Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Ila mi huwa najiuliza hivi ukiwa na single mother jamaa akipiga Simu kumjulia hali mtoto wake huku nyie mmetulia yaan sijui unajiskiaje?au mkeo anakwambia baby subiri kidogo niongee na baba flan..au anaongelea pembeni...!!!!au mbele yako...au unakausha tu!!!!
Na ukimwangalia huyo mtoto wake unajiskiaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Simu za kila mara ni kuukaribisha ugomvi...apige once in a week na mtoto kukaa nae na kumlea sio tatizo....baraka zinaongezeka kwa usafi wa moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujaujua utamu wa single mazas wewe, wanajua kuwajibika mno maana option ya kuolewa tena ni nadra.Na wahuni wanasererekea humo kwa free service.

Mi kuna mmoja alijaa akawa ananijia resi mno nikaweka, akataka kuniganda nikamfungia vioo...Alishaanza habari za kuimagine ndoa baada ya kumgongelea nchi 6 za uhakika. Well im too young to have such kind of woman, siwezi kuoa single mama aisee, as long as jukumu langu ni kutafuta pesa tu..Sitakosa mwanamke fresh nina imani!
 
Kesho mtaani kwetu kuna binti mkalii ni singo maza.anaolewa..mapilau mtaa mzima.
wiki ilopita kafanyiwa send off ya kukata shoka hotel ya nyota tano ..

karibuni sana..
unachokiona mzoga wenzio wanakiona lulu..laiti kama wanaume wote wangekua na akili za mtoa mada tusingeshuhudia hata mmoja akiolewa..but wanaolewaa na wanaume wenye mafanikio....
 
Tuzungumzie hiyo hiyo mara moja inakuaje kwa hayo nliyoyasema

Sent using Jamii Forums mobile app
Ana haki ya kumuulizia mwanae...muhimu huyo mwanamke aliyeamua kufungua ukurasa mpya wa ndoa aiheshimu ndoa yake na maongezi yahusiane na mtoto tu....jambo la kwenda pembeni na kuongea na ex husband wake halitaleta image nzuri so anapaswa kuongea nae akiwa karibu yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfano wa Soda na Single mother wala haviendani na havina uhusiano wowote kwa kuwa soda ni kimiminika hakina hisia lakini huyo Single mother ni binadamu na ana hisia. NINGEKUWA MIMI NINGETENGUA KAULI NA KUOMBA RADHI.

Hujui amepitia wapi na mangapi huyo mama, wengine walitelekezwa, wengine wamefiwa na wapendwa wao ingawa kuna wengine walijitakia wenyewe n.k. Lakini hii haiondoi ukweli kuwa wanahitaji faraja na maisha lazima yaendelee mbele.

Wajibika Mama aishi.
Duh hatari sana [emoji146]

Ila wewe utakuwa MARIOOO
 
Wakat tunaagana,akawa ananishkuru kua nmempa burudan sana leo,pia kipind niko nae frm mchana,alikua anapokea sana phone calls,akiongea ni mambo ya shule ya mwanae,amerudishwa home,alikua anapigiwa sim na bro wake kua atamrushia chochote kitu ajazie ada,..sasa nkatafakar ,nkasema mmh huu mzigo nsije bebeshwa mie ,..yan tokea juz naskilizia hko kizinga,ila bado sjapigwa,.naskilizia though..ingawa tunawasiliana kama kawaida tokea juz na hajadokeza hzo mambo za vizinga,sasa sjui ni uoga wangu tuu.maana

Mheshimiwa Napoleone wahenga walisema kuwa UKIPENDA BOGA PENDA NA UWA LAKE. Maana yake ni kuwa ikiwa mnaelewana na umethibitisha kuwa ana upendo wa dhati kwako na wewe kweli umempenda (Isije kuwa umemtamani) kusomesha mwanaye siyo shida.

Cha muhimu ni kujua baba wa mtoto yupo wapi na ana msaada gani kwa mwanaye (kama yupo), alifariki au ilikuwaje wakatengana (Usimchimbe sana hawezi kukwambia yote). Unaweza kuoa ambaye hana mtoto lakini ukakuta unasomesha mashemeji na matatizo lukuki. HIVYO NAKUSHAURI ZINGATIA UPENDO WA KWELI.
 
Mheshimiwa Napoleone wahenga walisema kuwa UKIPENDA BOGA PENDA NA UWA LAKE. Maana yake ni kuwa ikiwa mnaelewana na umethibitisha kuwa ana upendo wa dhati kwako na wewe kweli umempenda (Isije kuwa umemtamani) kusomesha mwanaye siyo shida.

Cha muhimu ni kujua baba wa mtoto yupo wapi na ana msaada gani kwa mwanaye (kama yupo), alifariki au ilikuwaje wakatengana (Usimchimbe sana hawezi kukwambia yote). Unaweza kuoa ambaye hana mtoto lakini ukakuta unasomesha mashemeji na matatizo lukuki. HIVYO NAKUSHAURI ZINGATIA UPENDO WA KWELI.
Ni kweli bro,ngoja niangalie mwishowe itakuaje
 
Back
Top Bottom