Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Ana haki ya kumuulizia mwanae...muhimu huyo mwanamke aliyeamua kufungua ukurasa mpya wa ndoa aiheshimu ndoa yake na maongezi yahusiane na mtoto tu....jambo la kwenda pembeni na kuongea na ex husband wake halitaleta image nzuri so anapaswa kuongea nae akiwa karibu yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah
So mmekaaa mmetulia lijamaa linapiga simu mnakatisha maongez mkeo anasema ngoja niongee na baba flan sijui wewe utakua unaskilizia hayo maongez,unazuga na kucheza na simu au unasepa kiaina?
Ila kwa ulivyojibu nahisi we ni ke sio me,samahani lakin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah kama mi nmetokea kupendana na single maza m1,ni chuma hatar, bado hatujaanza mahusiano rasmi,nipo kwenye probation,.kwa uzur wa huyu dada sjui itakuaje,..na amenielewa kwelkwel,namii nimemuelewa,nshamtoa diner moja,mediteraneo pale,yaan mdada mzur had ananipa mawazo,nawaza kanielewaje hiv mtoto kama huyu,.sijapata jib,af inaonekana huko alikokua kulikua njema saana,yan ile saana,ila kuna kitu alikiongea,maana tulivotoka pale nkampeleka sehem nkamnunulia mwanae pizza ampelekee home,sasa kuna kitu akadokeza,ndo kinanipa mawazo kweli,niingie mazima au la..
Kitu gani akidokeza
 
Ila mi huwa najiuliza hivi ukiwa na single mother jamaa akipiga Simu kumjulia hali mtoto wake huku nyie mmetulia yaan sijui unajiskiaje?au mkeo anakwambia baby subiri kidogo niongee na baba flan..au anaongelea pembeni...!!!!au mbele yako...au unakausha tu!!!!
Na ukimwangalia huyo mtoto wake unajiskiaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaa,ila kwelii
 
Sio kosa mwanaume kuoa single mom....tatizo akili zenu zafikiria bikira tu....sifa kubwa za mwanamke ni kuwa na upendo wa dhati,mwenye tabia njema,mwenye huruma,mchamungu,mwenye busara...sasa kama mwanamke single mom anazo hizo kwanini nisimuoe? DONT JUDGE A BOOK BY ITS COVERS

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama anazo hizo tabia kwa nini aliachika
 
Dah kama mi nmetokea kupendana na single maza m1,ni chuma hatar, bado hatujaanza mahusiano rasmi,nipo kwenye probation,.kwa uzur wa huyu dada sjui itakuaje,..na amenielewa kwelkwel,namii nimemuelewa,nshamtoa diner moja,mediteraneo pale,yaan mdada mzur had ananipa mawazo,nawaza kanielewaje hiv mtoto kama huyu,.sijapata jib,af inaonekana huko alikokua kulikua njema saana,yan ile saana,ila kuna kitu alikiongea,maana tulivotoka pale nkampeleka sehem nkamnunulia mwanae pizza ampelekee home,sasa kuna kitu akadokeza,ndo kinanipa mawazo kweli,niingie mazima au la..
Mpime ngoma then piga mzigo wa hatari mpaka akuamkie mininae mmoja SAA hizi tuna watoto wawili maisha raha mstarehe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfano wa Soda na Single mother wala haviendani na havina uhusiano wowote kwa kuwa soda ni kimiminika hakina hisia lakini huyo Single mother ni binadamu na ana hisia. NINGEKUWA MIMI NINGETENGUA KAULI NA KUOMBA RADHI.

Hujui amepitia wapi na mangapi huyo mama, wengine walitelekezwa, wengine wamefiwa na wapendwa wao ingawa kuna wengine walijitakia wenyewe n.k. Lakini hii haiondoi ukweli kuwa wanahitaji faraja na maisha lazima yaendelee mbele.

Wajibika Mama aishi.
Nice comment ever meet before.

Ntamuoa mmoja humu ndani halafu ntakuwa nawapa update!

brain is the beautiful part of the body.
 
Hujaujua utamu wa single mazas wewe, wanajua kuwajibika mno maana option ya kuolewa tena ni nadra.Na wahuni wanasererekea humo kwa free pumbu service.

Mi kuna mmoja alijaa akawa ananijia resi mno nikaweka, akataka kuniganda nikamfungia vioo...Alishaanza habari za kuimagine ndoa baada ya kumgongelea nchi 6 za uhakika. Well im too young to have such kind of woman, siwezi kuoa single mama aisee, as long as jukumu langu ni kutafuta pesa tu..Sitakosa mwanamke fresh nina imani!
Hahaaa
 
Bila ya samahani....hisia zako sizilaumu...akina nyinyi hamnaga busara
PAMBANA NA HALI YAKO

Sent using Jamii Forums mobile app
Busara ni kuwa na mwanamke ambaye ana mtoto ha ha haaa
Bila shaka wewe kweli ni muhanga wa hili janga sio kwa povu hili
Anyways siwez kuwez kuwa na single mom na tayar nina kabinti kabichi
Suala kwamba alishatoa mimba kadhaa kwan una uhakika gan singo maza hajatoa kadhaa ila hiyo alikua hana jinsi
Af si bora kuwa na demu used tu kuliko used af singo maza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Busara ni kuwa na mwanamke ambaye ana mtoto ha ha haaa
Bila shaka wewe kweli ni muhanga wa hili janga sio kwa povu hili
Anyways siwez kuwez kuwa na single mom na tayar nina kabinti kabichi
Suala kwamba alishatoa mimba kadhaa kwan una uhakika gan singo maza hajatoa kadhaa ila hiyo alikua hana jinsi
Af si bora kuwa na demu used tu kuliko used af singo maza

Sent using Jamii Forums mobile app
Uoni wangu hauwezi kuwa sawa na wako....hili litambue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je ukioa mwanamke aliyetoa mimba 10 huyo si ni mama wa Marehemu kadhaa? Bora aliyezaa akajifunza kujikinga kuliko anayewaza ikiiingia tuu natoa saa zingine umeshatoka nao wengi tuu mama wa Marehemu hahahahahahaaaaa
 
Back
Top Bottom