Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Je ukioa mwanamke aliyetoa mimba 10 huyo si ni mama wa Marehemu kadhaa? Bora aliyezaa akajifunza kujikinga kuliko anayewaza ikiiingia tuu natoa saa zingine umeshatoka nao wengi tuu mama wa Marehemu hahahahahahaaaaa
Una uhakika gani huyo aliyezaa alishatoa mimba 10 ila hiyo ya 11 ndo akazaa kwa kupenda au kitopenda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je ukioa mwanamke aliyetoa mimba 10 huyo si ni mama wa Marehemu kadhaa? Bora aliyezaa akajifunza kujikinga kuliko anayewaza ikiiingia tuu natoa saa zingine umeshatoka nao wengi tuu mama wa Marehemu hahahahahahaaaaa
Una uhakika gani huyo aliyezaa alishatoa mimba 10 ila hiyo ya 11 ndo akazaa kwa kupenda au kutopenda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapoamua kuoa mwanamke ambaye alishakuwa na mtoto jiandae kwa;
1.Kuendeleza mawasiliano na ex wake kwake kigezo cha matunzo ya mtoto
2. Kulea Huyo mtoto ili mawasiliano yasiwepo baina yao au Kama alifiwa na mume
3. Yote mawili hapo juu kuwepo
4. Upendo wake kwako kuwa wa kuegesha tu ili aonekane naye kaolewa
5. Anampa tu huyo mwanaume kwani sababu kamkumbuka au kumuonea huruma au haumridhishi kama jamaa yake wa nyumba.
6. Kutorudia tena Kwenye hayo mahusiano yake ya nyuma. Yaani yeye Ndio amefika mwisho wa reli

Na Hawa ambao hawana ushahidi wa kuzini nao wamo Humo Humo isipokuwa Kwenye majukumu ya mtoto Ndio hayapo.
Labda uoe bikira.

Lakini tutambue kuwa asilimia 49 waliokuwa na kesi za kusingiziwa watoto walikuta kweli sio wao.
Jiulize ni wangapi wananyamaza na kusema kitanda hakizai haramu??

Tusiwanyanyase hawa Dada zetu kwa kuwa Wana watoto Ila tuwahukumu Kwa matendo wanayoyakosea pale wanapotakiwa kuyarekebisha.
Ni Sisi wenyewe tuliowazalisha na kuwafanya single Maza aafu tunageuka na kuanza kuwasema.
Na kwa kizazi cha sasa singo Maza ni wengi Kuliko Hao fresh mnaowatafuta.
Hapa wanaojiandaa kuoa au wanaotafuta wachumba watanielewa.
Tujifunze kuwazoea tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ni kwamba hao ambao wametoa mimba ni siri yao. Lkn single mama amejiwekea lebo kuwa nilimegwa....mara kadhaa mpk nikapata mototo.
Yaliyotoa mimba hayajawahi kupumzisha vichunyeto siku zote wapo kazini wanaona wakizaa watakuta biashara imepungua
 
Kesho mtaani kwetu kuna binti mkalii ni singo maza.anaolewa..mapilau mtaa mzima.
wiki ilopita kafanyiwa send off ya kukata shoka hotel ya nyota tano ..

karibuni sana..
unachokiona mzoga wenzio wanakiona lulu..laiti kama wanaume wote wangekua na akili za mtoa mada tusingeshuhudia hata mmoja akiolewa..but wanaolewaa na wanaume wenye mafanikio....
Weka sura yake tujue kama ni kweli
 
Nitakaa sana[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Habari mama! Ikiwa unahitaji mwenza kiukweli kutoka moyoni na unamuomba MUNGU haina haja ya kukata tamaa wala kujiukumu maana yaliyopita yamepita. Usibabaishwe wala kutishwa na kauli za walimwengu. Kumbuka kuwa ALIYEWAPA WAO NDIYE ALIYEKUNYIMA WEWE IPO SIKU ATAKUFIKIRIA.

Wajibika Mama Aishi.
 
Yani wadada wengine hawajawahi kuzaa lkn wametumika yani sio kama soda tuu bali kama dastibin za road hadi vibabu wamepita mpaka waganga wa kienyeji hahahahahaha siri zao kimyaaa moyoni mwao
 
Habari mama! Ikiwa unahitaji mwenza kiukweli kutoka moyoni na unamuomba MUNGU haina haja ya kukata tamaa wala kujiukumu maana yaliyopita yamepita. Usibabaishwe wala kutishwa na kauli za walimwengu. Kumbuka kuwa ALIYEWAPA WAO NDIYE ALIYEKUNYIMA WEWE IPO SIKU ATAKUFIKIRIA.

Wajibika Mama Aishi.
Daaah Ahsante sana[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom