Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Hili swala lina dhana pana sana na linahitaji Mwanaume anayejitambua kama mimi na kujua dhamani ya mwanamke,
single mother ni wanawake kama walivyo wanawake wengine,
Tatizo la mmoja usiwausishe wote kwani hata katika ukoo wako ukichunguza huwezi kosa single mother,
Kwa hiyo unapo nyoosha kidole angalia vingine vinapoelekea.
Jaribu "kupambana na hali yako " kijana.
Haya mengine yaache ukikuwa utaelewa.
 
Hili swala lina dhana pana sana na linahitaji Mwanaume anayejitambua kama mimi na kujua dhamani ya mwanamke,
single mother ni wanawake kama walivyo wanawake wengine,
Tatizo la mmoja usiwausishe wote kwani hata katika ukoo wako ukichunguza huwezi kosa single mother,
Kwa hiyo unapo nyoosha kidole angalia vingine vinapoelekea.
Jaribu "kupambana na hali yako " kijana.
Haya mengine yaache ukikuwa utaelewa.
Vizuri mganga wa ukoo tumloge nini huyu mtoto?
 
Sema sio wote kwani wengine ni bahati mbaya ama kubakwa, kuachika chanzo ni mwanaume, kufiwa nk. Kuna single mother wazuri sana na wenye nyota nzuri ukiwapata wewe ni kupaa tu. Naomba ubadilishe ile kauli ya soda, Mbona umeshazinywa nyingi bila kujijua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?

Single mama hana moyo wa kupenda tena. Hapo amekufanya wewe mwanaume kuwa mti wa kivuli cha shida zake za hisia, kiuchumi, kijamii, n.k. Wahenga wanasema "moyo wa mapenzi ni kama glasi, ukipasuka ufa wake hauzibiki". Maana yake kupenda hakujirudii mara mbili, hasa hasa mwanamke akisha zalishwa...ni kana kwamba moyo wa kupenda unatoka pamoja na mtoto kule leba.

Wewe mwanaume uliyekamilika na unajiamini unaanzaje kumuoa single mama?? Ona kinyaa ndugu yangu. Single mama alishapenda tayari na ndiyo maana akaamua kumpa yule mzazi mwenzie mpk akapata ujauzito. Si ajabu alimkuta bikra jamaa akaitoa, kisha akarudia na kurudia na kaurudia hadi mimba. Leo wewe mkolomije unaenda kuoa. Acha uzembe kwenye mapenzi.

Tafiti zinaonyesha kwamba mwanaume wanao oa masingle mama-- wako katika mojawapo ya makundi yafuatayo;-
--hawajiamini
--wanafuata maslahi
--ni washamba washamba Fulani HV
--waliruka stage ktk makuzi yao

WITO; raha ya soda ukute haijaonjwa
Nimeshuhudia Mimi Mdingi aliwahi kuoa single mother imefika uzeeni wale watoto wasio wake ndio msaada mkubwa kwake kuliko wanae aliowazaa. Hata kabla hajafariki alitamka kua hao ndio wanae.

Akawa anawakataa watoto waliotoka viunoni mwake.

Msiwe na majibu rahisi kwenye maisha ambayo ni complex sana.

..No one knows what future may hold ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfano wa Soda na Single mother wala haviendani na havina uhusiano wowote kwa kuwa soda ni kimiminika hakina hisia lakini huyo Single mother ni binadamu na ana hisia. NINGEKUWA MIMI NINGETENGUA KAULI NA KUOMBA RADHI.

Hujui amepitia wapi na mangapi huyo mama, wengine walitelekezwa, wengine wamefiwa na wapendwa wao ingawa kuna wengine walijitakia wenyewe n.k. Lakini hii haiondoi ukweli kuwa wanahitaji faraja na maisha lazima yaendelee mbele.

Wajibika Mama aishi.
Pata kiroba hapo kwa mangi nitalipa ndugu yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huenda hata mama yako alikuwa in single mother babaako angeona hivyo,hata Ww usingezaliwa ,lkn kwa mwanaume umejitahidi japo sijajua kazi yako ,mwanaume WA awamu yatano unapata wapi muda WA kutafiti mambo ya ajabu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mambo ya ajabu yanapaswa kufanyiwa utafiti. Kama umekugusa vumilia
 
kiukweli nawapenda single mama.. ni moja kati ya wanawake wenye akili na wavumilivu..wenyebusara na subira...
 
Ndio maana nikasema asiyezaa aliyezaa wote sawa tuu achana na past ya mtu wewe angalia ulivyomkuta pambana na hali
Sawa kivipi mkuu hebu dadavua vizuri
Yaan aliye na mtoto ni sawa na asiyetoa hebu kuwa serious au unamaanisha aliyetoa mimba ni sawa na aliyewahi kuwa na mtoto?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi kipi bora kuoa single mama au mwanamke aliyetoa mimba saba?unafikiri yupi anamaumivu? bado mdogo hujui bado kwanini hayo yalitokea hivyo kuwa na muda wa kutosha wa kujifunza zaidi kuliko kuwahukumu.
hebu jaribu kuvaa uhusika wa mazingira hayo au huyo ndio mama yako.
 
Unatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?

Single mama hana moyo wa kupenda tena. Hapo amekufanya wewe mwanaume kuwa mti wa kivuli cha shida zake za hisia, kiuchumi, kijamii, n.k. Wahenga wanasema "moyo wa mapenzi ni kama glasi, ukipasuka ufa wake hauzibiki". Maana yake kupenda hakujirudii mara mbili, hasa hasa mwanamke akisha zalishwa...ni kana kwamba moyo wa kupenda unatoka pamoja na mtoto kule leba.

Wewe mwanaume uliyekamilika na unajiamini unaanzaje kumuoa single mama?? Ona kinyaa ndugu yangu. Single mama alishapenda tayari na ndiyo maana akaamua kumpa yule mzazi mwenzie mpk akapata ujauzito. Si ajabu alimkuta bikra jamaa akaitoa, kisha akarudia na kurudia na kaurudia hadi mimba. Leo wewe mkolomije unaenda kuoa. Acha uzembe kwenye mapenzi.

Tafiti zinaonyesha kwamba mwanaume wanao oa masingle mama-- wako katika mojawapo ya makundi yafuatayo;-
--hawajiamini
--wanafuata maslahi
--ni washamba washamba Fulani HV
--waliruka stage ktk makuzi yao

WITO; raha ya soda ukute haijaonjwa
Kuna hali huwa inatokea wakajikuta hivyo, muombe Mungu wako akupe hekima, una dada, mama wadogo na hata watoto wako wa kuwazaa, ipo siku watajikuta kwenye mazingira kama hayo
 
Back
Top Bottom