Bado vipo bana ila kwajina lingineVimepigwa marufuku!! au wewe haupo Tanzania!!?
Unatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?
Single mama hana moyo wa kupenda tena. Hapo amekufanya wewe mwanaume kuwa mti wa kivuli cha shida zake za hisia, kiuchumi, kijamii, n.k. Wahenga wanasema "moyo wa mapenzi ni kama glasi, ukipasuka ufa wake hauzibiki". Maana yake kupenda hakujirudii mara mbili, hasa hasa mwanamke akisha zalishwa...ni kana kwamba moyo wa kupenda unatoka pamoja na mtoto kule leba.
Wewe mwanaume uliyekamilika na unajiamini unaanzaje kumuoa single mama?? Ona kinyaa ndugu yangu. Single mama alishapenda tayari na ndiyo maana akaamua kumpa yule mzazi mwenzie mpk akapata ujauzito. Si ajabu alimkuta bikra jamaa akaitoa, kisha akarudia na kurudia na kaurudia hadi mimba. Leo wewe mkolomije unaenda kuoa. Acha uzembe kwenye mapenzi.
Tafiti zinaonyesha kwamba mwanaume wanao oa masingle mama-- wako katika mojawapo ya makundi yafuatayo;-
--hawajiamini
--wanafuata maslahi
--ni washamba washamba Fulani HV
--waliruka stage ktk makuzi yao
WITO; raha ya soda ukute haijaonjwa
Ok kwa hiyo atakae achika huko kama kosa ni la mwanaume basi adondokee kwa wanaume type yenu coz mleta mada kisha categorize wanaume wanao oa singo mom so we chagua tu upo kundi gani[emoji28] [emoji28] [emoji28]Ndo tumeshakuwa tofauti....utasema wanaume hawana makosa katika ndoa??kila ndoa inayovunjika basi mkosa ni mwanamke...una uhakika?..na kama mkosa sio mwanamke je akiachwa ndo aonekane hafai?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan sio singo mamaNafikiria pale mwanamke anapoolewa halafu baada ya wiki mume akapata ajali akafariki, huyu binti si atakuwa single mama? Je hatofaa kuolewa tena? Kwa nini mnapenda kukejeli sana watu?
Hivi nyie kina dada lini mtaacha kutania kaka,baba,waume na wajomba zenu kwamba wana vibamia?[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Hivi lini nyie watu wa kizazi hiki.mtaacha kuwatusi mama,dada,wake na watt wenu?
Haya ww usafi sana mtoa mada. Je yupi afadhali kati ya mwanamke aliyewah kuzaa na akaolewa akatulia na mumewe na mwanaume ambaye hujiona msafi lkn Kila siku anawavulia Adi vichaa chupi?
Sent using Jamii Forums mobile app
shida kubwa ni ile kauli mbiu kuwa ''hawara hatongozwi''....kwenye kukona watoto/mtoto mnakumbushia pia..huo ndo wasiwasi mkubwa haya ya kutumika ni by the way tu!Eti asioe single mother...puuuh! Na wewe mwanaume mbona ushatumika saana. Una upya gani? Au kwa kuwa wewe mwanaume huzalishwiii?? Pyuuuuuu[emoji57]
Napinga mkono hoja kuoa single mother ni sahihi sababu unaweza kuoa mrembo alfu ukakuta ni mgumba
Afadhali umesema hayo leo maana watu wakizungumza kuhusu umuhimu wa bikra watu wanabishaKipya ni bikira mkuu ukikuta msichana kashafunguliwa njia hamna kipya apo wote ni masingle mother tofauti ni kwamba mmoja watoto wapo hai mwingine amewaua
Huyo alotoa mimba babake ataulizia matunzo?[emoji28]Mleta mada anagalia hawa tunaotatajia kuoa,wengi wametumika sana tena wengine wamevunjiwa heshima kwakuliwa mbele na nyuma,sijui kwanini umeamua kuwapa thamani wanawake hawa ambao vyuoni wanachoropoa mimba kibao na tutazidi kushuhudia wakichoropoa kwasababu ya tamko la Magu.
Kiufupi mwanamke anaweza akafanya mapenzi maramoja na akapata ujauzitp na mwingine akafanya mata elfu moja asipate au akapata halafu akazitoa kadri anavyoweza na mwisho wa siku yule atakayeamua kuzaa akaonekana katumija sana kumbe siyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?
Single mama hana moyo wa kupenda tena. Hapo amekufanya wewe mwanaume kuwa mti wa kivuli cha shida zake za hisia, kiuchumi, kijamii, n.k. Wahenga wanasema "moyo wa mapenzi ni kama glasi, ukipasuka ufa wake hauzibiki". Maana yake kupenda hakujirudii mara mbili, hasa hasa mwanamke akisha zalishwa...ni kana kwamba moyo wa kupenda unatoka pamoja na mtoto kule leba.
Wewe mwanaume uliyekamilika na unajiamini unaanzaje kumuoa single mama?? Ona kinyaa ndugu yangu. Single mama alishapenda tayari na ndiyo maana akaamua kumpa yule mzazi mwenzie mpk akapata ujauzito. Si ajabu alimkuta bikra jamaa akaitoa, kisha akarudia na kurudia na kaurudia hadi mimba. Leo wewe mkolomije unaenda kuoa. Acha uzembe kwenye mapenzi.
Tafiti zinaonyesha kwamba mwanaume wanao oa masingle mama-- wako katika mojawapo ya makundi yafuatayo;-
--hawajiamini
--wanafuata maslahi
--ni washamba washamba Fulani HV
--waliruka stage ktk makuzi yao
WITO; raha ya soda ukute haijaonjwa
Yaan we ndo umemaliza kabisa ambae hata kuelewa basi atakua either kilaza au mnafiki kiwango cha uzamivuNimemuelewa sana mtoa mada. Kuna complications za kuoa mwanamke alokwisha zaa, kwa maana kwamba bado atawasiliana tu na baba wa mtoto even if mtakua pamoja, Mtoto ataendelea kuwakutanisha na kama ujuavyo wanawake walivyo dhaifu ni rahisi pia kukumbushia. Pia kuna complication za malezi ya mtoto tuwe wakweli guyz huwezi mpa malezi yale mtoto wa mwanaume mwenzio akati unajua kabisaa baba yake yupo somewhere anakula bata wewe uhenyeke na maskuli fiz.
Mtoa mada kaona mbali kwa nini uingie kwenye makomplikesheni hayo akati kuna ryt desisheni ya kufanya?
Acha masingo maza waolewe na masingo faz.
Leo wanaosemaga vibamia naona wameufyataUnajua ungali bado unaishi usiongee mabaya, hapo ulipo hujui kesho yako. Wengine wamekuwa hivyo kutokana na mazingira waliyokutana nayo. Wengine walifiwa na kubaki wakilea watoto peke yao. Kuna mambo mengi mtu amepitia mpaka akawa hivyo, usipopitia wewe wanaweza kupitia watoto wako. Usimtukane mkunga na uzazi bado ungalipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudia kudia kusoma nilichoandika Mkuunani kasema hakuna single mothers warembo!??wengine hata hutajua kama ana mtoto aspokwambia.
ishu ni tabia ya mtu tu man
Wewe unakwepa matunzo au..?
Nimeamin sisi wanaume si watu wazuri we utakua kuna singo mama unamfukuzia humu una pretent akinasa amekwishaSalute to all the single mamas. Ukiona mtu anaongea ongea sana kuhusu single mothers ujue kuna issue haiko sawa upande wake. Nakupenda sana wewe single mother. If you do me the honour I'll marry you. [emoji7]
Sent using Jamii Forums mobile app