gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,577
Yupo kundi lipi?Cc Diamond Platinum lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo kundi lipi?Cc Diamond Platinum lol
DaahAna haki ya kumuulizia mwanae...muhimu huyo mwanamke aliyeamua kufungua ukurasa mpya wa ndoa aiheshimu ndoa yake na maongezi yahusiane na mtoto tu....jambo la kwenda pembeni na kuongea na ex husband wake halitaleta image nzuri so anapaswa kuongea nae akiwa karibu yako
Sent using Jamii Forums mobile app
PovuuEti asioe single mother...puuuh! Na wewe mwanaume mbona ushatumika saana. Una upya gani? Au kwa kuwa wewe mwanaume huzalishwiii?? Pyuuuuuu[emoji57]
Kitu gani akidokezaDah kama mi nmetokea kupendana na single maza m1,ni chuma hatar, bado hatujaanza mahusiano rasmi,nipo kwenye probation,.kwa uzur wa huyu dada sjui itakuaje,..na amenielewa kwelkwel,namii nimemuelewa,nshamtoa diner moja,mediteraneo pale,yaan mdada mzur had ananipa mawazo,nawaza kanielewaje hiv mtoto kama huyu,.sijapata jib,af inaonekana huko alikokua kulikua njema saana,yan ile saana,ila kuna kitu alikiongea,maana tulivotoka pale nkampeleka sehem nkamnunulia mwanae pizza ampelekee home,sasa kuna kitu akadokeza,ndo kinanipa mawazo kweli,niingie mazima au la..
Long time no seeNatamani ningeandika lakini clearly hauko hapa kuelimishana but to shame other people.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na akiyetoa mimba 2 alifanya mara 2 tuWatu wana fikra kwamba single mom ndio wanaongoza kutembea na wanaume wengi wanasahau kuwa mimba huingia siku Moja tu halafu single mom muda mwingi anautumia kulea mtoto au watoto.
Daaa,ila kweliiIla mi huwa najiuliza hivi ukiwa na single mother jamaa akipiga Simu kumjulia hali mtoto wake huku nyie mmetulia yaan sijui unajiskiaje?au mkeo anakwambia baby subiri kidogo niongee na baba flan..au anaongelea pembeni...!!!!au mbele yako...au unakausha tu!!!!
Na ukimwangalia huyo mtoto wake unajiskiaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama anazo hizo tabia kwa nini aliachikaSio kosa mwanaume kuoa single mom....tatizo akili zenu zafikiria bikira tu....sifa kubwa za mwanamke ni kuwa na upendo wa dhati,mwenye tabia njema,mwenye huruma,mchamungu,mwenye busara...sasa kama mwanamke single mom anazo hizo kwanini nisimuoe? DONT JUDGE A BOOK BY ITS COVERS
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpime ngoma then piga mzigo wa hatari mpaka akuamkie mininae mmoja SAA hizi tuna watoto wawili maisha raha mstarehe.Dah kama mi nmetokea kupendana na single maza m1,ni chuma hatar, bado hatujaanza mahusiano rasmi,nipo kwenye probation,.kwa uzur wa huyu dada sjui itakuaje,..na amenielewa kwelkwel,namii nimemuelewa,nshamtoa diner moja,mediteraneo pale,yaan mdada mzur had ananipa mawazo,nawaza kanielewaje hiv mtoto kama huyu,.sijapata jib,af inaonekana huko alikokua kulikua njema saana,yan ile saana,ila kuna kitu alikiongea,maana tulivotoka pale nkampeleka sehem nkamnunulia mwanae pizza ampelekee home,sasa kuna kitu akadokeza,ndo kinanipa mawazo kweli,niingie mazima au la..
Nice comment ever meet before.Mfano wa Soda na Single mother wala haviendani na havina uhusiano wowote kwa kuwa soda ni kimiminika hakina hisia lakini huyo Single mother ni binadamu na ana hisia. NINGEKUWA MIMI NINGETENGUA KAULI NA KUOMBA RADHI.
Hujui amepitia wapi na mangapi huyo mama, wengine walitelekezwa, wengine wamefiwa na wapendwa wao ingawa kuna wengine walijitakia wenyewe n.k. Lakini hii haiondoi ukweli kuwa wanahitaji faraja na maisha lazima yaendelee mbele.
Wajibika Mama aishi.
Watu wanajifunza kutokana na makosa yao....kumbuka pia sio wote walioachwa bali wengine ni wajaneSasa kama anazo hizo tabia kwa nini aliachika
HahaaaHujaujua utamu wa single mazas wewe, wanajua kuwajibika mno maana option ya kuolewa tena ni nadra.Na wahuni wanasererekea humo kwa free pumbu service.
Mi kuna mmoja alijaa akawa ananijia resi mno nikaweka, akataka kuniganda nikamfungia vioo...Alishaanza habari za kuimagine ndoa baada ya kumgongelea nchi 6 za uhakika. Well im too young to have such kind of woman, siwezi kuoa single mama aisee, as long as jukumu langu ni kutafuta pesa tu..Sitakosa mwanamke fresh nina imani!
Wajane ni ishu nyingineWatu wanajifunza kutokana na makosa yao....kumbuka pia sio wote walioachwa bali wengine ni wajane
Sent using Jamii Forums mobile app
Busara ni kuwa na mwanamke ambaye ana mtoto ha ha haaaBila ya samahani....hisia zako sizilaumu...akina nyinyi hamnaga busara
PAMBANA NA HALI YAKO
Sent using Jamii Forums mobile app
Binaadam wanajirekebisha kupitia makosa yao....wewe pia una kasoro na unajirekebisha pindi unapokosea....uoni wangu hauwezi kuwa sawa na wakoWajane ni ishu nyingine
Tupe elimu mkuuNatamani ningeandika lakini clearly hauko hapa kuelimishana but to shame other people.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uoni wangu hauwezi kuwa sawa na wako....hili litambueBusara ni kuwa na mwanamke ambaye ana mtoto ha ha haaa
Bila shaka wewe kweli ni muhanga wa hili janga sio kwa povu hili
Anyways siwez kuwez kuwa na single mom na tayar nina kabinti kabichi
Suala kwamba alishatoa mimba kadhaa kwan una uhakika gan singo maza hajatoa kadhaa ila hiyo alikua hana jinsi
Af si bora kuwa na demu used tu kuliko used af singo maza
Sent using Jamii Forums mobile app