Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Sio kosa mwanaume kuoa single mom....tatizo akili zenu zafikiria bikira tu....sifa kubwa za mwanamke ni kuwa na upendo wa dhati,mwenye tabia njema,mwenye huruma,mchamungu,mwenye busara...sasa kama mwanamke single mom anazo hizo kwanini nisimuoe? DONT JUDGE A BOOK BY ITS COVERS

Sent using Jamii Forums mobile app
Toka lini single mother akawa na upendo?
 
Nitaungana na wewe endapo ungewaambia waoe bikra. Ila kama sio bikra alisha fanya kitu ni kile kile ulishatoa utamu wewe ni extra. Aliyefanya akazaa na ambaye hajazaa wote wamefanya kama alimpenda hiyo wa kwanza ni sawa tu akitaka kukumbushia ndo vile vile.
 
Mtazamo wako kwamba single mothers hawafai kuolewa ni potofu sana, na pia inaonesha kiasi gani huna uelewa wala uzoefu katika masuala haya ya uhusiano. Mtazamo wako uko too general, na huwatendei haki kwa kujenga hitimisho kwamba hawana lolote. Kila aliye single mother leo, hujui mazingira aliyopitia hadi amefika hapa leo. Hivyo ni utoto kumhukumu mtu au ku generalize simply because yeye ni single mother. Kwa taarifa yako single mothers are the best, wengi wao wanajitambua, wana uzoefu na maisha, wanapoingia kwenye mahusiano hawabahatishi na wanajua wanachokitaka. Hawaingii kwa majaribio maana tayari huko walishajaribiwa. Kuna wanawake wengi ambao sio single mothers lakini ni majanga kabisa na wengi wamezidiwa kwa mbali sana na hao unaowakejeli kwamba hawafai.

Hongera sana kwa wanaume wote waliooa single mothers, kwani wao ni mashujaa, wanajiamini na hawachagui kwa kuangalia kigezo cha nje tu - kuwa single mother.

Mfano wako wa soda iliyofunguliwa unaashiria upande mmoja tu wa mahusiano - ngono. Maisha ya mahusiano ya dhati ni zaidi ya ngono (kufunguliwa soda).
 
Vidole vyako vyote viko same size?...sikutamka kuwa ni wote ila nimempinga mtoa mada kwa kuwaponda single mamaz wote kwa ujumla.....hebu kuwa muelewa na utambue kuwa watu wote hawakupewa maumbile yanayofanana

Sent using Jamii Forums mobile app
Huja muelewa mtoa mada na hapo wewe ndo uankua huja muelewa mtoa mada. Kama ungalisoma vizuri mtoa mada ameonyesha ni kwanini single mothers wengi nyoyo za upendo hazipo tena, na hii ni kutokana na ukweli ama waliwahi kupenda alafu Waka tendwa na kupata majeraha ya moyo ama walikuwa ni watu wa hovyo kwenye jamii yao (SCW) kitu ambacho huwafanya wasi wasipende tena.
 
Huja muelewa mtoa mada na hapo wewe ndo uankua huja muelewa mtoa mada. Kama ungalisoma vizuri mtoa mada ameonyesha ni kwanini single mothers wengi nyoyo za upendo hazipo tena, na hii ni kutokana na ukweli ama waliwahi kupenda alafu Waka tendwa na kupata majeraha ya moyo ama walikuwa ni watu wa hovyo kwenye jamii yao (SCW) kitu ambacho huwafanya wasi wasipende tena.
Uelewa wako mdogo..mtoa mada alivyouliza hamuoni kinyaa?....alilenga kumuuliza nani kama sio wanaume?hebu kasome tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watoto waliozaliwa kutoka baba au mama tofauti wana ubora/ hali tofauti? Mpaka imetokea kuwa na mahusiano naye, ujue kuna hisia kati ya wahusika ambao hazikuwa na ubaguzi (prejudice) yoyote. Hiyo ya Kwamba kashazaa au la, ni mambo yanayokuja baadae, ila la kwanza ni hisia za kuvutia kati ya wahusika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kujipa moyo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom