Mi wa kwangu alikuwa amesajili laini zake kwa kitambulisho cha kijeba kilichomzalisha so kila nikimtumia hela nahisi kama nakitumia hela hiki kijeba.. Nikaona isiwe kesi jikate kila mmoja ashike hamsini zake
[emoji3][emoji3]
 
Sasa mpk unamzalisha watoto hao wote utakuwa ushavumilia mengi sana,na kijamaa kilichomzalisha mtoto kitakuwa kishamchezea kitakavyo mpk kikaamua kustafu kwa hiari [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Your Mother is your earthly God, listen to her voice

Don't make a promise you can't fulfill...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nina hakika tukikaa miaka 5 au 10 tukakuuliza hiki ulichokiandika hapa ulikimaanisha ,,,,hakika utakikana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna singo maza namzingua zingua kwa meseji yuko kimya sana hajibu,simu hapokei, anariingaa,kumbe singo maza tu hana lolote
 
Kuna mmoja juzi nimekutana nae viwanja ilikuwa thursday nimemlisha bia mwisho wa siku namwomba tukalale wote akasema haiwzekani maana kesho inabid amuwaishe mtoto wake kupanda school bus...😑
Alikuwa sahihi mkuu.Ulikosea tu mipango.Hukupaswa kuanza kupoteza muda was Bia ungeenda staight to the point

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…