Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
[emoji3][emoji3]Mi wa kwangu alikuwa amesajili laini zake kwa kitambulisho cha kijeba kilichomzalisha so kila nikimtumia hela nahisi kama nakitumia hela hiki kijeba.. Nikaona isiwe kesi jikate kila mmoja ashike hamsini zake