Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipya ni bikira mkuu ukikuta msichana kashafunguliwa njia hamna kipya apo wote ni masingle mother tofauti ni kwamba mmoja watoto wapo hai mwingine amewaua
Hiii inathibitisha kwamba mwanamke ni kiumbe cha thamani sanaMtoa mada anasema kwamba wanaume wanaoa singo mamaz ni washamba, wameruka steji za maisha na hawajiamini.
Ikitokea mmeshindwa kuendelea na mahusiano kwa sababu yeyote;
- Je ni haramu mwanamke kupata mpenzi, ila halali kwa mwaume?
- Kwanini ni sahihi kuwashutumu singo mamaz peke yao, vipi waliosababisha kufikia huo usingo?
- Kwanini sio ushamba na kutokujiamini kwa mwanamke kuolewa na mwanaume mwenye mtoto?
Umejipangaje labda Ikitokea Mtoto, Dada, Mdogo wako akatelekezwa au kuachwa yeye na mtoto wake. utamshauri nini?
Je bado utakuwa na msimamo huu ulio nao sasa?
Hahaaa... jmn hadi umenipa hisia, hautasanda bhana we wakizingua wote ni-pm tu nikupe faraja[emoji12]
AiseeeNilishawahi kuna kwenye mausiano na masingle mama gani tabu tupu hayana hisia kabisa nafikiri hii inatokana na stress za kuumizwa mbaya zaidi single mother wore ni warahisi sana kutoa papuchi hawajuagi kukataa maana tayari wameshaikatia tamaa miili yao
Ke mwenye kujitambua hawezi kukubebesha matatizo ya mwanae hata siku moja wewe ukijisikia utasaidiaWakat tunaagana,akawa ananishkuru kua nmempa burudan sana leo,pia kipind niko nae frm mchana,alikua anapokea sana phone calls,akiongea ni mambo ya shule ya mwanae,amerudishwa home,alikua anapigiwa sim na bro wake kua atamrushia chochote kitu ajazie ada,..sasa nkatafakar ,nkasema mmh huu mzigo nsije bebeshwa mie ,..yan tokea juz naskilizia hko kizinga,ila bado sjapigwa,.naskilizia though..ingawa tunawasiliana kama kawaida tokea juz na hajadokeza hzo mambo za vizinga,sasa sjui ni uoga wangu tuu.maana
Waache wakaoe bikira za kutengenezwa baada ya mwezi mmoja hakuna ndoaSio kosa mwanaume kuoa single mom....tatizo akili zenu zafikiria bikira tu....sifa kubwa za mwanamke ni kuwa na upendo wa dhati,mwenye tabia njema,mwenye huruma,mchamungu,mwenye busara...sasa kama mwanamke single mom anazo hizo kwanini nisimuoe? DONT JUDGE A BOOK BY ITS COVERS
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mtu anayependa ukoko ama kiporo.....ni dhiki tu"Mtu chake apendacho hakina hila machoni, huridhika kuwa nacho japo hakina thamani".