu ajazie ada,..sasa nkatafakar ,nkasema mmh huu mzigo nsije bebeshwa mie ,..yan tokea juz naskilizia hko kizinga,ila bado sjapigwa,.naskilizia though..ingawa tunawasiliana kama kawaida tokea juz na hajadokeza hzo mambo za vizinga,sasa sjui ni uoga wangu tuu.maana
Mambo mengne mnajitafutia wenyew mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaaa una matusi sana...dah unajua hili jambo lina ukweli kiasi ila kuna watu umewaumiza kiasi
1. Unaweza kuwa na mtu mkazaa lakini baadae unakuja kugundua mkiendelea kuwa pamoja mtagawana majengo ya serikali...mnaachana tayar mna mtoto anakuja kumpata mwenzake anayewezana nae kitabia bila kujali kwamba amemkuta na mtoto na kwa upande wa mwanaume ni hivyo hivyo yaani mwanamke aliye used kwako kwangu mimi ni mpya....Sasa hawa ndio wa kupewa kipaumbele katika kuoa....SIKU UKIKUA NIULIZE KWANINI NASEMA HIVI
 
Nafikiria pale mwanamke anapoolewa halafu baada ya wiki mume akapata ajali akafariki, huyu binti si atakuwa single mama? Je hatofaa kuolewa tena? Kwa nini mnapenda kukejeli sana watu?
 
Unatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?

Single mama hana moyo wa kupenda tena. Hapo amekufanya wewe mwanaume kuwa mti wa kivuli cha shida zake za hisia, kiuchumi, kijamii, n.k. Wahenga wanasema "moyo wa mapenzi ni kama glasi, ukipasuka ufa wake hauzibiki". Maana yake kupenda hakujirudii mara mbili, hasa hasa mwanamke akisha zalishwa...ni kana kwamba moyo wa kupenda unatoka pamoja na mtoto kule leba.

Wewe mwanaume uliyekamilika na unajiamini unaanzaje kumuoa single mama?? Ona kinyaa ndugu yangu. Single mama alishapenda tayari na ndiyo maana akaamua kumpa yule mzazi mwenzie mpk akapata ujauzito. Si ajabu alimkuta bikra jamaa akaitoa, kisha akarudia na kurudia na kaurudia hadi mimba. Leo wewe mkolomije unaenda kuoa. Acha uzembe kwenye mapenzi.

Tafiti zinaonyesha kwamba mwanaume wanao oa masingle mama-- wako katika mojawapo ya makundi yafuatayo;-
--hawajiamini
--wanafuata maslahi
--ni washamba washamba Fulani HV
--waliruka stage ktk makuzi yao

WITO; raha ya soda ukute haijaonjwa
Kwako ni afadhari uyo ambae hajazaa ila ametoa mimba 20 kuliko alopata mimba moja akazaa?
Kweli dunia zunguka ukifika paradiso nishushe [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Wanahitaji faraja na sio ule moyo wa mapenzi na ndio maana amesema wapo ki socio economic status na kumaliza hisia zao

the great
Wewe inaonyesha hujui definition ya neno mapenzi af ni mbinafsi sana.
Huyo asiyezaa hahitaji faraja
Bullshit
 
Hivi lini nyie watu wa kizazi hiki.mtaacha kuwatusi mama,dada,wake na watt wenu?

Haya ww usafi sana mtoa mada. Je yupi afadhali kati ya mwanamke aliyewah kuzaa na akaolewa akatulia na mumewe na mwanaume ambaye hujiona msafi lkn Kila siku anawavulia Adi vichaa chupi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo aliyechoropoa ni siri yake, wewe uliyezaa umejiwekea lebo ya mtoto..... kwamba umemegwa mara kibao mpk ukapata mtoto
Af tunashangaa tanzania kuibiwa makinikia wakati kuna vilazaa wa steji hii. Eti kinachomridhisha ni ile siri kisa mtoto anaonekana aliyeuliwa haonekani
 
Back
Top Bottom