Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Mtoa mada anasema kwamba wanaume wanaoa singo mamaz ni washamba, wameruka steji za maisha na hawajiamini.

Ikitokea mmeshindwa kuendelea na mahusiano kwa sababu yeyote;

- Je ni haramu mwanamke kupata mpenzi, ila halali kwa mwaume?

- Kwanini ni sahihi kuwashutumu singo mamaz peke yao, vipi waliosababisha kufikia huo usingo?

- Kwanini sio ushamba na kutokujiamini kwa mwanamke kuolewa na mwanaume mwenye mtoto?

Umejipangaje labda Ikitokea Mtoto, Dada, Mdogo wako akatelekezwa au kuachwa yeye na mtoto wake. utamshauri nini?

Je bado utakuwa na msimamo huu ulio nao sasa?
 
Mleta mada anagalia hawa tunaotatajia kuoa,wengi wametumika sana tena wengine wamevunjiwa heshima kwakuliwa mbele na nyuma,sijui kwanini umeamua kuwapa thamani wanawake hawa ambao vyuoni wanachoropoa mimba kibao na tutazidi kushuhudia wakichoropoa kwasababu ya tamko la Magu.

Kiufupi mwanamke anaweza akafanya mapenzi maramoja na akapata ujauzitp na mwingine akafanya mata elfu moja asipate au akapata halafu akazitoa kadri anavyoweza na mwisho wa siku yule atakayeamua kuzaa akaonekana katumija sana kumbe siyo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada anasema kwamba wanaume wanaoa singo mamaz ni washamba, wameruka steji za maisha na hawajiamini.

Ikitokea mmeshindwa kuendelea na mahusiano kwa sababu yeyote;

- Je ni haramu mwanamke kupata mpenzi, ila halali kwa mwaume?

- Kwanini ni sahihi kuwashutumu singo mamaz peke yao, vipi waliosababisha kufikia huo usingo?

- Kwanini sio ushamba na kutokujiamini kwa mwanamke kuolewa na mwanaume mwenye mtoto?

Umejipangaje labda Ikitokea Mtoto, Dada, Mdogo wako akatelekezwa au kuachwa yeye na mtoto wake. utamshauri nini?

Je bado utakuwa na msimamo huu ulio nao sasa?
Hiii inathibitisha kwamba mwanamke ni kiumbe cha thamani sana
 
Nilishawahi kuna kwenye mausiano na masingle mama gani tabu tupu hayana hisia kabisa nafikiri hii inatokana na stress za kuumizwa mbaya zaidi single mother wore ni warahisi sana kutoa papuchi hawajuagi kukataa maana tayari wameshaikatia tamaa miili yao
Aiseee
 
Mtoa mada kama huu ujumbe umeulenga kwa mtu... Basi sawa, NIMEKUELEWA!

Ila kama unatoa mtazamo, bhasi tusioe hata hawa wasio na BIKIRA...
Twende zetu UNGUJA tukaoe mabikira wasio na RINDA...
 
Watu wenye maneno kama haya unaweza ukakuta yeye mwenyewe kalelewa na baba wa kufikia yani mama yake nae alikuwa muhanga wa hili la single mama
ukikuwa utaacha ujinga huu unao ongea!!!!!!
 
Nimemuelewa sana mtoa mada. Kuna complications za kuoa mwanamke alokwisha zaa, kwa maana kwamba bado atawasiliana tu na baba wa mtoto even if mtakua pamoja, Mtoto ataendelea kuwakutanisha na kama ujuavyo wanawake walivyo dhaifu ni rahisi pia kukumbushia. Pia kuna complication za malezi ya mtoto tuwe wakweli guyz huwezi mpa malezi yale mtoto wa mwanaume mwenzio akati unajua kabisaa baba yake yupo somewhere anakula bata wewe uhenyeke na maskuli fiz.
Mtoa mada kaona mbali kwa nini uingie kwenye makomplikesheni hayo akati kuna ryt desisheni ya kufanya?
Acha masingo maza waolewe na masingo faz.
 
Umesahau sababu moja kubwa kuliko zote. Kuna kupenda ndugu yangu....
Ngoja nikae kimya mimi.
 
Unajua ungali bado unaishi usiongee mabaya, hapo ulipo hujui kesho yako. Wengine wamekuwa hivyo kutokana na mazingira waliyokutana nayo. Wengine walifiwa na kubaki wakilea watoto peke yao. Kuna mambo mengi mtu amepitia mpaka akawa hivyo, usipopitia wewe wanaweza kupitia watoto wako. Usimtukane mkunga na uzazi bado ungalipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapotoa mada unatakiwa uwe na busara ,kumbuka humu mpo watu tofauti wapo ambao mama zao /baba zao ni single parent kabla ya kuolewa/kuoa na kuanzisha familia na maisha yakaenda na ukute wewe ukaoa mtoto alielelewa katika usingle so hayo ni maisha tu, waafrika kuendelea bado sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Mtu chake apendacho hakina hila machoni, huridhika kuwa nacho japo hakina thamani". Mapenzi hayana kificho yaingiapo moyoni mwangu, mwenye mapenzi haoni ingawa macho anayo-DDC Mlimami park, wana Sikinde ngoma ya ukae.

Kila mtu na mapenzi yake, kama single mum ana mvuto tabu ni nini?, kukosea si kosa, bali kosa ni kurudia kosa. Pengine alichagua hovyo mara ya kwanza, sasa hivi amechagua vizuri.
 
Wakat tunaagana,akawa ananishkuru kua nmempa burudan sana leo,pia kipind niko nae frm mchana,alikua anapokea sana phone calls,akiongea ni mambo ya shule ya mwanae,amerudishwa home,alikua anapigiwa sim na bro wake kua atamrushia chochote kitu ajazie ada,..sasa nkatafakar ,nkasema mmh huu mzigo nsije bebeshwa mie ,..yan tokea juz naskilizia hko kizinga,ila bado sjapigwa,.naskilizia though..ingawa tunawasiliana kama kawaida tokea juz na hajadokeza hzo mambo za vizinga,sasa sjui ni uoga wangu tuu.maana
Ke mwenye kujitambua hawezi kukubebesha matatizo ya mwanae hata siku moja wewe ukijisikia utasaidia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kosa mwanaume kuoa single mom....tatizo akili zenu zafikiria bikira tu....sifa kubwa za mwanamke ni kuwa na upendo wa dhati,mwenye tabia njema,mwenye huruma,mchamungu,mwenye busara...sasa kama mwanamke single mom anazo hizo kwanini nisimuoe? DONT JUDGE A BOOK BY ITS COVERS

Sent using Jamii Forums mobile app
Waache wakaoe bikira za kutengenezwa baada ya mwezi mmoja hakuna ndoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom